FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,100
- 1,363
- Thread starter
-
- #221
Kwa msambwanda ule angetangaza nia. Kwa Chama chochote angepita
Ova
Kalio hilo limeenda Nigeria
Sasa matusi yanakujaje hapa? Khaaaaah ustaarabu muhimu mkuu.Eti wa kukupa mwaliko yupo..
Takataka kabisa wewe..
Kanung'unika mwenyewe na kudai wanaume ndio walivyoMmh ni kweli posh queen kaachwa, hii habari umeipata wapi Dive
Alidhani wanaume tunatulizwa na hizo hips za kichina. Utakuta tabia hovyo kabisa, jamaa kapiga mpaka kazalisha na katosa.Kanung'unika mwenyewe na kudai wanaume ndio walivyo
Wanaume sio watu wazuri kbs
Kageuzwa singo maza ππAlidhani wanaume tunatulizwa na hizo hips za kichina. Utakuta tabia hovyo kabisa, jamaa kapiga mpaka kazalisha na katosa.
Aliona kuliwa na mnaijeria ni ishu sana, tupeanage tu jamani.
Ile siku anatolewa mahari alihisi ameolewa na Jeff Bezos kumbe ni Hawa wafuga ndevu matapeli wa kuchanja mahotelini.Kageuzwa singo maza ππ
Nigeria janja janja sana so now jamaa kamkimbia amaIle siku anatolewa mahari alihisi ameolewa na Jeff Bezos kumbe ni Hawa wafuga ndevu matapeli wa kuchanja mahotelini.
Alipelekwa hotel ye anajua jamaa ana mahela kumbe anatumia kadi za wizi zile. Wasiwe wanatudharau wabongo wenzao hatuwezi kuwatosa kinomanoma, asiyekujua hakuthamini.
Mtoto mzuri kaishia kuzalishwa bila matunzo.
Amekula Kona kitambo. Kamwaga mchuzi kwenye Ile kitu aisee akaikimbiaNigeria janja janja sana so now jamaa kamkimbia ama
Wajinga sana Acha waliw,na sijui kama kule alimuacha salamaIle siku anatolewa mahari alihisi ameolewa na Jeff Bezos kumbe ni Hawa wafuga ndevu matapeli wa kuchanja mahotelini.
Alipelekwa hotel ye anajua jamaa ana mahela kumbe anatumia kadi za wizi zile. Wasiwe wanatudharau wabongo wenzao hatuwezi kuwatosa kinomanoma, asiyekujua hakuthamini.
Mtoto mzuri kaishia kuzalishwa bila matunzo.
Sio rahisi aisee yani unakaa na nyama kwenye fridge halafu usionje hata kidogo? So ndio maana alipoachwa alibwatuka sana hakuamini kwamba kaliwa kule na bado kaachwa.Wajinga sana Acha waliw,na sijui kama kule alimuacha salama
Ova
Hahaha,harusi alifanya kwa mbwmbwSio rahisi aisee yani unakaa na nyama kwenye fridge halafu usionje hata kidogo? So ndio maana alipoachwa alibwatuka sana hakuamini kwamba kaliwa kule na bado kaachwa.
Heheh, wanaonaga wanaijeria kama vile sijui wanatoka marekani kumbe waafrika tu Tena matapeli fulu. Kapigwa mshedede akatoswa. Unajua demu alijiona mzuri halafu aliwe na aachwe huwa inamuuma sana. Alikuwa anasema mahari yake sijui milioni ngapi blaaaalifakenHahaha,harusi alifanya kwa mbwmbw
Utafikiri kaolewa na mkurugenzi fulani
Kumbe kaolewa na janjajanja ππ
Ova
Wapuz sana hawaHeheh, wanaonaga wanaijeria kama vile sijui wanatoka marekani kumbe waafrika tu Tena matapeli fulu. Kapigwa mshedede akatoswa. Unajua demu alijiona mzuri halafu aliwe na aachwe huwa inamuuma sana. Alikuwa anasema mahari yake sijui milioni ngapi blaaaalifaken
Nadhani harusi ilikuwa bado na ilikuwa ifanyike nadhani mwezi wa 11 mwaka jana kwa maelezo ya Poshy kwenye mojawapo ya video yake iliyopo Youtube, ile ilikuwa sendoff.Hahaha,harusi alifanya kwa mbwmbw
Utafikiri kaolewa na mkurugenzi fulani
Kumbe kaolewa na janjajanja ππ
Ova