Madaktari Bingwa wa Rais Samia Waleta Tabasamu Na kuwabubujisha machozi ya Furaha Wagonjwa Mbalimbali Mikoani

Madaktari Bingwa wa Rais Samia Waleta Tabasamu Na kuwabubujisha machozi ya Furaha Wagonjwa Mbalimbali Mikoani

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan alikuja na mpango kabambe na uliokonga na kugusa mioyo ya mamilioni ya watanzania wa kuwapatia tabasamu, furaha, kicheko na matumaini wagonjwa mbalimbali walioko mikoani .kwa kuwasogezea huduma ya Madaktari Bingwa wa magonjwa mbalimbali karibu yao kabisa au karibu na majumbani kwao.

Hii maana yake nini? Maana yake ni kuwa mgonjwa aliyetakiwa kuuza kuku, ng'ombe, mbuzi, uwanja, mahindi ya chakula, nguruwe ili apate pesa ya nauli na matibabu kwenda Dar es salaam kuonana na madaktari bingwa sasa aliweza kusogezewa huduma ya kuonana na madaktari bingwa Kilometa chache tu kutoka nyumbani kwake pasipo gharama kubwa ya usafiri na matibabu.

Kuna wagonjwa walikuwa wamejikatia tamaa na kujilalia majumbani mwao na kusubiri tu huruma ya Mungu baada ya kuwa hawana uwezo wa kusafiri hadi muhimbili kupata huduma za kibingwa, lakini sasa chini ya mpango huu wa Dkt Samia wa kupeleka madaktari Bingwa mikoani wanakoweka kambi ya siku kadhaa kwa ajili ya kuonana na kutibu wagonjwa.umeweza kuponya wengi,kuwapa tabasamu na matumaini ya maisha watu wengi sana.

Kuna watu nimeshuhudia wakibubujikwa na machozi ya furaha baada ya kufanyiwa upasuaji wa Uvimbe ndani ya miili yao walioteseka nao kwa maumivu na uchungu mkubwa sana kwa muda mrefu, kutokana na umaskini wa kushindwa kusafiri hadi muhimbili kupata matibabu. Lakini leo kwa upendo wa mama, huruma za mama yetu kipenzi Mheshimiwa Mama Samia wameweza kufikiwa huko huko waliko na kupewa matibabu mazuri na kupona matatizo yao.

Madaktari Bingwa hawa wa mama wamesaidia kuokoa maisha ya watu,kuondoa maumivu na machungu ya watu,kuokoa mali za watu ambazo zingeuzwa kwa hasara kwa ajili ya kugharamia matibabu, pamoja na wakati mwingine kupoteza kabisa maisha kwa kukosa tiba sahihi kutokana na wengine kuamua kuanza kutumia mitishamba kwa wingi huku ugonjwa ukiendelea kukua na kukomaa na kuwa mkubwa na sugu.

Kwa huruma na upendo wa Rais Samia kwa watanzania wanyonge ameweza kufikisha mkono wake wa upendo kwa wagonjwa waliopo majumbani na kuwafuta machozi ya maumivu na kuwapatia tabasamu na matumaini ya kuendelea na maisha mapya yenye afya njema na nzuri kwa ajili ya ujenzi wa Taifa letu.

Nani kama Mama? Nani kama Rais Samia?

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan alikuja na mpango kabambe na uliokonga na kugusa mioyo ya mamilioni ya watanzania wa kuwapatia tabasamu,furaha ,kicheko na matumaini wagonjwa mbalimbali walioko mikoani .kwa kuwasogezea huduma ya Madaktari Bingwa wa magonjwa mbalimbali karibu yao kabisa au karibu na majumbani kwao.

Hii maana yake nini? Maana yake ni kuwa mgonjwa aliyetakiwa kuuza kuku, ng'ombe,mbuzi,uwanja,mahindi ya chakula,nguruwe ili apate pesa ya nauli na matibabu kwenda Dar es salaam kuonana na madaktari bingwa .sasa aliweza kusogezewa huduma ya kuonana na madaktari bingwa Kilometa chache tu kutoka nyumbani kwake pasipo gharama kubwa ya usafiri na matibabu.

Kuna wagonjwa walikuwa wamejikatia tamaa na kujilalia majumbani mwao na kusubiri tu huruma ya Mungu baada ya kuwa hawana uwezo wa kusafiri hadi muhimbili kupata huduma za kibingwa ,lakini sasa chini ya mpango huu wa Dkt Samia wa kupeleka madaktari Bingwa mikoani wanakoweka kambi ya siku kadhaa kwa ajili ya kuonana na kutibu wagonjwa.umeweza kuponya wengi,kuwapa tabasamu na matumaini ya maisha watu wengi sana.

