Madai ya waislam kuhusu sensa 2012

Ikiwa una dini huwezi kukataa ,na iwapo unajiita mkiristo aafu ukakataa basi ukiristo wako ni wakutiliwa shaka.
 
Hamjawaelewa hawa. wanataka kujaribu kuona kama wanaweza kudictate katika mambo muhimu ya nchi. Hapa ni mwanzo tu hasa baada ya lile la mahakama ya kadhi kukosa mashiko katika mfumo wa serikali. Serikali yetu nayo ndiyo hiyo isiyo na hatamu
 
Sina maana hiyo. Namaanisha kwamba kuna haja gani sasa ya kuhesabu nyumba za ibada wakati waabudu wanaoingia kwenye hizo nyumba wenyewe bila kuhesabiwa? Kuna Nini kilichojificha hapa katikati?

Kwa hatua ambayo zoezi la sensa limefikia, Kama kuna mtu leo hii 31/07/2012 anaamini kwamba kuna KIPENGELE KITAONGEZWA AU KUPUNGUZWA kwenye DODOSO la sensa ya 2012, basi mtu huyo ni MBUMBUMBU MZUNGU WA RELI na anahitaji maombezi.
 
Mkiweka tu kipengele cha dini basi watu wa kwetu nao watadai kipengele cha kabila na nasaba. Sababu hivi ni vipengele vya kiasili kabisa. Vipo tangu tumeanza kuwa hapa kwenye nchi yetu na ni zaidi ya hayo maitikadi mnayodai, kwanza yaliletwa na wahuni (wakoloni), na sasa sisi ndio tunataka kujifanya .. tunajua zaidi mambo ya kigeni
 

Uongo mbaya hawa Jamaa ni wapumbafu tu na Daima hawana maamuzi ya busara siku zote wamejaa chuki na kutojiamini Nawachukia sana kwa ujinga wao sijui hua haifikiriii Juzi tu hapa ilikua inadai irudishie shule zao zilizochukuliwa na serikali sasa nawakilisto wangeamua kuzichukua ingekuwaje sasa,Inakubukwa Mh Mkapa (Mkiristo) wakati yuko madarakani alikichukua chuo ambacho kilikua chini ya Tanesco na kuwamilikisha Waislamu wangemilikishwa wakristo ingekua tabu,Nenda kwenye Taasisi yote ya kislamu pamejaa ubaguzi,Zazibar vuguvugu la Muungano makanisa yakachoma,Wamefunga Ramadhani wanatangazia mama ntilie wasifungue migahawa JAMANI EBU ACHENI UBAGUZI WA KIPUMBAVU
 

sasa hapo unamaana kuwa viongozi wamechaguliwa kidini?, mbona hutajo taasis zote za umma?, acha kuongea hoja dhaifu namna hiyo, ongea hoja za maana. Kuna taasis ngapi serikalini zote zinaongozwa na waislamu?, thats too cheap, by the way Jack zoka wa tss ni muslim?, i doubt that
 
..........penye red umedanganya na ni aibu kwa mtu mzima kusema uongo, pili serikali haihitaji imani za wananchi wake ili ipange mipango ya maendeleo kwa madhumuni ya sensa..... pole baba/mama na udini wako
 
Napenda kukusahihisha katika madodoso hakuna kipengele kinachohusiana na kuhesabu nyumba za ibada.

Pia kumbuka nchi yetu haina dini hivyo haina matumizi na takwimu za kidini, maswala ya maeneo ya mazishi ni maamuzi ya wananchi wenyewe na ni shwala la kisera kwamba katika maeneo ya miji mipya inayopimwa ni lazima/muhimu kuwa na miundombinu mbali mbali ya kijamii mf maeneo ya makaburi, maeneo ya kutupa taka ngumu na za kawaida n.k.
Katika maeneo yasiyopimwa ni wananchi wenyewe huamua kutenga maeneo ya makuaburi kupitia vikao vya vijiji na kamati ya maendeleo ya kata, hivyo c lazima zitumike takwimu za sensa.
Sensa ya mwaka 2012 ni ya 5 katika nchi yetu hawa wenzangu walikuwa wapi wakati hizo nyingine zinafanyika wasidai hili wanalodai leo km na wao si kwamba wanapima kina cha maji kwa mguu?
 
