dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Kuna pisi moja ya ukweli sana imepotea. Naskia ilichanganya pombe na dawa. Kwa nini hamsemi? Mnafurahi mtu akifa?
Haya ninyi madaktari mliomo humu hebu tusaidieni orodha ya dawa ambazo haziendani na pombe.
Msisubiri watu wafe ndo mjifanye kusikitika.
Ahsante.
Haya ninyi madaktari mliomo humu hebu tusaidieni orodha ya dawa ambazo haziendani na pombe.
Msisubiri watu wafe ndo mjifanye kusikitika.
Ahsante.