Madaktari naombeni msaada wenu ninasumbuliwa na tatizo ambalo linahatarisha ndoa yangu

Madaktari naombeni msaada wenu ninasumbuliwa na tatizo ambalo linahatarisha ndoa yangu

Ndele

Member
Joined
Dec 27, 2008
Posts
82
Reaction score
11
mimi ni kijana ambaye nina miaka 39! tatizo langu ni kwamba joint za vidole vya miguuni na mikononi pamoja na vidole vyenyewe vinaniuma sana kama vile nimekimbia sana na kufanya mazoezi na ninakua mchovu sana hasa usiku nikilala! tangu hali hii inianze ninashindwa hata kumridhisha mke wangu kwan nguvu zinakua hazipo, lakin hamu ya kufanya mapenzi ninakua nayo.naombeni msaada wenu ninateseka sana hata kazi za kunipatia mlo wa kila siku nashindwa kufanya kwa ukamilifu kutokana na tatizo hili.
 
mimi ni kijana ambaye nina miaka 39! tatizo langu ni kwamba joint za vidole vya miguuni na mikononi pamoja na vidole vyenyewe vinaniuma sana kama vile nimekimbia sana na kufanya mazoezi na ninakua mchovu sana hasa usiku nikilala! tangu hali hii inianze ninashindwa hata kumridhisha mke wangu kwan nguvu zinakua hazipo, lakin hamu ya kufanya mapenzi ninakua nayo.naombeni msaada wenu ninateseka sana hata kazi za kunipatia mlo wa kila siku nashindwa kufanya kwa ukamilifu kutokana na tatizo hili.

jaribu kufanya mazoezi ya viongo ukihusisha kuvinyoosha na kuvivuta, fanya hvyo kla wakati hiyo itakusaidia kupunguza mauvivu.
 
FOREVER FREEDOM

Ni kinywaji chenye Aloe vera, Glucosamine Sulphate, chondroitin sulphate, methylsulphonyl methane, vitamin C, vitamin E. Zinasaidia kulainisha viungo ili kuzuia maumivu ya kusuguana kwa mifupa katika viungio, tatizo linalosumbua wanawake wengi wenye umri mkubwa kwa kuwa mwili unakuwa unashindwa kuzalisha ute unaolainisha viungio.

FAIDA: Husaidia mifupa isichakae na kurudisha majimaji yaliyopo katikati ya viungio ili kulainisha viungo na kuondoa maumivu na uvimbe.
 

Attachments

  • FOREVER FREEDOM.jpg
    FOREVER FREEDOM.jpg
    16.8 KB · Views: 61
Nenda hospitali ukapate matibabu/ushauri wa kitaalamu kutokana na vipimo/uchunguzi watakaofanya.

Kila la kheri na nakuombea upate nafuu haraka.
 
Nenda hospitali ukapate matibabu/ushauri wa kitaalamu kutokana na vipimo/uchunguzi watakaofanya.

Kila la kheri na nakuombea upate nafuu haraka.

ok! nashukuru kwa ushauri ila ni wapi nitapata vipimo na daktari mvizur vya hili tatizo kwa hapa dar
 
vipimo na daktari mzuri wa hili tatizo langu?
 
mimi ni kijana ambaye nina miaka 39! tatizo langu ni kwamba joint za vidole vya miguuni na mikononi pamoja na vidole vyenyewe vinaniuma sana kama vile nimekimbia sana na kufanya mazoezi na ninakua mchovu sana hasa usiku nikilala! tangu hali hii inianze ninashindwa hata kumridhisha mke wangu kwan nguvu zinakua hazipo, lakin hamu ya kufanya mapenzi ninakua nayo.naombeni msaada wenu ninateseka sana hata kazi za kunipatia mlo wa kila siku nashindwa kufanya kwa ukamilifu kutokana na tatizo hili.


Mbona inasound kama GOUT, nenda kapime URIC ACID, MKOJO for Protein, nadhani pia ingekuwa vizuri ucheki na FIGO
 
mimi ni kijana ambaye nina miaka 39! tatizo langu ni kwamba joint za vidole vya miguuni na mikononi pamoja na vidole vyenyewe vinaniuma sana kama vile nimekimbia sana na kufanya mazoezi na ninakua mchovu sana hasa usiku nikilala! tangu hali hii inianze ninashindwa hata kumridhisha mke wangu kwan nguvu zinakua hazipo, lakin hamu ya kufanya mapenzi ninakua nayo.naombeni msaada wenu ninateseka sana hata kazi za kunipatia mlo wa kila siku nashindwa kufanya kwa ukamilifu kutokana na tatizo hili.