Hawa jamaa wapuuzi sana,baada ya kujua wako wangapi wataanza kudai kura ya maoni tz itenganishe maeneo ambayo wao wako wengi yajitenge...nyambaf
 
Nafikiri ingekuwa vizuri tungeungana na waislamu ili serikali ishike adabu. Walimu, madaktari, mgomo wa wafanyakazi wote pamoja na wote tusioipenda serikali ya kifisadi iliyoko madarakani tungegomea sensa kuonyesha msisitizo.Tuungane kama watanzania kugomea sensa ikiwa ni ishara ya kuchukia kutekwa kwa raia mwenzetu Dr Ulimboka.:spy:
 

Ni kwanini sasa baada ya Miaka 50; Ni waislamu ndio waliokuwa wananyanyasika?

Kila kitu wanachofikiria kukitaka wanakipata?

1. Wana Mahakama ya Kadhi
2. Jaji Mkuu ni Mwislamu
3. Jaji Kiongozi ni Mwislamu
4. Waziri wa Ulinzi ni Mwislamu
5. Mkuu wa Polisi ni Mwislamu

Sasa Unadhani hapo haki kwa Waislamu hazitendeki kwa kutoweka DINI kwenye Sensa? HUKO JELA kuna

Waislamu walionyongwa kisiasa? JAMANI Sababu ya Udhaifu wa SIASA yetu kufanya sisi kutengana baadhi

Kuwa bora zaidi ya wengine, sasa hapo WAISLAMU watakuwa very speacial class kwenye nchi itakuwa kama

Jinsi Waisraeli walivyo Special kwa Wamarekani chochote wanapata; wakikohoa lazima yatelekezwe

sasa hapa kwetu itakuwa hivyo? na ukiangalia ni Waislamu wetu wa PWANI; kuna Waislamu wa kichagga, wa kisukuma

hao wana ukabila wao hawana matakwa magumu kama wa PWANI...

HII ITAKUWA KAZI...
 
Watanzania wenzangu, tujaribu kuishi wa upendo, na tuepukane na tabia ya kujadili mambo kwa hisia. Leo hii tunanyoosheana vidole eti fulani hampendi fulani kwa sababu ni dini fulani. Wengine tunaitana majina kadha wa kadha… hawa washenzi, hawa magaidi nk.
Naomba niwakumbushe haya, kama mnajisahau mkafikiri kwamba duniani vurugu ni za wakristo na waislam peke yake:
Japan kuitokea mauaji ya kidini, hayakufanywa na wakristo wala waislam;
Wakati wa vita ya Yugoslavia ya zamani, waliouliwa na askari wa ki-Serb walikua ni Wakristo na Waislam
North Ireland, wala haikua dini moja dhidi ya nyingine, ilikua ni waprotestanti na wakatoliki
Iraq, wanaouawa wala wakristo, ni Shia vs Sunni. Somalia wala haijulikani tatizo ni nini haswa… kama ni madhehebu au misimamo…!
India wakati mwingine nako mara budists, mara hindus, mara muslims…!!
Tunajua yaliyotokea kwa wayahudi wakati wa Hitler
Andrey Bravic wa Norway, alishasema hataki watu wa imani za mashariki ya kati na mashariki ya mbali Norway.
Sasa, sisi Watanzania tunaodhani kwamba ni upande mmoja tu ndio una maumivu kuliko mwingine – kwamba ni upande mmoja tu ndio “umetendwa” au “umetenda”- halafu tunaamua kutukanana bila sababu za msingi, tufikiri mara mbili.
