Mada ya wanyama

Mada ya wanyama

wakuu hivi battle ya dubu vs simba pia mamba vs kiboko nani anakaa?
Haijawahi kutokea lakini kwa wataalamu wanyama wanavyowadescribe Hawa wanyama Dubu ni mkubwa, ana meno marefu na kucha ndefu kuliko simba. Pia tukiangalia uzito ambao ni factor kubwa katika kumshinda adui yako, Dubu ni wazito kuliko simba; Simba mzito ana weight ya 300-350kg ambayo ni sawa na weight ya American bear. Dubu wazito kabisa ni aina ya brown bear ambao wanauzito wa 600kg. Sasa kwa hizo factors mbili unaweza ukawa na picha ikitokea wakapambanishwa yupi atakalishwa mapema😊
Mamba na kiboko ni wanyama wanayoishi sehemu moja bila kuingiliana, lakini Kuna muda hutokea kiboko akaingilia maisha ya mamba pale anapokamata windo na kutaka kulizamisha kwenye maji. Umetokea Mara nyingi sana kiboko kuvamia mamba na kumuokoa pray. Mamba anamkimbia kiboko iwe nje ya maji au ndani ya maji
 
Yaani simba dume anaweza akakubali kukaa na njaa hata kama windo limekamatwa na jike siku nzima mpaka akamilishe bao zake 60 ndipo awaze maji na chakula.
Wakati kuna wanaume kila baada ya bao moja anaomba glass ya maji[emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2839][emoji23]
 
Yaani simba dume anaweza akakubali kukaa na njaa hata kama windo limekamatwa na jike siku nzima mpaka akamilishe bao zake 60 ndipo awaze maji na chakula.
Wakati kuna wanaume kila baada ya bao moja anaomba glass ya maji[emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2839][emoji23]
 
giphy.gif
Bwana Aboubakari huyo... 😀 😀 😀
 
 
Kinachonifanya niungane na swala 5 kuamini kuwa nguruwe ni mnyama aliyelaaniwa ni kitendo cha mnyama huyu kushindwa kuangalia angani
how! kwann asiangalie shingo iko na kaz gan kama n macho yalvokaa mbna kuku pia ako hvo
 
Simba: Hawa ndio wanyama wkubwa kuliko wote jamii ya paka na huishi katika familia moja ambayo inaweza kuwa na simba hadi 40. Huishi kwa ushirikiano na mara nyingi majike ndo wenye jukumu kubwa la kuhakikisha wanawinda na kupata chakula cha familia nzima. Ushiriki wa simba dume katika uwindaji ni hafifu kulinganisha na jike. Mara nyingi hukaa na kusubiri majike wawinde na kisha wao waende kula. Katika uwindaji wao hutegemea zaidi katika nguvu zao pamoja na kasi japokuwa kasi hiyo haidumu kwa muda mrefu.

Chui: Ni jamii ya Paka ambao wanaishi peke yao peke yao sio kwenye makundi. Mara nyingi hukaa pamoja wakati wa kujamiana yaani jike na dume. Aina hii ya maisha imewafanya wawinde kwa njia ya kuvamia moja kwa moja na baada ya kukamilisha windo lake huweza kulificha juu ya miti ili kukwepa wanyama wengine wanaokula nyama wasiweze kumnyang’anya

Duma: Jamii hi ya wanyama wakubwa wanokula nyama hupenda kusihi katika makundi na hutegemea sana katika uwezo wao wa kukimbia kwani ndiye mnyama mwenye kasi zaidi duniani. Kasi yake katika uwindaji imemsaidia kuweza kufanikiwa japokuwa siorahisi kutokana na sababu nitakazo taja hapo chini.

Fisi: Wanyama hawa hutegemea sana katika uwindaji wa makundi, na uwindaji wao hutegemea zaidi katika uvumilivu mkubwa walionao wa kuweza kubana pumzi kubwa hivyo hawachoki haraka.

Mbwa mwitu: Ni mnyama mwenye uwindaji mbaya zaidi kuliko wanyama wote. Huwinda kwa makundi vile vile kama Fisi, lakini humla mnyama anayewindwa akiwa bado mzima na anapambana kujiokoa. Huyu anakula mkono huyu anakula kichwa mpaka anakufa na hawatumii muda mrefu ni kama dakika 15-20 windo linakuwa limeisha tayari.
Simba sio mnyama mkubwa kuliko wote kwenye jamii ya paka bali chuimilia (Tiger) ndiye.
 
Back
Top Bottom