Huwa kinakuwa kirefu na husimama wakati wa tendoMm sijawahi kuona hiko kinyama
Unaogopa kutoka mkia?Hicho kinyama/kimkia huwatokea wanawake tu?
Wale wanaopenda kunyonya na kulambalamba kila wakionacho watakuja kutujuza kina test ganiHicho kinyama kina madhara yoyote
Inawatokea.Sina hakika sana
Imenibidi nimkumbuke binti mmoja alitokewa akiwa kdt cha 2(akafanyiwa operation) ila sasa ameolewa na ana watoto watatu.Kiafya hakina kiimani ndio kama hivyo
Sasa kutoa jicho si kunawahusu wanawake na wanaume!!ht wanaotoa jicho huwa na hiki kinyama!mi nikikionaga akili hufikiria kwmba hapo marinda yameharibika
Hilo ni tatizo, kwahiyo sidhani kama kuna mtu anapenda apatwe na tatizo!! Lakini nimeona ameongelea upande wa wanawake tu nikataka kujua je ikitokea kwa wanaume kinakuwa hakina hiyo mikosi?Unaogopa kutoka mkia?
Warts inahusiana na hicho kinyama ulichoongelea?Angalia isije kuwa ni warts