Ebu fanya utafiti umletee kijana majibu mujarab, maana umesha mtia waswasi...[emoji13] [emoji13]Kwa wanaume sijui kwakuwa sijawahi kufanya utafiti[emoji85] [emoji85]
Jamaa amekutegaKwa wanaume sijui kwakuwa sijawahi kufanya utafiti[emoji85] [emoji85]
Huwezi kujiona, njoo nikuchungulie mimiImebidi nikajichungulie aisee
Leo unamuweka mganga majaribuni eehhh.....[emoji13] [emoji13]Mshana Weka Picha maana hakuna jinsi,wengine sio watafiti hatujawahi kuviona.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tatizo hao Wanawake wameanza kuota mapembe kwahiyo acha waongezewe mikia tu..
Rudia ukasome upya aiseeeeHicho kinyama kina madhara yoyote
Kusema kweli hapa bila kapicha sitakuelewa ata kidogo hili jambo kwangu jipya sana..![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji102]
Toba....[emoji87] [emoji87] [emoji87]Naomba mniruhusu kuweka Kapicha!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Unaogopa kutoka mkia?
ntakuwa nachunguza hicho kimkia kabla ya kuoa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Imebidi nikajichungulie aisee
Yes.Hemorrhoids
Hujui tuu ulivyo ntisha na vimikia, mtu unaweza uwe nacho na usijue eti... Ndo maana nimejikuta naenda kuhakikishaView attachment 538367[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sakayo mbavu zangu eeh !
Umekiona...?Imebidi nikajichungulie aisee
Kuna kioo mkuuHuwezi kujiona, njoo nikuchungulie mimi
Brother hii sio photoshop kweli! Embu ageuke basi tuone....Hawa wazungu mi siwaamini kabisa.