K Kwesta Member Joined Aug 22, 2015 Posts 24 Reaction score 17 Nov 28, 2017 #1 kenya kuna upungufu mkubwa wa madaktari na wanasheria. Tukumbuke kuwa kama wewe ni mwanasheria kutoka taifa lolote la jumuia ya afrika mashariki basi una haki ya kuhotubia kotini kule. Na kuna upungufu mkubwa wao Kenya. Kazi kila sehemu. Kazi kwenu.
kenya kuna upungufu mkubwa wa madaktari na wanasheria. Tukumbuke kuwa kama wewe ni mwanasheria kutoka taifa lolote la jumuia ya afrika mashariki basi una haki ya kuhotubia kotini kule. Na kuna upungufu mkubwa wao Kenya. Kazi kila sehemu. Kazi kwenu.
K kabombe JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 26,153 Reaction score 18,740 Nov 29, 2017 #2 Kenya sio nchi salama ya kufanya kazi,utahujumiwa au kuuwawa Huko mnawezana majaluo,wakikuyu na wasomali
Kenya sio nchi salama ya kufanya kazi,utahujumiwa au kuuwawa Huko mnawezana majaluo,wakikuyu na wasomali