Kuna watu nimeshuhudia wakibubujikwa na machozi ya furaha baada ya kufanyiwa upasuaji wa Uvimbe ndani ya miili yao walioteseka nao kwa maumivu na uchungu mkubwa sana kwa muda mrefu. ,kutokana na umaskini wa kushindwa kusafiri hadi muhimbili kupata matibabu. Lakini leo kwa upendo wa mama ,huruma za mama yetu kipenzi Mheshimiwa Mama Samia wameweza kufikiwa huko huko waliko na kupewa matibabu mazuri na kupona matatizo yao.

Madaktari Bingwa hawa wa mama wamesaidia kuokoa maisha ya watu,kuondoa maumivu na machungu ya watu,kuokoa mali za watu ambazo zingeuzwa kwa hasara kwa ajili ya kugharamia matibabu, pamoja na wakati mwingine kupoteza kabisa maisha kwa kukosa tiba sahihi.kutokana na wengine kuamua kuanza kutumia mitishamba kwa wingi huku ugonjwa ukiendelea kukua na kukomaa na kuwa mkubwa na sugu.

Kwa huruma na upendo wa Rais Samia kwa watanzania wanyonge ameweza kufikisha mkono wake wa upendo kwa wagonjwa waliopo majumbani na kuwafuta machozi ya maumivu .na kuwapatia tabasamu na matumaini ya kuendelea na maisha mapya yenye afya njema na nzuri kwa ajili ya ujenzi wa Taifa letu.

Nani kama Mama? Nani kama Rais Samia?

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
SASA UNAMWAMBIA NANI HUMU?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan alikuja na mpango kabambe na uliokonga na kugusa mioyo ya mamilioni ya watanzania wa kuwapatia tabasamu, furaha, kicheko na matumaini wagonjwa mbalimbali walioko mikoani .kwa kuwasogezea huduma ya Madaktari Bingwa wa magonjwa mbalimbali karibu yao kabisa au karibu na majumbani kwao.

Hii maana yake nini? Maana yake ni kuwa mgonjwa aliyetakiwa kuuza kuku, ng'ombe, mbuzi, uwanja, mahindi ya chakula, nguruwe ili apate pesa ya nauli na matibabu kwenda Dar es salaam kuonana na madaktari bingwa sasa aliweza kusogezewa huduma ya kuonana na madaktari bingwa Kilometa chache tu kutoka nyumbani kwake pasipo gharama kubwa ya usafiri na matibabu.

Kuna wagonjwa walikuwa wamejikatia tamaa na kujilalia majumbani mwao na kusubiri tu huruma ya Mungu baada ya kuwa hawana uwezo wa kusafiri hadi muhimbili kupata huduma za kibingwa, lakini sasa chini ya mpango huu wa Dkt Samia wa kupeleka madaktari Bingwa mikoani wanakoweka kambi ya siku kadhaa kwa ajili ya kuonana na kutibu wagonjwa.umeweza kuponya wengi,kuwapa tabasamu na matumaini ya maisha watu wengi sana.

Kuna watu nimeshuhudia wakibubujikwa na machozi ya furaha baada ya kufanyiwa upasuaji wa Uvimbe ndani ya miili yao walioteseka nao kwa maumivu na uchungu mkubwa sana kwa muda mrefu, kutokana na umaskini wa kushindwa kusafiri hadi muhimbili kupata matibabu. Lakini leo kwa upendo wa mama, huruma za mama yetu kipenzi Mheshimiwa Mama Samia wameweza kufikiwa huko huko waliko na kupewa matibabu mazuri na kupona matatizo yao.

Madaktari Bingwa hawa wa mama wamesaidia kuokoa maisha ya watu,kuondoa maumivu na machungu ya watu,kuokoa mali za watu ambazo zingeuzwa kwa hasara kwa ajili ya kugharamia matibabu, pamoja na wakati mwingine kupoteza kabisa maisha kwa kukosa tiba sahihi kutokana na wengine kuamua kuanza kutumia mitishamba kwa wingi huku ugonjwa ukiendelea kukua na kukomaa na kuwa mkubwa na sugu.