Au niweke hivi: Wewe mtanzania ambaye unadhani labda Wakristo wote hawawapendi waislamu; au Waislamu wote hawawapendi Wakristo - Unayedhani kwamba waliodhulumiwa duniani ni Waislam pekee, au Wakristo pekee - tafadhali, fikiria mara mbili.
Vitabu vyetu vinasema tuishi kwa upendo, cha muhimu kila mtu aabudu kwa salama.
Sasa kama wewe unasali kanisani, adhana haikuhusu; na wewe unayesali msikitini, kengele haikuhusu. By the way, ili wewe uabudu kwani ni lazima mwenzako apate au akose kitu Fulani? Kuabudu kwako wewe, ama kanisani, au msikitini, kunahusiana nini na imani ya mwenzio?
Sasa haya masuala ya nani wengi nani wachache ni kwa ajili ya nini haswa? Kama serikali ingekua inajenga makanisa au misikiti, sawa, lakini kama si hivyo, whether kipengele cha dini kwenye sense kiwepo au kisiwepo, nani ata athirika au ata faidika nini. Kikiwepo Wakristo wataathirika au watafaidika nini? kisipokuwepo Waislam watafaidika au wataathirika nini?
Haya, na nyie wengine mnaohangaika kuhesabu waajiriwa, or viongozi wangapi ni wa imani ipi, sababu ni nini haswa? Kwani dini ndio inapima uwezo? Wawe wa dini ipi, wala sio hoja, hoja ni uwezo wao - wakiwa wana dini au hawana, hiyo ni juu yao. After all, hivi tunaanzia wapi kuuliza dini za viongozi? Hili nalo ni tatizo - hua tunaangalia tu majina ya kiarabu na kizungu? halafu hizo hisia za kuanza kusema juma atakua muislam, na john atakua mkristo tunazitoa wapi? Kwa nini tusiwe na hisia tu kwamba juma au john ni watanzania.. basi!!
Hivi, ukiamka asubuhi ukaenda kazini, huko kote unapopita, unafikiri wanaokuhudumia wote ni dini yako peke yako? Hua unauliza dereva wa dala dala au kondakta au muuza chakula ni dini gani? Hua unauliza dini ya daktari anayekutibia au polisi anayekusaidia? Dereva texi anaye kuendesha? Mwalimu anayekufundisha? Wanajeshi wanaolinda nchi yako?
Kwa sisi tunaotoa matamshi ya kuudhi dhidi ya dini nyingine, hivi tunajisikiaje, baada ya kukashifu dini ya mwenzio mtandaoni, kesho asubuhi unamtolea tabasamu rafiki yako ambaye naye ana imani hiyo hiyo uliyoikashifu?
Kama kuna mtu kwenye nafsi yake anaona raha kuudidimiza upande mwingine, ajifikirie mara mbili, kwa sababu katika mazingira ya Tanzania, mitazamo hiyo haitotuacha salama, iwe inatoka makanisani au misikitini! Unaposema hupendi udini, badi na itoke moyoni, na kama huwezi fanya hivyo, fanya ibada zaidi. Vitabu vyote vinatuonyesha Bw Yesu na Mtume Mohammad walivyokua wakiishi kwa upendo licha ya kufanyiwa vitimbwi kadha wa kadha.
Labda nimalizie moja tu, haya yasiishie hapa – ukimuona kiongozi wako wa kiimani anatoa matamshi yanayokera kwa upande wa pili, basi na wewe uwe wa kwanza kumkosoa. Usimuonee aibu ati kwa sababu tu ni Sheikh wako, au Mchungaji wako, au Father wako.


