Madaktari na wataalamu nisaidieni

Madaktari na wataalamu nisaidieni

Supu ya kokoto

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
4,194
Reaction score
7,602
Nimeoa toka 2020,Mimi na mke wangu tumefanya juhudi mbali mbali za kupata mtoto, lakini mpaka sasa imeshindikana. Mke wangu anaingia period kama kawaida japo sio kwa mzunguko ulio rasmi unabadilika badilika.

Anaweza akaingia kwa 28,35,40 sometimes hata 50 days. Mliowahi kuingia kwenye hali kama hizi mlitumia mbinu gani nami niitwe baba wa watoto niliozaa na mke halali wa ndoa.

NB: Nina watoto wawili wa nje ya ndoa. Je, hiki ni kipimo sahihi kwamba Niko sawa au sote twende hosipitali.
please unapochangia be positive.
 
Nendeninkw Wataalam aisee , humu utakumbuna na wajuaji wanaweza kukuvunja moyo!
Kuna Dk anaiywa Joshua,aliwahi kufanya kazi Regency Hosp Dar baadaye nasikia alihamia Hindu Mandal..Sina ihakika Sasa yupo wapi.Ni Mtaalam haswa!
 
2020 siyo mbali, Mwamini Mungu utapata watoto wengi.

Huo mzunguko wa siku nyingi hivyo inakuwaje ? maana ikizidi ni siku tano.

Usiache kuonana na Drs
 
Nimeoa toka 2020,Mimi na mke wangu tumefanya juhudi mbali mbali za kupata mtoto, lakini mpaka sasa imeshindikana. Mke wangu anaingia period kama kawaida japo sio kwa mzunguko ulio rasmi unabadilika badilika.

Anaweza akaingia kwa 28,35,40 sometimes hata 50 days. Mliowahi kuingia kwenye hali kama hizi mlitumia mbinu gani nami niitwe baba wa watoto niliozaa na mke halali wa ndoa.

NB: Nina watoto wawili wa nje ya ndoa. Je, hiki ni kipimo sahihi kwamba Niko sawa au sote twende hosipitali.
please unapochangia be positive.
Mkuu ww vip ulishapima semen analysis
 
2020 siyo mbali, Mwamini Mungu utapata watoto wengi.

Huo mzunguko wa siku nyingi hivyo inakuwaje ? maana ikizidi ni siku tano.

Usiache kuonana na Drs
Duh yaani mpaka nashangaa..mwezi huu nlijua kabisa tayari ila Jana baada ya 50 days? Alooo...nlijiskia sio poa yaan
 
Nendeninkw Wataalam aisee , humu utakumbuna na wajuaji wanaweza kukuvunja moyo!
Kuna Dk anaiywa Joshua,aliwahi kufanya kazi Regency Hosp Dar baadaye nasikia alihamia Hindu Mandal..Sina ihakika Sasa yupo wapi.Ni Mtaalam haswa!
Asante mkuu.
 
Pole hapo syo pagumu saàna mtafutie dawa aweke homon sawa ziwe balance tu mkuu akishapata mzunguko maalum utaweza kujua sku ya kubeba mimba
 
Yawezekana mmoja wenu ana upungufu wa madini ya zinc.
Nendeni hosp mkapimwe wingi wa madini hayo.
 
Kuna Jamaa aliachana mke wake walipoochana kila mtu akapata mtoto tena kwa haraka Sana ndhani mruhusu shemeji abadilishe kocha
 
Mnaweza mkawa sawa wote au siyo

Inaweza tokea kuwa mkeo alishatengeneza Kinga against mbegu zako za kiume kama ndiyo hiyo kupata mtoto ni ngumu
 
Back
Top Bottom