Kwa huruma na upendo wa Rais Samia kwa watanzania wanyonge ameweza kufikisha mkono wake wa upendo kwa wagonjwa waliopo majumbani na kuwafuta machozi ya maumivu na kuwapatia tabasamu na matumaini ya kuendelea na maisha mapya yenye afya njema na nzuri kwa ajili ya ujenzi wa Taifa letu.

Nani kama Mama? Nani kama Rais Samia?

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wa kwake kivipi? Aliwasomesha ye ye? Wanafanya kazi, kwenye hospitsri yake?
Kenge kabisa
 
Madaktari bingwa wa taaluma zipi?

Wangapi?

Na wamepelekwa wapi?
Ni Madaktari Bingwa wa magonjwa mbalimbali ya Mwanadamu.

Wamepelekwa mikoa mbalimbali hapa nchini ambako wanakwenda kuweka kambi na kupokea wagonjwa na kuwatibu. Ambapo badala ya mgonjwa kusafiri kufuata tiba muhimbili .kwa sasa atapatiwa matibabu kupitia kambi hizo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan alikuja na mpango kabambe na uliokonga na kugusa mioyo ya mamilioni ya watanzania wa kuwapatia tabasamu, furaha, kicheko na matumaini wagonjwa mbalimbali walioko mikoani .kwa kuwasogezea huduma ya Madaktari Bingwa wa magonjwa mbalimbali karibu yao kabisa au karibu na majumbani kwao.

Hii maana yake nini? Maana yake ni kuwa mgonjwa aliyetakiwa kuuza kuku, ng'ombe, mbuzi, uwanja, mahindi ya chakula, nguruwe ili apate pesa ya nauli na matibabu kwenda Dar es salaam kuonana na madaktari bingwa sasa aliweza kusogezewa huduma ya kuonana na madaktari bingwa Kilometa chache tu kutoka nyumbani kwake pasipo gharama kubwa ya usafiri na matibabu.

Kuna wagonjwa walikuwa wamejikatia tamaa na kujilalia majumbani mwao na kusubiri tu huruma ya Mungu baada ya kuwa hawana uwezo wa kusafiri hadi muhimbili kupata huduma za kibingwa, lakini sasa chini ya mpango huu wa Dkt Samia wa kupeleka madaktari Bingwa mikoani wanakoweka kambi ya siku kadhaa kwa ajili ya kuonana na kutibu wagonjwa.umeweza kuponya wengi,kuwapa tabasamu na matumaini ya maisha watu wengi sana.

Kuna watu nimeshuhudia wakibubujikwa na machozi ya furaha baada ya kufanyiwa upasuaji wa Uvimbe ndani ya miili yao walioteseka nao kwa maumivu na uchungu mkubwa sana kwa muda mrefu, kutokana na umaskini wa kushindwa kusafiri hadi muhimbili kupata matibabu. Lakini leo kwa upendo wa mama, huruma za mama yetu kipenzi Mheshimiwa Mama Samia wameweza kufikiwa huko huko waliko na kupewa matibabu mazuri na kupona matatizo yao.

Madaktari Bingwa hawa wa mama wamesaidia kuokoa maisha ya watu,kuondoa maumivu na machungu ya watu,kuokoa mali za watu ambazo zingeuzwa kwa hasara kwa ajili ya kugharamia matibabu, pamoja na wakati mwingine kupoteza kabisa maisha kwa kukosa tiba sahihi kutokana na wengine kuamua kuanza kutumia mitishamba kwa wingi huku ugonjwa ukiendelea kukua na kukomaa na kuwa mkubwa na sugu.

Kwa huruma na upendo wa Rais Samia kwa watanzania wanyonge ameweza kufikisha mkono wake wa upendo kwa wagonjwa waliopo majumbani na kuwafuta machozi ya maumivu na kuwapatia tabasamu na matumaini ya kuendelea na maisha mapya yenye afya njema na nzuri kwa ajili ya ujenzi wa Taifa letu.

Nani kama Mama? Nani kama Rais Samia?

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hakika mama amesambaza Upendo wa kumwaga
 
Wa kwake kivipi? Aliwasomesha ye ye? Wanafanya kazi, kwenye hospitsri yake?
Kenge kabisa
Kama siyo wa kwake basi naomba uende pale muhimbili uwachukue walau hata watatu tu madaktari bingwa uwalete huku mikoani wakae waanze kuhudumia wagonjwa.

Watu wengine mnaandikaga utafikiri mmelewa pombe.
 
