Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Mwenye tako anajiamini kuliko mwenye degree.
Alisikika mwehu mmoja kule kijijini kwetu mwasubuya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye tako anajiamini kuliko mwenye degree.
Alisikika mwehu mmoja kule kijijini kwetu mwasubuya
I can't wait[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usipate shida kupaka huko nyuma mpakaji yuko hapa [emoji12][emoji12][emoji12]bila ya shaka huwa wanapaka na mikono [emoji41][emoji41]
Huyo ndo campagn manager wake?
Mimi huyoHuyo ndo campagn manager wake?
Hela zote za ng'ombe ulizoagizwa uuze ili dogo aende shule ushalizwa tayariMimi huyo
Wamebaki ndama watotoHela zote za ng'ombe ulizoagizwa uuze ili dogo aende shule ushalizwa tayari
umeonaee hata wauza nyapu nao wanakaribishwa aiseeYaani mpaka hapo washambanjua,yaani watu wapuuzi wapuuzi wa instagram wanaenda bungeni.
Sehemu kama Bunge inatakiwa waende watu waliofanya makubwa kwa nchi yetu ili,uwa-inspire vijana kufanya vikubwa wewe mpaka wauza K wanaenda bungeni,nina uhakika huyu atakuwa mgeni wa mbunge wa CCM.
Alafu CAG akiwaambia bunge dhaifu spika anaanza kumaindi.
Wamebaki ndama watoto
Kwa hiyo sisi ndio waongezaji
Jiheshimu uheshimiwe basiKwani c juzi tu nilikuona ukishuka pale Airport toka China kufanyiwa surgery ya mawowowo au unajitekenya mwenyewe afu unacheka [emoji848][emoji87]
Jiheshimu uheshimiwe basi
Jiheshimu uheshimiwe basi
Sijanuna walaJamani Bi mkubwa umenuna tena, basi samahani kama nimekukwaza Mama la Mama.
Sijanuna wala
Baba zao wameshawalipia [emoji3][emoji3] watoto hawa wote sio wakoAsante kunijuza jema hasa kutonuna, haya karibu kibarazani tutete kuhusu ada za wanetu maana wamekaribia kufungua shule Mama.
Baba zao wameshawalipia [emoji3][emoji3] watoto hawa wote sio wako
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ayseee...mbona hata mimi nilishajua siku nyingi tu nilipomwona yule wa kwanza na wapili wanafanana fanana na yule ex wako uliyeniambia mliachana kabla sijakuoa...daaah!...?
Huendi mbinguni [emoji26][emoji57]