Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
Kafanyaje!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanyaje!?
Fisi hawabakishi kitu wanakula mpaka ngoziSimba: Hawa ndio wanyama wkubwa kuliko wote jamii ya paka na huishi katika familia moja ambayo inaweza kuwa na simba hadi 40. Huishi kwa ushirikiano na mara nyingi majike ndo wenye jukumu kubwa la kuhakikisha wanawinda na kupata chakula cha familia nzima. Ushiriki wa simba dume katika uwindaji ni hafifu kulinganisha na jike. Mara nyingi hukaa na kusubiri majike wawinde na kisha wao waende kula. Katika uwindaji wao hutegemea zaidi katika nguvu zao pamoja na kasi japokuwa kasi hiyo haidumu kwa muda mrefu.
Chui: Ni jamii ya Paka ambao wanaishi peke yao peke yao sio kwenye makundi. Mara nyingi hukaa pamoja wakati wa kujamiana yaani jike na dume. Aina hii ya maisha imewafanya wawinde kwa njia ya kuvamia moja kwa moja na baada ya kukamilisha windo lake huweza kulificha juu ya miti ili kukwepa wanyama wengine wanaokula nyama wasiweze kumnyang’anya
Duma: Jamii hi ya wanyama wakubwa wanokula nyama hupenda kusihi katika makundi na hutegemea sana katika uwezo wao wa kukimbia kwani ndiye mnyama mwenye kasi zaidi duniani. Kasi yake katika uwindaji imemsaidia kuweza kufanikiwa japokuwa siorahisi kutokana na sababu nitakazo taja hapo chini.
Fisi: Wanyama hawa hutegemea sana katika uwindaji wa makundi, na uwindaji wao hutegemea zaidi katika uvumilivu mkubwa walionao wa kuweza kubana pumzi kubwa hivyo hawachoki haraka.
Mbwa mwitu: Ni mnyama mwenye uwindaji mbaya zaidi kuliko wanyama wote. Huwinda kwa makundi vile vile kama Fisi, lakini humla mnyama anayewindwa akiwa bado mzima na anapambana kujiokoa. Huyu anakula mkono huyu anakula kichwa mpaka anakufa na hawatumii muda mrefu ni kama dakika 15-20 windo linakuwa limeisha tayari.
Kumchinja tu mpaka ufanye timing.[emoji23][emoji23][emoji23]kwa shingo gani sasa
Hatagi ila anahatamia mayai wakati Wa usiku,ndo mana ni mweusi.Ila mbuni dume hatagi lakini
Ni mweusi akilalia mayai usiku maadui hawatamuona,jike lenyewe ni mchana ndo maana lina rangi ya vumbi mchana likiwa limelalia maadu zake hawalioni pia.ndo mana ni mweusi.[emoji1542][emoji1542][emoji1542][emoji1542]sijaelewa hapa...kuna uhusiano gani wa kuatamia mayai na weusi wake
[emoji1545][emoji1545][emoji1752][emoji1752]nimeelimikaNi mweusi akilalia mayai usiku maadui hawatamuona,jike lenyewe ni mchana ndo maana lina rangi ya vumbi mchana likiwa limelalia maadu zake hawalioni pia.
Hii jamii ya ndege dume na jike wanashirikiana katika malezi,kuanzia kuhatamia hadi kukuza vifaranga vyao.
Mkuu kwenye jamii ya paka Tiger(simba marara) ndiye mkubwa kuliko wote.Simba: Hawa ndio wanyama wkubwa kuliko wote jamii ya paka na huishi katika familia moja ambayo inaweza kuwa na simba hadi 40. Huishi kwa ushirikiano na mara nyingi majike ndo wenye jukumu kubwa la kuhakikisha wanawinda na kupata chakula cha familia nzima. Ushiriki wa simba dume katika uwindaji ni hafifu kulinganisha na jike. Mara nyingi hukaa na kusubiri majike wawinde na kisha wao waende kula. Katika uwindaji wao hutegemea zaidi katika nguvu zao pamoja na kasi japokuwa kasi hiyo haidumu kwa muda mrefu.
