Ni wazuri sana hawa samaki kwa muonekano lakini ni makatili balaa,bora hata ukutane na papa lakin sio huyu mdudu cha moto utakionaOrca (killer whale) naweza kusema ni kama genge la wahuni wa baharini. Pamoja na kuitwa killer whale, wao ni ana ya dolphin, ndiyo dolphin mkubwa katika jamii ya dolphins. Wanasayansi wanaamini hawa majamaa wana akili sana. Wanawinda kwa makundi na pia wanajua kutumia miili yao na movement ya kutengeneza mawimbi yanayoweza kumtungua seal aliye juu ya barafu majini. Pia wanaweza kujisogeza hadi ufukweni kiasi fulani kuwinda seal.
Kuhusu kushambulia shark, inasemekana na wao wamegundua kuwa shark anapata temporary paralysis akiwa upside down hivyo huwavizia kwa chini na kuwabinua ili wawe juu chini. Pia wanasayansi wameona mara nyingi sharks wanaopigwa na orca wanakuwa wametolewa ini, yaani orca anang'ata eneo ambalo huwa ini na organs zingine zipo na kunyofoa ini. Wanahisi ni kwa sababu ni source bora ya protein. Kwa hiyo pamoja na kufanya mauaji kwa sababu zao za kibabe na kihuni tu baharini, wanafanya hivyo kwa chakula pia.
orca aka killer whale aka panya road wa baharini.
Je anaruka angani huyu? Mbona mkubwa sanaSiyo ka ndege ni lindege. haya madege yanaweza kuwa makubwa kama punda...
akikupiga teke ni kama umechomwa na bisibisi
Mkuu _KINGO_ I salute you[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji120][emoji120][emoji122][emoji122]Tasmanian Devil,
Miongoni mwa wanyama wakorofi sana, usidanganyike na kisura chake kicute ukakutana nacho mtaani uende kukipetipeti. Wanaishi kibabe na hawana hofu na hupigana hata na mbwa wakubwa bila kujali size yao.
Ubabe unaanza tangu siku wanapozaliwa. Jike anaweza kuzaa vitoto 20-30 au zaidi ila ana chuchu nne tu hivyo vitoto vinapozaliwa tu vinaanza kushindana na kupigania chuchu vinyonye. Kwa hali hii asilimia kubwa ya vitoto vinakufa vinapozaliwa tu na vingine havitaishi kufika ukubwani.
Ukubwani nako ni ubabe. Jike atapandwa na dume mbabe tu hivyo madume watapigana na kushindana kupata mke. mshindi atapata nafasi ya kuongeza kizazi chake and the cycle continues.
Yesu hakupaa?[emoji849]Huu uzi kwakweli umeahibisha ubongo wangu. Nimejua vitu vingi Sana.
Lakini pia kuna mdau nimejikuta nampenda bure, amekuja na interpretation ya biblia iliyotulia, sijawahi iona popote.
Yesu hakupaa mbinguni kumbe. Sijui kwanini watu wanapenda kupotosha.
Cuckoo ni kamalaya fresh yaan[emoji16][emoji16]Aisee huyu cuckoo ni shetani kabisaaa
Huwa nikiwaangalia nashangaa sana yaani mpaka mtoto anapozaliwa tu bado hata hajafungua macho anahakikisha anabaki peke yake kwenye kichali
Yaani anadondosha mpaka yai lililobaki View attachment 1711758
Cuckoo ni kamalaya fresh yaan[emoji16][emoji16]
Kanaliwa huko kababeba mimba kulea hakataki, hahaha
Mkuu je na ile wanasema Cuckoo kifaranga ana tabia ya kuwasukumia chini watoto vifaranga wa ndege mwingine kwenye kiota then anabaki mwenyewe ili apewe masotojo mwenyewe je ni kweli?Kuna ndege wanaitwa cuckoo sifa yao kubwa ni kuvamia viota vya ndege wengine, pengine hii sifa na wewe ndiyo unaijua. Wasumbufu, wakorofi n wana ubabe hivi.
Tabia nyingine ya cuckoo ni kutopenda kulea mayai yao na vifaranga vyao. Now logic itakufanya ujiulize kama hawalei ni nani wanalea? Jibu ni simple, ndege wengine hua wanalea mayai ya cuckoo.
You see cuckoos hutafuta kiota ambacho tayari kina mayai kisha cuckoo jike huenda kutaga hapo na kuyeya. Ndege mwenye kiota ataatamia mayai, atalisha vifaranga kisha siku ikifika atashangaa kuna kibaba kipo hapo hakielewi na amekilisha tangu kichanga, by that time katakua kanaweza kupaa so katajiondokea.
Now siyo kila ndege ni wajinga au siyo? Wengine wataangalia na kugundua hichi siyo kifaranga changu so ataanza kukatenga kwa kutokapa chakula ambapo cuckoos huteua genge la ndege kadhaa ambao humtembelea yule mama ndege aliyegoma kulisha kifaranga cha cuckoo na kumshushia kipigo.
Mostly baada ya hapo huyu kifaranga hulishwa vyema kabisa mpaka anakua na kuondoka zake.
Namhusudu sana huyu ndege...hapa namcheki na tabia zake mbavu sina![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kamalaya tu bali ni kashetani pia
Yea ni kweliMkuu je na ile wanasema Cuckoo kifaranga ana tabia ya kuwasukumia chini watoto vifaranga wa ndege mwingine kwenye kiota then anabaki mwenyewe ili apewe masotojo mwenyewe je ni kweli?
Thanks much.....mkuu naomba unipe tabia za yule ndege anaitwa martial arts bird sijui nimepatia[emoji848]Yea ni kweli
Na hii huifanya akiwa hapo hapo ugenini
Namhusudu sana huyu ndege...hapa namcheki na tabia zake mbavu sina!
Kadogo lkn kana mambo mazito[emoji16][emoji16]
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe kumbe mtundu hivyo
Yaani ndege mbaya hivyo unampenda
Ila anavyodai chakula sasa pindi anapomzidi ukubwa hata mlezi wake
Na huyo mlezi anashangaa toto halishibi [emoji23][emoji23]
Imagine anadamka asubuhi kumtafutia mlo zaidi ya mara kumi
[emoji24][emoji24]
Hivi hii ya kweli?Hawa mijusi niliwaona Mwanza, wanakimbia kuliko Hussen Bolt.