We're the same
Dah...yaani zote hizo ni dalili za kuanza kuzeeka 🤣🤣1. Mie ulevi wangu mkubwa kabisa kwichi kwichi!! Japo kwa sasa nimejitahidi kwa 97% kuizuia nafsi yangu
2. Mpira, hasa kuucheza, bado naudananda japo akili inataka mwili hautaki!
3. Ilikuwa kushi, nimevuta kwa takribani miaka 10 na ushehe mpaka nilipoanua kuacha! Mwaka juzi. Siku hizi imebaki naoasha mara 1 moja tu, kama majuzi na juzi nilipasha moto akili.
Kuogelea na kucheza mziki ni vitu navipenda ila havikufikia kwenye ulevi.
Dah...yaani zote hizo ni dalili za kuanza kuzeeka 🤣🤣
1. Mie ulevi wangu mkubwa kabisa kwichi kwichi!! Japo kwa sasa nimejitahidi kwa 97% kuizuia nafsi yangu
2. Mpira, hasa kuucheza, bado naudananda japo akili inataka mwili hautaki!
3. Ilikuwa kushi, nimevuta kwa takribani miaka 10 na ushehe mpaka nilipoanua kuacha! Mwaka juzi. Siku hizi imebaki naoasha mara 1 moja tu, kama majuzi na juzi nilipasha moto akili.
Kuogelea na kucheza mziki ni vitu navipenda ila havikufikia kwenye ulevi.
Ulevi wangu ni Movies kuangalia,
Ulevi wangu ni Muziki mzuri kusikiliza na kucheza,
Ulevi wangu ni Kuchat, mpaka vidole gumba vinakua vyekundu,
Ulevi wangu ni kula kula bites, naweza nisile siku nzima nikajihisi nimeshiba kumbe nimeshindia crips za viazi na ndizi au ubuyu na biscuit,
Napenda kutunga na kuandika stories sijui kama ni ulevi au kipaji.
Dalili za kuwa mchawi [emoji125][emoji125][emoji125]
Jr[emoji769]
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji44][emoji44][emoji44][emoji377][emoji377][emoji377]
Ulevi wangu ni Movies kuangalia,
Ulevi wangu ni Muziki mzuri kusikiliza na kucheza,
Ulevi wangu ni Kuchat, mpaka vidole gumba vinakua vyekundu,
Ulevi wangu ni kula kula bites, naweza nisile siku nzima nikajihisi nimeshiba kumbe nimeshindia crips za viazi na ndizi au ubuyu na biscuit,
Napenda kutunga na kuandika stories sijui kama ni ulevi au kipaji.
Haya mazaga Mara ya mwisho niliyaona MAISHA BASEMENT ya makumbusho.