Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Dah [emoji849] [emoji849] [emoji849] [emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mla PANYA NA Kaka MSHANA naomba ufafanuzi zaidi. Maana mwanamke wangu anacho. Hatuna matatizo ya watoto ila ugomvi kila siku hauishi. Hatuwezi kukaa wiki kwa amani[emoji2357][emoji2357][emoji2357]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachangia pia lakini kwakuwa sasa umeshapata hii elimu jaribu sasa kuepusha shari

Jr[emoji769]
 
Wataalamu wanadai ni birth defects tu. Ni kama kuwa na kidole cha sita, au vidole mguuni au mikononi kuungana n.k. n.k.
Ila binadamu tuna kawaida ya kaweka tafsiri mbalimbali kwa vitu tusivyovijuwa..
 
Mkuu ili andiko lako ni 100 % fact kabisa nnao ushahidi usio na mashaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…