Mada ya wanyama

Mada ya wanyama

FB_IMG_1709490525147.jpg
 
Zile sauti wanazo zitoa paka usiku sauti zinazo fanania na sauti za vilio vya watoto wachanga

Nisauti ambazo paka huzitoa ili kuwa vutia wenza wao
 
Mkuu utani samehe kwa swali la kiouuzi kidogo lakini kwa sababu nataka kujua Sina budi kuku uliza

Hivi Kuna uhusiano gani Kati ya Huyo mnyama na Hawa wenzetu wa Islam

Mbona Wana mchukia Sana huyu kiumbe

Je! ana madhara gani kwao?
Kuna hadithi moja inasema kulikuwa na karamu na mgeni rasmi alikuwa Mtume.. Na nyama iliyokuwa tamu kuliko zote ni hiyo
Sasa nyakati zile kwenye karamu yoyote hakurusiwa mtu yoyete kuanza kula kabla ya Mtume/mfalme.
Sasa kuna mwana akaionja hiyo na kushindwa kuvumilia akaonja tena na tena
Mtume alipokuja na kugundua hilo hapo hapo akaiharamisha..
My apology sina maana ya kukebehi imani yoyote
 
Zile sauti wanazo zitoa paka usiku sauti zinazo fanania na sauti za vilio vya watoto wachanga

Nisauti ambazo paka huzitoa ili kuwa vutia wenza wao
Zile sauti zinaposikika uswahilini...

huwa tunajua mapairoti washaaanza kufanya yao kumbe...
 
Back
Top Bottom