Madaktari, kwanini Mimi sijapata UKIMWI mpaka sasa?

Sky Eclat
Naomba ukipata muda unielezee kidogo,samahan kwa usumbufu nahisi Kama naweza kukuelewa ama unaweza kunifahamisha lolote.
Sishangai kwa nn ulioa binti ana miaka 13 iko hivi

1.Ulichofanya ni unyanyasaji wa kingono binti mdogo ukaoa kwanza ww ni libakaji

2.Pili kiasi chake cha virus mwilini kikosi kiasi gani

3.ili upate maambukizi ni lazima vidabuzi (receptors) za kwenye seli zako nyeupe ziwee tayari kudabua virusi ni binadamu wachache sana ambao vidabuzi vyao haviwezi pokea maambukizi ikiwamo labda na vyake.


Naongezea unafaa kupatwa na hukumu ya jela kabla hujapatwa na VVU libakaji likubwa wewe shwaini
 
Baada ya kugundua ndio nikamuanzishia dawa na mambo mengine muhimu.mechi kwa kweli ni rafu saana kupita kiasi
Wewe ni mwongo, unaleta soga tu hapa. Unasema ulimwanzishia dawa wewe baada ya kumuoa. Na pale mwanzo ulisema aliambukizwa na mama yake utotoni wakati ananyonyeshwa!

Haiingii akilini aambukizwe utotoni, akue fresh tu bila kutumia dawa yoyote mpaka umri wa utu uzima wa wewe kumuoa bila kuonesha dalili yoyote na yeye asijijue miaka yote hiyo!!!??
 
Unasema ulioa na wakati ULIBAKA!!?? Kwanza unastahili kuwa nyuma ya nondo kwa tendo hili la kinyama. Binti yako atakapofikisha miaka 13 utakuwa radhi akaolewe kwa linjemba kama wewe?? Watu mkoje na tamaa zenu???!!
 
Kwanza nini maana ya MKUSHI?

Usituchoshe. MKUSHI mkubwa wewe.
 
Sasa ndugu,mtu kasema anishi na mkwe muathirika. Anasema anapima mara kwa mara kuangalia naye kama kaupata.
Tafsiri yake ni,huyu bwana anapambana kuupata UKIMWI. Haiwezekani unajuwa mwenzio ni muathirika,then bado unajisifu kuwa unakula mzigo tena rafu sana.

Unategemea hapa tumbembeleze?
Apambane mpaka aupate.
 
Kama anatumia dawa vizuri na mechi zako sio rafu sana basi ni inawezekana usiupate
Hili ndio jibu sahihi.
Mwaka jana kwenye maonyesho ya Nanenane tulikuwa tunawapima watu VVU kwa hiyari. Kuna familia mbili nilikumbana nazo Wake zao tayari wana maambukizi na wanatumia Dawa ila wanaume hawakuwa na maambukizi.
 

I’m glad kufahamu hili.
 
Pia hata nikipata sitegemei kujuta Wala kushtuka naona kawaida tu nafsi yangu iko poa tu
Upo kama mimi kabisa. Nilimbadua demu ambe ni +ve tena kwa kumpima mwenyewe miaka miwili sasa imepita kila nikipima ni -ve lakini hta ikitokea hio +ve haitanitisha wala nini
 
Ukimwi ni drama [emoji23][emoji23][emoji23]
Nasikia sikia sisi group O ni much resistant kwenye magonjwa.
MIMI nilinyandua bar made + bila kujua lakini tumeenda mara mbili kanambia yeye + na dawa hataki kutumia nikamwacha lakini mpaka sasa sina maambukizi.nadhani hiv ni drama tu na kama vipi nihoji au nenda YouTube kacheki why nasema drama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…