Madaam Poshy, mbunge mtarajiwa atinga mjengoni

Madaam Poshy, mbunge mtarajiwa atinga mjengoni

Kageuzwa singo maza 😀😀
Ile siku anatolewa mahari alihisi ameolewa na Jeff Bezos kumbe ni Hawa wafuga ndevu matapeli wa kuchanja mahotelini.

Alipelekwa hotel ye anajua jamaa ana mahela kumbe anatumia kadi za wizi zile. Wasiwe wanatudharau wabongo wenzao hatuwezi kuwatosa kinomanoma, asiyekujua hakuthamini.

Mtoto mzuri kaishia kuzalishwa bila matunzo.
 
Ile siku anatolewa mahari alihisi ameolewa na Jeff Bezos kumbe ni Hawa wafuga ndevu matapeli wa kuchanja mahotelini.

Alipelekwa hotel ye anajua jamaa ana mahela kumbe anatumia kadi za wizi zile. Wasiwe wanatudharau wabongo wenzao hatuwezi kuwatosa kinomanoma, asiyekujua hakuthamini.

Mtoto mzuri kaishia kuzalishwa bila matunzo.
Nigeria janja janja sana so now jamaa kamkimbia ama
 
Ile siku anatolewa mahari alihisi ameolewa na Jeff Bezos kumbe ni Hawa wafuga ndevu matapeli wa kuchanja mahotelini.

Alipelekwa hotel ye anajua jamaa ana mahela kumbe anatumia kadi za wizi zile. Wasiwe wanatudharau wabongo wenzao hatuwezi kuwatosa kinomanoma, asiyekujua hakuthamini.

Mtoto mzuri kaishia kuzalishwa bila matunzo.
Wajinga sana Acha waliw,na sijui kama kule alimuacha salama

Ova
 
Wajinga sana Acha waliw,na sijui kama kule alimuacha salama

Ova
Sio rahisi aisee yani unakaa na nyama kwenye fridge halafu usionje hata kidogo? So ndio maana alipoachwa alibwatuka sana hakuamini kwamba kaliwa kule na bado kaachwa.
 
Hahaha,harusi alifanya kwa mbwmbw
Utafikiri kaolewa na mkurugenzi fulani
Kumbe kaolewa na janjajanja 😂😂

Ova
Heheh, wanaonaga wanaijeria kama vile sijui wanatoka marekani kumbe waafrika tu Tena matapeli fulu. Kapigwa mshedede akatoswa. Unajua demu alijiona mzuri halafu aliwe na aachwe huwa inamuuma sana. Alikuwa anasema mahari yake sijui milioni ngapi blaaaalifaken
 
Heheh, wanaonaga wanaijeria kama vile sijui wanatoka marekani kumbe waafrika tu Tena matapeli fulu. Kapigwa mshedede akatoswa. Unajua demu alijiona mzuri halafu aliwe na aachwe huwa inamuuma sana. Alikuwa anasema mahari yake sijui milioni ngapi blaaaalifaken
Wapuz sana hawa

Ova
 
Hahaha,harusi alifanya kwa mbwmbw
Utafikiri kaolewa na mkurugenzi fulani
Kumbe kaolewa na janjajanja 😂😂

Ova
Nadhani harusi ilikuwa bado na ilikuwa ifanyike nadhani mwezi wa 11 mwaka jana kwa maelezo ya Poshy kwenye mojawapo ya video yake iliyopo Youtube, ile ilikuwa sendoff.

Nikipitia comments za kwenye video zake za sendoff kule YouTube nacheka sana, kuna watu wanasema haiwezekani huyu mwanaume akawa hana mke uko kwao Nigeria, lazima anaye hapa anadanganywa baada ya muda Poshy atakimbiwa.
 
Back
Top Bottom