Madagascar wao hawana visingizio,wanashine tu,Taifa stars tunafail wapi?

Madagascar wao hawana visingizio,wanashine tu,Taifa stars tunafail wapi?

Hizo experience wanazosema wataalamu wetu nazikataa. Ukiangalia wachezaji wetu wangeweza kufanya vizuri tu kwa uzoefu huo walionao. Tatizo kocha mwenyewe pia uzoefu mdogo kuwasoma wachezaji wake na kujua kusoma mchezo wa wapinzani
Umeona eeh. Hata mimi leo nimejiuliza hawa Madagascar wanashiriki kwa mara ya kwanza. Sisi mara ya pili baada ya miaka 39.Madagascar wamemfunga aliyewahi kuwa bingwa AFCON mara kadhaa. Sisi Senegal tulimwogopa kabla hata hatujakutana nae. Halafu tuna visingizio vya uzoefu. Hawa Madagascar wao wanashinda na leo wameongoza group.
 
Unawacha watu wa mpira kama kina Tenga, Ali Mayai, afu unamchukua mtu hajuj hata kupiga danadana achilia mbali kuitwa hata timu ya kijiji awe mhamasishaji, acha wapigwe tu.
Kama vipi wamuite Jecha akasaidie
Kabisa football ni zaidi ya maneno. Taifa stars wanatakiwa wasiogope na waamini wanaweza kwa vitendo.
 
Please Victoire Taifa Stars is no more. The team is known as ccm stars.

Madagascar wanashiriki AFCON kwa mara ya kwanza,wamemtoa jasho GUINEA na leo wanamtoa Jasho Nigeria,hope watashinda.Wao kazi yao ni moja tu kusukuma ball haijalishi aliye mbele yao ni Nigeria ama GUINEA.Tanzania taifa stars tunafail wapi?
 
Tuangalia pia namna walivyofuzu ( walistahili)! Simnajua timu yetu jinsi ilivyofuzu? Tulienda kimaajabu kwahiyo hakuna ajabu kwa matokeo tulioyapata
 
Kabisa football ni zaidi ya maneno. Taifa stars wanatakiwa wasiogope na waamini wanaweza kwa vitendo.
Taifa stars ya Maximo ilikuwa moyoni mwa kila mtanzania kwa kuwa ilitengwa na siasa watu wa mpira tu ndio walishiriki mpira. sasa hadi raisi wa tifutifu anaendesha nchi yake kwa siasa, unategemea kushinda bila Jecha?
 
Tuangalia pia namna walivyofuzu ( walistahili)! Simnajua timu yetu jinsi ilivyofuzu? Tulienda kimaajabu kwahiyo hakuna ajabu kwa matokeo tulioyapata
Hivyo ni visingizio tena. Hata sisi tunastahili kupata matokeo mazuri,ni mipango tu na mbinu.
 
Madagascar sio wenzetu walijitoa nje ya mashindano ya afcon Mara 3 ili kuandaa kikosi Bora na matokeo yao tunayaona kwenye hii afcon2019
Kumbe ni mipango ya muda mrefu. Sisi pesa zenyewe ilibidi watanzania waombwe michango.
 
I agree with you on this, BUT in my opinion it is so easy TO DEFEAT them if we reject this team outright that it is no longer our team (Tanzanians Team) it is now ccm team. This will show them how much we as Tanzanians don't like them and their ideas about this team. So we should shop cheering for this team, attend their games and SUPPORT them in any shape or form that is moral and monetary support.

No,tusikubali kina Bashite watuuingizie siasa kwenye football. We have to fight them back,right,left. Taifa stars ni ya Taifa siyo chama. Huyo Bashite zake zinahesabika.
 
Sijaona media yoyote kuripoti karudi. Si alitumwa na Baba yake akalete ushindi na kupewa bulungutu nono la kujirusha kule? Sasa atarudi vipi wakati Bulungutu bado halijakata? Kumbuka kauli yake kuhusu kufaidi CAKE ya Taifa.

Hapa umeniacha kwenye mataa ya ubungo. Mchezaji rede ndo nani ? Kwani Bashite bado hajarudi Bongo?
 
Sababu siasa haziingii kwenye timu ya Taifa, kwao soka ndio kiunganishi. Mnigeria kachezea 2 zake.
 
Sijaona media yoyote kuripoti karudi. Si alitumwa na Baba yake akalete ushindi na kupewa bulungutu nono la kujirusha kule? Sasa atarudi vipi wakati Bulungutu bado halijakata? Kumbuka kauli yake kuhusu kufaidi CAKE ya Taifa.
Jana niliona clip akiwanunulua njumu za Adidas wachezaji.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom