Madagascar wao hawana visingizio,wanashine tu,Taifa stars tunafail wapi?

Victoire

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2008
Posts
24,386
Reaction score
57,588
Madagascar wanashiriki AFCON kwa mara ya kwanza,wamemtoa jasho GUINEA na leo wanamtoa Jasho Nigeria,hope watashinda.Wao kazi yao ni moja tu kusukuma ball haijalishi aliye mbele yao ni Nigeria ama GUINEA.Tanzania taifa stars tunafail wapi?
 
Tunafeli pale ilipoanza kuitwa taifa staa

Kuiombea taifa staa , ni matumizi mabaya ya maombi na kumjaribu bwana Mungu wako
Kabisa yaani,Mungu alishatupa uwezo wa kusolve matatizo.Inakuwaje tunampotezea tu muda wake kumwomba kitu ambacho alishatupa,ni sisi tu tunatakiwa kuweka maarifa.
 
2-0
Madagascar wanashiriki AFCON kwa mara ya kwanza,wamemtoa jasho GUINEA na leo wanamtoa Jasho Nigeria,hope watashinda.Wao kazi yao ni moja tu kusukuma ball haijalishi aliye mbele yao ni Nigeria ama GUINEA.Tanzania taifa stars tunafail wapi?
 
Hivi hatuwezi pata jina lingine kwa ajili ya timu hii? Kwa nini tunachanganya kiswahili na kizungu kwenye jina la timu.
Unapendekeza jina gani sasa ? Nadhani Jina halina tatizo.
 
Madagascar wanashiriki AFCON kwa mara ya kwanza,wamemtoa jasho GUINEA na leo wanamtoa Jasho Nigeria,hope watashinda.Wao kazi yao ni moja tu kusukuma ball haijalishi aliye mbele yao ni Nigeria ama GUINEA.Tanzania taifa stars tunafail wapi?
Hizo experience wanazosema wataalamu wetu nazikataa. Ukiangalia wachezaji wetu wangeweza kufanya vizuri tu kwa uzoefu huo walionao. Tatizo kocha mwenyewe pia uzoefu mdogo kuwasoma wachezaji wake na kujua kusoma mchezo wa wapinzani
 
Unawacha watu wa mpira kama kina Tenga, Ali Mayai, afu unamchukua mtu hajuj hata kupiga danadana achilia mbali kuitwa hata timu ya kijiji awe mhamasishaji, acha wapigwe tu.
Kama vipi wamuite Jecha akasaidie
 
Kwa mjibu wa muomba kwenda kuhamasisha Timu kule Ufaraoni, alinukuliwa akisema "taifa stars inatekeleza ilani ya CCM". Sasa jibu limeshapatikana, kumbe ilani ya CCM ni Failure kama ambavyo watekeleza ilani wanavyo-fail.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…