Mungu ibariki Tanzania
Join Date : 15th July 2012


Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received 0


Likes Given 0




Karibu JF....
Vipi kuhusu makabila, rangi, walemavu, wapagani, idadi ya wake,...
hawa jamaa hivi wanataka nini zaidi?..........mi nadhani wanataka mgawo wa nchi kwamba waislamu wanapewa dar,tanga,na pwani alafu iliyobaki ni ya wakristo na wapagani na dini nyingine kwani naona hawa watu ni wabinafsi sana...
Badala ya kuwaza ya kuishi wewe unawaza ya kuzikwa.........kuna mtu amekosa pa kuzikwa tangu uzaliwe hapa Tanzania just kwa sababu ya imani yake?........shame on you and of your kind!
Hizi dini zetu ni za maajabu sana kwani zimeanza kuleta madai ya ajabiajabu tu
Basi subirini mtakuwa mnaulizwa huko mahakamani.
Ushauri kwa wabadirisha mlo mhesabiane wenyewe pamoja na nyumba zeno.
Mbona wakatoliki wanajihesabu wenyewe na hawalalamiki na wanajipangia wao maendeleo yao hivi waislamu mna matatizo gani ninyi?
Waislamu wajihesabu wao, katika magroup kama ni Washia, washuni, Ismailia. Sisi dini nyingine hatutaki
Weee! acha wawe haohao, unataka kuleta boko harahamu, kwanza hata waziri mkuu wamchague muislamu
Ukielewa nini tofauti ya formal na informal education, utasumbuka na maada hii....
hilo la data za kupika wala halitusumbui sisi,ukweli utabaki kuwa pale pale na kila mtu dhamira yake inamsuta.
Boko haramu wa Ukweli saana wale,mbona husemi kama mayahudi wanvyuwafanyia wapalestina?
Naona waanglikana ndiyo mmekuwa wasemaji wakuu
tusio na dini ???
waziri mkuu pia.......... muislam
mwenyekiti wa tume ya katiba ni ............muislam
spika na naibu wake ni ............waislam
Hicho kipengele kiwepo na daku na futuru ya kiti moto iwe ruhusa kwa wote!
Udini, Udini, Udini, hamna mambo mengine ya kuzungumza, au ndiyo mnafundishwa kwenye Bao and kahawa za jioni?
Wanataka WAZIKANE na Kupewa Maeneo ya Kuzikana
HOJA DHAIFU HATA SISIMIZI HAWEZI KUFIKIRIA HIVI.
Exactly. Wapeleke BAKWATA. Ingawa ilishatoa Tamko kuwa Lazima watahesabiwa.
Hawa si ndio waliogawiwa sanda na Mheshimiwa huko nachingwea? Wameshapata sanda bado makaburi ya kuzikwa. Lazima wapiganie kuyapata kisha tuwazike.
Sina maana hiyo. Namaanisha kwamba kuna haja gani sasa ya kuhesabu nyumba za ibada wakati waabudu wanaoingia kwenye hizo nyumba wenyewe bila kuhesabiwa? Kuna Nini kilichojificha hapa katikati?
umeambiwa eneo la mazishi limeisha???
Bado hujasomeka. Hebu fafanua kidogo ili wana-JF waku-understand.
Hakuna huduma zinazotolewa au zinazotakiwa kutolewa na serikali kulingana na imani
mimi sijaliona dodoso ila naomba unisaidie...kwenye hicho kipengele cha nyumba za ibada, je wameweka specifically nyumba ya ibada ya dhehebu gani au wanataka kujua kuna nyumba za ibada ngapi bila kujua dhehebu kwenye eneo husika?
Ikiwa una dini huwezi kukataa ,na iwapo unajiita mkiristo aafu ukakataa basi ukiristo wako ni wakutiliwa shaka.
Hamjawaelewa hawa. wanataka kujaribu kuona kama wanaweza kudictate katika mambo muhimu ya nchi. Hapa ni mwanzo tu hasa baada ya lile la mahakama ya kadhi kukosa mashiko katika mfumo wa serikali. Serikali yetu nayo ndiyo hiyo isiyo na hatamu
Kwa hatua ambayo zoezi la sensa limefikia, Kama kuna mtu leo hii 31/07/2012 anaamini kwamba kuna KIPENGELE KITAONGEZWA AU KUPUNGUZWA kwenye DODOSO la sensa ya 2012, basi mtu huyo ni MBUMBUMBU MZUNGU WA RELI na anahitaji maombezi.
HASWAA!! Lakini wakiendeleza huo ubaguzi wao wa kijinga hawatafika mbali bali wataumia tu shezi type kabisa
..........penye red umedanganya na ni aibu kwa mtu mzima kusema uongo, pili serikali haihitaji imani za wananchi wake ili ipange mipango ya maendeleo kwa madhumuni ya sensa..... pole baba/mama na udini wako
.........unaweza kupata wazimu bure ukitafakari ujinga wa baadhi yetu
mkuu ww noumaa unajua kweli kuwapa majibu ya stahiki zao
Ongezea na wazee wa Mabwepande waliohusishwa na issue ya Ulimboka (dk) uunganishe dots, upate majibu (according to MwanaHalisi)
 

