Madagascar: Rais atangaza Wabunge 2 kufariki kwa Corona, 25 wengine wanaumwa

Madagascar: Rais atangaza Wabunge 2 kufariki kwa Corona, 25 wengine wanaumwa

Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Tunawataka Wachukue Tahadhali Bila Shaka Wataweza Kujinusuru Ila Waache Ubishi Iwapo Hayo Sijui Juice Imeshindwa Kutoa Nafuu


Nchi Nyingi Sana Zipo Hoi,
 
Ngoja iwapige, maana ukaidi a kifala ndiyo dawa yake, kesho wataacha mchezzo na sayansi. Unabisha kuwa hakuna acclaration due to gravity, haya panda juu ya mti uruke, majibu utayapata. Sasa wameyapata majibu
 
Italy so ndo ukristu una mizizi yake ya kutosha ? Mbona walipoteza watu wengi sana

Sent
Wewe utakuwa ni wale wanaohesabu shanga wakimtaja mama mmoja hivi.

Tofautisha ukristu na wa kristo.

Gal 3:29
Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
 
Hivi kwa nini wafia dini huwa hamkubali opposition ?
Haya nakupa mfano mweingine Saudi Arabia ambako ndipo chimbuko la uislamu nako korona imezingua mbaya, ,


Sent
 
Hivi kwa nini wafia dini huwa hamkubali opposition ?
Haya nakupa mfano mweingine Saudi Arabia ambako ndipo chimbuko la uislamu nako korona imezingua mbaya, ,


Sent
Shida wewe unafikiri nguvu za Mungu zimefichwa ndani ya dini, hapana,
Dini ni mifumo ya wanadamu kumtafta Mungu na sio mfumo wa Mungu kumtafuta mtu,mfumo wa Mungu kumtafuta mtu nikupitia Kristo Yesu.


Yoh 17:3
"Uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma"
 
Kwingine Corona Inaua, Tanzania pekee ndio Corona haiui.
Kwingine Corona imeua uchumi, Tanzania pekee ndio Corona imekuza uchumi Hadi uchumi was kati
Mungu ni MKUBWA na hufanya apendavyo na hakuna limshindalo na anapoamua kufanya husema tu KUWA na KITU KIKAWA bila kujali nani ana nini na nani anasemaje.
 
Huku madagascar mm napata hofu kwamba mabeberu wanaweza kua wamefanya jambo maaana sio kwa moto aliouwasha huyu raisi wao
 
Ulikuwepo huko Italy [emoji634] au habari umezipata kwa Juma lokole?
Hapana sikuwepo Italy , for the same context hata korona haipo kabisa maana sikuwepo Wuhan , source ya taarifa za Wuhan ndio hiyo hiyo iliyonipa taarifa za mass graves Italy na Spain


Sent
 
TZ tusubiri maambukizi makubwa baada ya mikutano ya CCM huko Dodoma maana si kwa starehe zile!!!! Kungwi mwenyewe, waziri wa afya, hakuvaa hata barakoa ya majani.
Hayo maambukizi wewe utayaonea wapi? maana kabla ya hiyo mikutano ya ccm kulikuwa na ile party ya kuaga corona na hadi sasa hatujaona maambukizi,ila ngoja tuone sababu kwenye huu mkutano wengi tunawajua kuna viongozi na wasanii labda tutasikia wakiumwa au hata vifo kabisa.
 
Huku madagascar mm napata hofu kwamba mabeberu wanaweza kua wamefanya jambo maaana sio kwa moto aliouwasha huyu raisi wao
Waunde tume kuchunguza na kuangalia kama wamewahi kupokea Barakoa kutoka kwa mabilionea wa kibeberu.Yule waziri aliyekejeli kuwapa pipi watoto wapoze uchungu wa covid aangaliwe nyendo zake na mahusiano yake.
 
Naendelea kukumbushia tu kwamba hiki kitu kinahitaji suluhu la kisayansi, acheni vikombe vya babu na wengine mumejichokea.

Watz walifuata vikombe vya Madagascar kwa mbwembwe na kwa kutumia ndege ya ikulu. Sasa hao waliowapa msaada wa vikombe wanapukutika, wamepoteza wabunge.

Tuzingatie njia za kisayansi na pia tuchukue tahadhari.

Madagascar: Rais atangaza Wabunge 2 kufariki kwa Corona, 25 wengine wanaumwa
 
Back
Top Bottom