USILOLIJUA KUHUSU CHUNUSI WA BAHARINI (ELECTRIC EEL )
samaki huyu kwa mbali anataka kufanana Kidogo na samaki aina ya kambale kwa kawaida hutoa shoti ya umeme aina ya umeme tuli (static electricity) hadi 600V
Kiwango hicho cha umeme kinatosha vizuri kumuuwa binaadamu nakumkausha kabisa hadi kubadilika rangi ndani ya muda mfupi Na kiasi hicho husababisha damu kuganda Mara tu baada ya kumgusa bunadamu Mara nyingi watu hukumbwa na masaibu haya kwenye maeneo Fulani ya baharini Mara nyingi samaki huyu huwa hang'ati hadi umchokoze kwenye maficho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.