Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
makungwi wengi huwa hawana ndoa, zimewashinda.....Uyu dada
Huwa anajifanya kungwi Sana wa mambo ya mahusiano na ndoa.
kumbe nae Ni zero kabisa.
Ya kwake mwenyewe yanampeleka puta[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmeliona Hilo mkuu[emoji848]makungwi wengi huwa hawana ndoa, zimewashinda.....
Anachezea wanaume tuKuna kitu hakipo sawa kwa huyu mtu.... au ana mdomo sana!!!
Mwanamke mpumbavu sana,yaani huo uke wake anaufanya kama bazoka kila mtu akitaka anatafuna utamu ukiisha anaitema,anajiabisha sana.
😂😂😂😂Unaweza ukakuta nae akivishwa pete analia.........,ila Dida naona ndoa kwake zishakuwa kama birthday party.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] forward kashindwa kufunga goal?Tena mheshimiwa hakua peke yake, ila alimzidi kete mpinzani wake na sasa mpira unarudi kwa keeper.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani amekuzuia kutest mitambo kwa dida. Sema ukitest akikuelewa mzee baba utaoa tuu maana analazimisha sana ndoa huyo bibi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona hivyo ujue Kuna ingizo la shela mpya,kwa sekta hio dida ni mama usipitwe kila shela anataka kuivaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi limeachika tena?
Sema lina waganga wazuri, full kuchezea wanaume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tekinolojia imemuumbua kumbe alipenda hela tu hakumpenda mwanaume mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119]kwa kweliNdoa bhna...unaminyaminya nyanya unachagua bilinganya
Ni fund wa kuiminyia kwa ndanIgekuwa ruksa kutest mitambo mie ningeenda kutest nione cha ajabu nin kiasi hao wajomba wanapagawa?
Ni kweli ana maajabu au wajomba tu na umbwiga wao!!![emoji848]