Watanzania wenzangu, tujaribu kuishi wa upendo, na tuepukane na tabia ya kujadili mambo kwa hisia. Leo hii tunanyoosheana vidole eti fulani hampendi fulani kwa sababu ni dini fulani. Wengine tunaitana majina kadha wa kadha… hawa washenzi, hawa magaidi nk.
Naomba niwakumbushe haya, kama mnajisahau mkafikiri kwamba duniani vurugu ni za wakristo na waislam peke yake:
Japan kuitokea mauaji ya kidini, hayakufanywa na wakristo wala waislam;
Wakati wa vita ya Yugoslavia ya zamani, waliouliwa na askari wa ki-Serb walikua ni Wakristo na Waislam
North Ireland, wala haikua dini moja dhidi ya nyingine, ilikua ni waprotestanti na wakatoliki
Iraq, wanaouawa wala wakristo, ni Shia vs Sunni. Somalia wala haijulikani tatizo ni nini haswa… kama ni madhehebu au misimamo…!
India wakati mwingine nako mara budists, mara hindus, mara muslims…!!
Tunajua yaliyotokea kwa wayahudi wakati wa Hitler
Andrey Bravic wa Norway, alishasema hataki watu wa imani za mashariki ya kati na mashariki ya mbali Norway.
Sasa, sisi Watanzania tunaodhani kwamba ni upande mmoja tu ndio una maumivu kuliko mwingine – kwamba ni upande mmoja tu ndio "umetendwa" au "umetenda"- halafu tunaamua kutukanana bila sababu za msingi, tufikiri mara mbili.
Au niweke hivi: Wewe mtanzania ambaye unadhani labda Wakristo wote hawawapendi waislamu; au Waislamu wote hawawapendi Wakristo - Unayedhani kwamba waliodhulumiwa duniani ni Waislam pekee, au Wakristo pekee - tafadhali, fikiria mara mbili.
Vitabu vyetu vinasema tuishi kwa upendo, cha muhimu kila mtu aabudu kwa salama.
Sasa kama wewe unasali kanisani, adhana haikuhusu; na wewe unayesali msikitini, kengele haikuhusu. By the way, ili wewe uabudu kwani ni lazima mwenzako apate au akose kitu Fulani? Kuabudu kwako wewe, ama kanisani, au msikitini, kunahusiana nini na imani ya mwenzio?
Sasa haya masuala ya nani wengi nani wachache ni kwa ajili ya nini haswa? Kama serikali ingekua inajenga makanisa au misikiti, sawa, lakini kama si hivyo, whether kipengele cha dini kwenye sense kiwepo au kisiwepo, nani ata athirika au ata faidika nini. Kikiwepo Wakristo wataathirika au watafaidika nini? kisipokuwepo Waislam watafaidika au wataathirika nini?
Haya, na nyie wengine mnaohangaika kuhesabu waajiriwa, or viongozi wangapi ni wa imani ipi, sababu ni nini haswa? Kwani dini ndio inapima uwezo? Wawe wa dini ipi, wala sio hoja, hoja ni uwezo wao - wakiwa wana dini au hawana, hiyo ni juu yao. After all, hivi tunaanzia wapi kuuliza dini za viongozi? Hili nalo ni tatizo - hua tunaangalia tu majina ya kiarabu na kizungu? halafu hizo hisia za kuanza kusema juma atakua muislam, na john atakua mkristo tunazitoa wapi? Kwa nini tusiwe na hisia tu kwamba juma au john ni watanzania.. basi!!
Hivi, ukiamka asubuhi ukaenda kazini, huko kote unapopita, unafikiri wanaokuhudumia wote ni dini yako peke yako? Hua unauliza dereva wa dala dala au kondakta au muuza chakula ni dini gani? Hua unauliza dini ya daktari anayekutibia au polisi anayekusaidia? Dereva texi anaye kuendesha? Mwalimu anayekufundisha? Wanajeshi wanaolinda nchi yako?
Kwa sisi tunaotoa matamshi ya kuudhi dhidi ya dini nyingine, hivi tunajisikiaje, baada ya kukashifu dini ya mwenzio mtandaoni, kesho asubuhi unamtolea tabasamu rafiki yako ambaye naye ana imani hiyo hiyo uliyoikashifu?
Kama kuna mtu kwenye nafsi yake anaona raha kuudidimiza upande mwingine, ajifikirie mara mbili, kwa sababu katika mazingira ya Tanzania, mitazamo hiyo haitotuacha salama, iwe inatoka makanisani au misikitini! Unaposema hupendi udini, badi na itoke moyoni, na kama huwezi fanya hivyo, fanya ibada zaidi. Vitabu vyote vinatuonyesha Bw Yesu na Mtume Mohammad walivyokua wakiishi kwa upendo licha ya kufanyiwa vitimbwi kadha wa kadha.
Labda nimalizie moja tu, haya yasiishie hapa – ukimuona kiongozi wako wa kiimani anatoa matamshi yanayokera kwa upande wa pili, basi na wewe uwe wa kwanza kumkosoa. Usimuonee aibu ati kwa sababu tu ni Sheikh wako, au Mchungaji wako, au Father wako.


Mungu ibariki Tanzania
 

mimi ni mkristo,na ninakuunga mkono kwa 100% sioni kwanini walishindwa kuweka hicho kipengele,kwakuwa police,mahakamani,magereza lazima wakulize dini yako
 
mimi nadhani ni vizuri kumtambua mtu kua ana dini kwa matendo yake na sio kwa uislam wala ukristo wake.
 

.....upo right kabisa!
 
Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…