Madaktari Bingwa wa Rais Samia ni akina nani?

Madaktari Bingwa wa Rais Samia ni akina nani?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Kuna madaktari nimewasikia wako mtaani ,wanajulikana kama Madaktari Bingwa wa Rais Samia.
Mwenye uelewa wa jambo hili tafadhali.

Kuna kundi jingine wanajiita wezi wa mama Samia wako songea. Haya makundi ni ya kitaalamu au ni makundi ya kisiasa?
 
Back
Top Bottom