Chui: Ni jamii ya Paka ambao wanaishi peke yao peke yao sio kwenye makundi. Mara nyingi hukaa pamoja wakati wa kujamiana yaani jike na dume. Aina hii ya maisha imewafanya wawinde kwa njia ya kuvamia moja kwa moja na baada ya kukamilisha windo lake huweza kulificha juu ya miti ili kukwepa wanyama wengine wanaokula nyama wasiweze kumnyang’anya
Duma: Jamii hi ya wanyama wakubwa wanokula nyama hupenda kusihi katika makundi na hutegemea sana katika uwezo wao wa kukimbia kwani ndiye mnyama mwenye kasi zaidi duniani. Kasi yake katika uwindaji imemsaidia kuweza kufanikiwa japokuwa siorahisi kutokana na sababu nitakazo taja hapo chini.
Fisi: Wanyama hawa hutegemea sana katika uwindaji wa makundi, na uwindaji wao hutegemea zaidi katika uvumilivu mkubwa walionao wa kuweza kubana pumzi kubwa hivyo hawachoki haraka.
Mbwa mwitu: Ni mnyama mwenye uwindaji mbaya zaidi kuliko wanyama wote. Huwinda kwa makundi vile vile kama Fisi, lakini humla mnyama anayewindwa akiwa bado mzima na anapambana kujiokoa. Huyu anakula mkono huyu anakula kichwa mpaka anakufa na hawatumii muda mrefu ni kama dakika 15-20 windo linakuwa limeisha tayari.
Mmmh [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Ukizalisha simba dume na tiger jike unapata liger. Bonge la paka.
View attachment 1714696View attachment 1714697View attachment 1714698View attachment 1714699
mkuu huyu BONGE LA NYAU hana madhara...aUkizalisha simba dume na tiger jike unapata liger. Bonge la paka.
View attachment 1714696View attachment 1714697View attachment 1714698View attachment 1714699
Hawa jamaa bwana[emoji23]wanaamini sana katika jina kubaki vitabuniHaha sasa si alikuwa anafanya majaribio kwa vitendo. Unamkumbuka yule aliejilengesha ili amezwe na nyoka sijui alikuwa anatafiti nini kwenye tumbo la nyoka nusura angekufa sema wenzake walimtoa japo alikuwa hoi.
Mungu fundiNi mweusi akilalia mayai usiku maadui hawatamuona,jike lenyewe ni mchana ndo maana lina rangi ya vumbi mchana likiwa limelalia maadu zake hawalioni pia.
Hii jamii ya ndege dume na jike wanashirikiana katika malezi,kuanzia kuhatamia hadi kukuza vifaranga vyao.
Tofauti ya dume na jikeni ipi?tulikuwa tunaamini zamai kwamba mbuni akifkuzwa na mnyama ili awe kitoweo basi huzamisha kichwa chake ardhini akijua amejifiiichaaa...
ila ukweli ni huwa anaangalia mayai yake kama yameanza kutotoa na kuyageuza geuza yazidi kupata joto.
huyo ni mbuni dume pichani.
Parasitic BroodingKuna ndege wanaitwa cuckoo sifa yao kubwa ni kuvamia viota vya ndege wengine, pengine hii sifa na wewe ndiyo unaijua. Wasumbufu, wakorofi n wana ubabe hivi.
Tabia nyingine ya cuckoo ni kutopenda kulea mayai yao na vifaranga vyao. Now logic itakufanya ujiulize kama hawalei ni nani wanalea? Jibu ni simple, ndege wengine hua wanalea mayai ya cuckoo.
You see cuckoos hutafuta kiota ambacho tayari kina mayai kisha cuckoo jike huenda kutaga hapo na kuyeya. Ndege mwenye kiota ataatamia mayai, atalisha vifaranga kisha siku ikifika atashangaa kuna kibaba kipo hapo hakielewi na amekilisha tangu kichanga, by that time katakua kanaweza kupaa so katajiondokea.
Now siyo kila ndege ni wajinga au siyo? Wengine wataangalia na kugundua hichi siyo kifaranga changu so ataanza kukatenga kwa kutokapa chakula ambapo cuckoos huteua genge la ndege kadhaa ambao humtembelea yule mama ndege aliyegoma kulisha kifaranga cha cuckoo na kumshushia kipigo.
Mostly baada ya hapo huyu kifaranga hulishwa vyema kabisa mpaka anakua na kuondoka zake.
OrnithologistKama Kuna mtu mwenye swali kuhusu ndege wanaopatikana east east Africa atupie!!
Binafsi nimekava karibu 300 species frum plumage to sounds and songs,habitat kuanzia ostrich mpaka finches