Shukraani kwa kuiwekaIweke hapa tuburudike wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukraani kwa kuiwekaIweke hapa tuburudike wote.
Ule uzi ni balaa! Yule jamaa ni nyoko asee! Yaani nlikuwa nikilala usiku nawaza sijui utaedeleaje pale ulipoishiaYule jamaa alisema usilogwe ukaondoka nyumbani kwenda usipopajua.
Weka linkUle uzi ni balaa! Yule jamaa ni nyoko asee! Yaani nlikuwa nikilala usiku nawaza sijui utaedeleaje pale ulipoishia
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Mi mada yangu pendwa ni ile, 'hivi wanaoenda chumvini wana akili kweli?'
Inasisimua sana![emoji119][emoji119]Mada yangu pendwa ni Wazee wa Road Trip mpo?lazima nipite humu zaidi ya mara tatu kwa siku, ninajifunza na kuelimika mno yanayojadiliwa ndani ya Mada hii na uzuri wachangiaji wote wanaongelea vitu halisi, mfano mchangiaji akiwa anasafiri ndani ya T1 anapost yale anayoyaona kwa wakati ule sio story za vijiweni kudos kwa mtoa mada hii na salutes kwa wachangiaji wote, hii Mada isifikie mwisho
Weka link nijiangalie kama nina akili ama lah!Mi mada yangu pendwa ni ile, 'hivi wanaoenda chumvini wana akili kweli?'
[emoji106][emoji106][emoji119][emoji119]
Mpwayungu village huyuNgoja niitafute.
Muongo muongo sana yule kijanaKwa hiyo mada za Mpwayungu Village za kwenda Rwanda, Uganda, Lindi, Marekani, Sudan Kusini, nk haziwasisimui!!!!
Ulianza je Kukaa gheto uziwa maana sanaUzi bora zipo nyingi, ila mojawapo ni ule wa elezea jinsi ulivyoanza kukaa Ghetto
huu uzi kama unahustle utakuwa inspired sana
wa kufurahisha ni ule wa : ni mauzauza gani ushawahi kukutana nayo barabarani usiku
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huu uzi una vituko sanaSiku ya kwanza kupanda ndege [emoji1787]mnaanzaje kusahau huu uzi na vituko vyake? Mtu anashona suti kwa ajili ya kupanda ndege akifika kwenye ndege anakuta watu hawana habari ndi kwanza wamevaa vitisheti vya kawaida na viatu vya kimasai