Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Salaam wakuu.
Naenda moja kwa moja kwenye mada.
Tunaomba ufafanuzi kidogo tu juu ya hali ya Hallucination na mambo ya Imani zetu zote, Je Hallucination ni tendo la kiimani au ni tendo la kitabibu.
Ahsante:
NB: Hii mada kama huelewi please wewe soma tu comment upate kujifunza kama mimi, Usije ukaleta ujuaji. ( Mods naomba nilinde)
Pia samahani sijapata kiswahili kizuri cha Hallucination.
Naenda moja kwa moja kwenye mada.
Tunaomba ufafanuzi kidogo tu juu ya hali ya Hallucination na mambo ya Imani zetu zote, Je Hallucination ni tendo la kiimani au ni tendo la kitabibu.
Ahsante:
NB: Hii mada kama huelewi please wewe soma tu comment upate kujifunza kama mimi, Usije ukaleta ujuaji. ( Mods naomba nilinde)
Pia samahani sijapata kiswahili kizuri cha Hallucination.