Kila kitu wewe watu wabubunjikwa na machozi
 
Kesho naomba uongelee jinsi Rais Samia alivowafanya bodaboda wakaacha wizi na kugeuza kazi yao ya heshima tena ya kuvaa tai kabisa. Najua wewe hushindwi ni swala la kupewa taito tuu
Acha maafisa usafirishaji wachape kazi na kujipatia kipato na kuondokana na utegemezi wa kiuchumi.
 
Kila kitu wewe watu wabubunjikwa na machozi
Umewahi kuugua? Umewahi kwenda hospitalini ukakutana na wagonjwa? Umewahi kuona furaha ya mtu aliyepona baada ya kuteseka na ugonjwa kwa muda mrefu?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan alikuja na mpango kabambe na uliokonga na kugusa mioyo ya mamilioni ya watanzania wa kuwapatia tabasamu, furaha, kicheko na matumaini wagonjwa mbalimbali walioko mikoani .kwa kuwasogezea huduma ya Madaktari Bingwa wa magonjwa mbalimbali karibu yao kabisa au karibu na majumbani kwao.

Hii maana yake nini? Maana yake ni kuwa mgonjwa aliyetakiwa kuuza kuku, ng'ombe, mbuzi, uwanja, mahindi ya chakula, nguruwe ili apate pesa ya nauli na matibabu kwenda Dar es salaam kuonana na madaktari bingwa sasa aliweza kusogezewa huduma ya kuonana na madaktari bingwa Kilometa chache tu kutoka nyumbani kwake pasipo gharama kubwa ya usafiri na matibabu.

Kuna wagonjwa walikuwa wamejikatia tamaa na kujilalia majumbani mwao na kusubiri tu huruma ya Mungu baada ya kuwa hawana uwezo wa kusafiri hadi muhimbili kupata huduma za kibingwa, lakini sasa chini ya mpango huu wa Dkt Samia wa kupeleka madaktari Bingwa mikoani wanakoweka kambi ya siku kadhaa kwa ajili ya kuonana na kutibu wagonjwa.umeweza kuponya wengi,kuwapa tabasamu na matumaini ya maisha watu wengi sana.

Kuna watu nimeshuhudia wakibubujikwa na machozi ya furaha baada ya kufanyiwa upasuaji wa Uvimbe ndani ya miili yao walioteseka nao kwa maumivu na uchungu mkubwa sana kwa muda mrefu, kutokana na umaskini wa kushindwa kusafiri hadi muhimbili kupata matibabu. Lakini leo kwa upendo wa mama, huruma za mama yetu kipenzi Mheshimiwa Mama Samia wameweza kufikiwa huko huko waliko na kupewa matibabu mazuri na kupona matatizo yao.

Madaktari Bingwa hawa wa mama wamesaidia kuokoa maisha ya watu,kuondoa maumivu na machungu ya watu,kuokoa mali za watu ambazo zingeuzwa kwa hasara kwa ajili ya kugharamia matibabu, pamoja na wakati mwingine kupoteza kabisa maisha kwa kukosa tiba sahihi kutokana na wengine kuamua kuanza kutumia mitishamba kwa wingi huku ugonjwa ukiendelea kukua na kukomaa na kuwa mkubwa na sugu.

Kwa huruma na upendo wa Rais Samia kwa watanzania wanyonge ameweza kufikisha mkono wake wa upendo kwa wagonjwa waliopo majumbani na kuwafuta machozi ya maumivu na kuwapatia tabasamu na matumaini ya kuendelea na maisha mapya yenye afya njema na nzuri kwa ajili ya ujenzi wa Taifa letu.

Nani kama Mama? Nani kama Rais Samia?

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Upuuzi mtupu.
 
SASA UNAMWAMBIA NANI HUMU?
Naona umeumia sana na roho mbaya yako.bila shaka ulitaka kusikia vifo vikitokea. vya watu wasioweza kupata matibabu katika hospitali kubwa zenye vipimo vikubwa na madaktari bingwa. Mrudie Mungu wako ili akuondolee roho mbaya na ya kishetani iliyokujaa kifuani pako.
 
Hakika mama amesambaza Upendo wa kumwaga
Unaweza shangaa hata katika hili jambo zuri kabisa wao CHADEMA wanakasirika na kununa kabisa. Maana wao wanatamani kusikia mabaya tu masikioni mwao juu ya serikali yetu chini ya Kiongozi wetu na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan.
 
Back
Top Bottom