Inaonekana tuko wengi asante nami naenda kuwaona wataalam kesho -mimi nasumbuliwa na bega la kushoto kidole gumba mkono wa kushoto na vidole viwili vya mwisho mguu wa kulia na mambo ya faragha aibu buno moja basi natafuta sigara na kuanzisha stori ambazo hata mimi mwenyewe sijijui naongea nini!LOL
 
Inaonekana tuko wengi asante nami naenda kuwaona wataalam kesho -mimi nasumbuliwa na bega la kushoto kidole gumba mkono wa kushoto na vidole viwili vya mwisho mguu wa kulia na mambo ya faragha aibu buno moja basi natafuta sigara na kuanzisha stori ambazo hata mimi mwenyewe sijijui naongea nini!LOL
Mkuu, wewe suluhisho la tatizo lako ni dogo sana na unalo mwenyewe. Acha sigara na tatizo lako litakwisha, kamwe haiwezekani ukawa mvuta sigara na ukawa na nguvu za kiume, kadharika magonjwa na maumivu mbalimbali hayatakaa yaishe kama unapenda kuvutavuta sigara. Ni heri uvute bangi kuliko sigara.
 
mimi ni kijana ambaye nina miaka 39! tatizo langu ni kwamba joint za vidole vya miguuni na mikononi pamoja na vidole vyenyewe vinaniuma sana kama vile nimekimbia sana na kufanya mazoezi na ninakua mchovu sana hasa usiku nikilala! tangu hali hii inianze ninashindwa hata kumridhisha mke wangu kwan nguvu zinakua hazipo, lakin hamu ya kufanya mapenzi ninakua nayo.naombeni msaada wenu ninateseka sana hata kazi za kunipatia mlo wa kila siku nashindwa kufanya kwa ukamilifu kutokana na tatizo hili.
Mkuu, kunywa maji mengi ya kawaida siyo ya kwenye friji na usisubiri kiu, acha vinywaji vyenye kaffeina, tumia chumvi ya baharini ambayo haijapita kiwandani (ya mawe), punguza pia vilevi na zaidi ufanye mazoezi hasa ya simama chuchumaa dakika 15 kila siku, jipigie saluti mwenyewe mkono mmoja baada ya mwingine mara round 5 tofauti, pendelea vyakula na vinywaji vyenye alkalini nyingi na uepuke kabisa vyenye asidi nyingi.

zaidi tembelea: Nyumbani | maajabuyamaji.net kwa makala mbalimbali zinazohusu namna ya kuyatumia maji kujitibu na kujikinga na magonjwa mbalimbali.
 
ok! nashukuru kwa ushauri ila ni wapi nitapata vipimo na daktari mvizur vya hili tatizo kwa hapa dar

kwa Dar nenda agakan au regency, ukiona sio favourable fika Peramiho hospital, coz hili tatizo lako si la kwenda kufanya mazoezi ila unatakiwa kumwona Dr na kufanya investigations za kutosha. Ukuishindwa kabisa ni pm
 
Mkuu, wewe suluhisho la tatizo lako ni dogo sana na unalo mwenyewe. Acha sigara na tatizo lako litakwisha, kamwe haiwezekani ukawa mvuta sigara na ukawa na nguvu za kiume, kadharika magonjwa na maumivu mbalimbali hayatakaa yaishe kama unapenda kuvutavuta sigara. Ni heri uvute bangi kuliko sigara.

Mwamba inamaaana niache kabisa mpango wa kutengeneza viwingu?anyway thanks but trust me i will have to make hardest decision in my whole stupid life !
 
Mwamba inamaaana niache kabisa mpango wa kutengeneza viwingu?anyway thanks but trust me i will have to make hardest decision in my whole stupid life !
Ni rahisi sana mkuu, kwanza inabidi uamuwe mwenyewe. Lakini bado narudia ni rahisi sana. Ukihitaji maelezo ya ziada utani-pm. Sigara haifai.
 
vipimo na daktari mzuri wa hili tatizo langu?
Mkuu tatizo lako ukienda kwa Dr. Baki (kama sijakosea spelling) yupo ana hospitali Kibaha litakwisha. Ni mtaalam sana kwa mifupa na viungo.
 
kwa Dar nenda agakan au regency, ukiona sio favourable fika Peramiho hospital, coz hili tatizo lako si la kwenda kufanya mazoezi ila unatakiwa kumwona Dr na kufanya investigations za kutosha. Ukuishindwa kabisa ni pm

ok! nimekupata kiongozi ngoja nijikusanyekusanye
 
Isije ukawa unavaa viatu over size na wengine maskosi makubwa wanakunjaga kwa mbele na hilo ni tatizo mkuu
 
Back
Top Bottom