KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 277
Heshima iwe kwenu madakitari.
Naombeni msaada wenu mwanangu mwenye umri wa miaka mitano meno yanapukutika mdomoni mithili ya watoto wanaokula kwa wingi biskuti na pipi sasa sijui tatizo ni nini.Nitumie dawa gani kumpatia mwanangu ili kuutibu ugongwa huo???
Naombeni msaada wenu mwanangu mwenye umri wa miaka mitano meno yanapukutika mdomoni mithili ya watoto wanaokula kwa wingi biskuti na pipi sasa sijui tatizo ni nini.Nitumie dawa gani kumpatia mwanangu ili kuutibu ugongwa huo???