Madaktari na manesi wa Hospitali ya Afya ya Akili Mirembe pokeeni Maua yenu!

Madaktari na manesi wa Hospitali ya Afya ya Akili Mirembe pokeeni Maua yenu!

Kimwakaleli

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2018
Posts
7,755
Reaction score
11,737
Habari Wana jamiiForums, Nipende kuwapongeza sana madaktari na manesi wa Hospitali ya Afya ya Akili iliyopo mkoani Dodoma.

Kwa mtazamo wangu, niliposikia hii ni Hospitali ya wagonjwa wa afya ya Akili nilijua madaktari na manesi watakuwa ni watu waliokaa kikatili,hawajali na ni watu wa matusi!

Jamaa ni waungwana zaidi ya customer care!

Pokeeni maua Yenu
 
Habari Wana jamiiForum,Nipende kuwapongeza sana madaktari na manesi wa Hospitali ya Afya ya Akili iliyopo mkoani Dodoma.Kwa mtazamo wangu,niliposikia hii ni Hospitali ya wagonjwa wa afya ya Akili nilijua madaktari na manesi watakuwa ni watu waliokaa kikatili,hawajali na ni watu wa matusi!Jamaa ni waungwana zaidi ya customer care!Pokeeni maua Yenu🌺🌷🥀🌹💐🌼🍀🌴🍄🍁🌺🌷🌸🥀🌹.
Utakuwa umehudumiwa vizuri na Sasa umepona Kaka .

Hongera Sana ukiacha madaktari na manesi wa magerezani basi wanaofuata kwa ukarimu na kufuata miongozo ya afya ni hao uliowataja .

Ahsante.
 
Utakuwa umehudumiwa vizuri na Sasa umepona Kaka .

Hongera Sana ukiacha madaktari na manesi wa magerezani basi wanaofuata kwa ukarimu na kufuata miongozo ya afya ni hao uliowataja .

Ahsante.
Sikuwa mgonjwa mkuu,kuna rafiki yangu Mmoja zilipandana majuzi,tulimpeleka na mwanae !,Kwa kweli walitupokea na kutuhudumia vizuri sana!
 
Habari Wana jamiiForums, Nipende kuwapongeza sana madaktari na manesi wa Hospitali ya Afya ya Akili iliyopo mkoani Dodoma.

Kwa mtazamo wangu, niliposikia hii ni Hospitali ya wagonjwa wa afya ya Akili nilijua madaktari na manesi watakuwa ni watu waliokaa kikatili,hawajali na ni watu wa matusi!

Jamaa ni waungwana zaidi ya customer care!

Pokeeni maua Yenu
Malizia dozi kwanza
 
Hospitali ya Afya ya Akili Mirembe inatoa Huduma mbalimbali zinazohusu Binadamu!,Kifua kikuu,vipimo mbalimbali, Maralia,HIV nk,Mtu akisikia Mirembe anajua tayari ni Afya ya Akili!Haiko hivyo ndugu zangu .
 
Back
Top Bottom