Madai ya kuchelewesha Vyeti, RITA yasema imepokea maombi 143,157, yaliyofanyiwa kazi ni 61.2%

Madai ya kuchelewesha Vyeti, RITA yasema imepokea maombi 143,157, yaliyofanyiwa kazi ni 61.2%

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
IMG_20240801_162811_849.jpg
TAARIFA KWA UMMA

ZOEZI LA UHAKIKI WA VYETI VYA VIZAZI NA VIFO VYA WANAFUNZI WANAOOMBΑ ΜΙΚΟΡΟ YA ELIMU

Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umepokea jumla ya maombi uhakiki 143,157 ambapo kati ya hayo, maombi 87,665 sawa na asilimia 61.2 yameshafanyiwa kazi na majibu kutumwa kwa wahusika.

Maombi yaliyosalia ambayo ni 55,492 yanaendelea kufanyiwa kazi kwa ajili ya kukamilisha kazi ya uhakiki ndani ya siku 7.

Hata hivyo, tunakiri kuwepo kwa changamoto katika mfumo wa kutuma maombi ya Uhakiki ambayo kwa sasa imepatiwa ufumbuzi.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.

Imetolewa na
Kitengo cha Masoko na Mawasiliano.

Pia, soma: KERO - RITA badilikeni, toeni majibu ya uhakiki wa vyeti kwa wakati
 
Ukiachana na hilo la kuchelewesha majibu ya verification wengine tuna wiki ya pili sasa tumelipia kuomba vyeti vipya lakini tunaambiwa pesa haijaingia ilhali malipo yalifanyika na pesa inaonyesha imefika kwao ukifika ofisini kwao hakuna majibu ya maana wanayotoa tunaomba mtusaidie kwa hili jamn tunateseka sisi
 
  • Thanks
Reactions: K11
Back
Top Bottom