Madai ya vifaa vya ujenzi kupanda bei: Mtaani kwako hali ikoje?

Madai ya vifaa vya ujenzi kupanda bei: Mtaani kwako hali ikoje?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kupitia mtandao wa twitter kuna madai ya kupanda kwa vifaa vya ujenzi: Cement,nondo,bati, n.k.

Madai haya yanatokana na swali alilouliza Zitto juu ya bei hizo kupanda ambapo baadhi ya watu wamemjibu ni kweli bei zimepanda.

Kwa mfano,wanadai mfuko wa cement umepanda kutoka shilingi 11,500 mwezi March jana mpaka kufikia shilingi 13,000 mwezi March mwaka huku nondo ya mm 12 ikidaiwa kupanda kutoka shilingi 16,000 mpaka kufikia shilingi 20,000.

Je,madai haya ni ya kweli?

Mtaani kwako bei zikoje?

Kama ni kweli,chanzo ni nini?

Je,kuna kiwanda cha cement kimesimamisha uzalishaji?

Kama kipo,hiI ndio inaweza kuwa sababu ya kupanda kwa bei ya mfuko wa cement?

Vipi kuhusu nondo?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ungesema sasa ni cement ya kiwanda gani make bei ya cement inategemea ubora wa kiwanda na sment yenyewe
 
Ungesema sasa ni cement ya kiwanda gani make bei ya cement inategemea ubora wa kiwanda na sment yenyewe
 
Ungesema sasa ni cement ya kiwanda gani make bei ya cement inategemea ubora wa kiwanda na sment yenyewe
 
Bidhaa hizo zimepanda kweli. Nilinununua cement kwa shilingi 10200 na nondo shilingi 14000 mwezi wa tisa mwaka jana. Juzi nimenunua nondo ya 12mm kwa 19000 na cement kwa 12500.
 
Bidhaa hizo zimepanda kweli. Nilinununua cement kwa shilingi 10200 na nondo shilingi 14000 mwezi wa tisa mwaka jana. Juzi nimenunua nondo ya 12mm kwa 19000 na cement kwa 12500.
Au wameongeza kodi kinyemela?
 
Nondo zinapanda bei kila siku!
Inasikitisha sana !
Vifaa vya ujenzi Kwa ujumla hupanda bei maradufu kila baada ya muda mfupi!
Wananchi ndo wanaotumia!
 
Nondo zinapanda bei kila siku!
Inasikitisha sana !
Vifaa vya ujenzi Kwa ujumla hupanda bei maradufu kila baada ya muda mfupi!
Wananchi ndo wanaotumia!
Kuna nini kinaendelea katika hii biashara ya vifaa vya ujenzi?
 
Ungesema sasa ni cement ya kiwanda gani make bei ya cement inategemea ubora wa kiwanda na sment yenyewe
Nadhan hapo bila kujal hayo yote.. Issue ni kupanda bei.. Licha ya kua zina tofautiana bei je kwa utofaut wao kila moja imepanda?
 
Mbona hii ni well known wala hakuna haja ya kuthibitisha source of information.
Sitoshangaa wazee wa bei elekezi wakija na huku
 
nimeulizia bati ft 10.
pale makuna buguruni.
ni 275,000.
nondo 12 mm ni 1,800,000.
acha square pipes,plate,flat bar,black pipe n.k
ni hatari sheikh.
cement 13,500.
CHUMA KIMEKUWA CHA MOTO.
 
Mkuu leo nimetoka hardware, lucky cement 12500, Twaiga 13000 Dangote nimembiwa kaacha kuzalisha sijui kama ni kweli.
Nondo Mill 16 bei 22000, msumar nchi 4 kilo 1 4000
 
nimeulizia bati ft 10.
pale makuna buguruni.
ni 275,000.
nondo 12 mm ni 1,800,000.
acha square pipes,plate,flat bar,black pipe n.k
ni hatari sheikh.
cement 13,500.
CHUMA KIMEKUWA CHA MOTO.


Mkuu kwenye bati ni bundle ,pia ni gauge ngapi?
Au ulimaanisha mild-steel sheet, na kama ni kweli je ni mm ngapi ?
 
Mkuu kwenye bati ni bundle ,pia ni gauge ngapi?
Au ulimaanisha mild-steel sheet, na kama ni kweli je ni mm ngapi ?
gage 30..
hyo ni bei ya kiboko imara.
zinazokaa 16.za mita 3.
simba dumu ndo usiseme.
 
Back
Top Bottom