Statics
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 394
- 1,015
Wakuu ,
Wiki iliyopita Ijumaa kwenye moja ya ATM ya DTB hapa mjini nilienda kutoa pesa laki moja...
Kilichotokea pesa haikutoka na kwenye account yangu wamekata pesa.. nikawafata customer care mda huohuo wakaniambia mtandao unasumbua pesa yako utarudishiwa baadae... hawakurudisha
Kesho yake Jumamosi nikawafata, wakanipa form ya kujaza ( ATM TRANSACTION QUERIES ), wakaniambia pesa nitarudishiwa baada ya masaa 48 ya kazi hivyo wakaniambia nije kufatilia Jumatano kama pesa haikurudishwa...
Jana Jumatano nilikwenda wakaniaminisha wataniwekea baadae siku hiyohiyo,, ila hawakuweka
Leo pia nimekwenda nikawakazia kwamba nataka waniwekee pesa yangu muda huohuo...
Matokea yake wamenikalisha masaa, mwishoni wananiambia nije kesho sijui report haikutumwa vizuri, mara sijui kuna vitu havijabalance..
Nimechoka na hizi porojo zao...
Hivi wakuu hakuna namna naweza kuwashitaki nilipwe fidia kwa usumbufu wanaonifanyia ?
Wiki iliyopita Ijumaa kwenye moja ya ATM ya DTB hapa mjini nilienda kutoa pesa laki moja...
Kilichotokea pesa haikutoka na kwenye account yangu wamekata pesa.. nikawafata customer care mda huohuo wakaniambia mtandao unasumbua pesa yako utarudishiwa baadae... hawakurudisha
Kesho yake Jumamosi nikawafata, wakanipa form ya kujaza ( ATM TRANSACTION QUERIES ), wakaniambia pesa nitarudishiwa baada ya masaa 48 ya kazi hivyo wakaniambia nije kufatilia Jumatano kama pesa haikurudishwa...
Jana Jumatano nilikwenda wakaniaminisha wataniwekea baadae siku hiyohiyo,, ila hawakuweka
Leo pia nimekwenda nikawakazia kwamba nataka waniwekee pesa yangu muda huohuo...
Matokea yake wamenikalisha masaa, mwishoni wananiambia nije kesho sijui report haikutumwa vizuri, mara sijui kuna vitu havijabalance..
Nimechoka na hizi porojo zao...
Hivi wakuu hakuna namna naweza kuwashitaki nilipwe fidia kwa usumbufu wanaonifanyia ?