Madada wa mujini, role model wenu anajitapa kuitafuta ndoa ya tano

Kwa zile millions alizochangisha huyu atakuwa mjasiriamali wa michango😅
 
Hakuna maajabu ni bwawa limemwagiwa upupu wa waganga wa kienyeji ili unase
Sikupingi mzee mwenzangu..
We hata ukisema mchanga mtamu mie naramba, ukiniambia mchanga sukari naunga kwenye chai kabisa...[emoji23]


Lile linaonekana ni gwagu, jini makata subiani,maimuna wapo kwa hewa, waganga itakuwa waishatia tia saana vikojoleo ili dawa itende kazi.[emoji23]
 
Anakutana na vichwa mpira anawafinyia kwa ndani wanatangaza ndoa, au wanahamishiwa njia bila kujua, mtu mpaka anashusha protini kaishatangaza ndoa, mahari wameshakubaliana bado kulipa tu [emoji23]
Hio miundombinu tu
 
Unaweza ukakuta nae akivishwa pete analia.........,ila Dida naona ndoa kwake zishakuwa kama birthday party.
 
Mwanamke mpumbavu sana,yaani huo uke wake anaufanya kama bazoka kila mtu akitaka anatafuna utamu ukiisha anaitema,anajiabisha sana.
Hata hao wanaume wanao muoa wana matatizo ya akili dishi limeyumba
 
Hivi sepenga yupo wap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…