Sasa dume unalazimishaje ushikwe kali na daktari. Au Wewe ni sigara kali?!
Hivi kwanini doctors now days wako na aibu sana. Unaweza enda hospital ukamwelezea labda nina kipele sehem za siri.
Lakini swali atakalo kuuliza ni kimeanza lini then kina usaha au hakina ukimjibu anakupa dawa.
Hawezi sema labda akione kikoje au ukimwambia umwonyeshe kilivyo atakuambia hizo ni reaction tu za mwili.
Kumbe ni njia tu ya kuepuka kukuonea soo.
Makamo ya kati kati kwanza alivyoniambia anatakankuona aisee nilishituka na mwenyewe akasema ndio lzm nione ...
aiseeUpo sahihi kabisa, ni kama vile madaktari wameacha kupima wagonjwa sasa. Cha ajabu kazi ya kupima wagonjwa wameikabidhi vipimo. Ukisema tumbo linauma utasikia kapime choo, damu na ultasaund. Hakupimi tumbo n'go?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshindwa kuelewa Xul ndo nini eti...viswahili vya facebook ni shida sana!ππ kuna siku mzee mbaba nilichomoka xul bac nikajifanya kupitia hospital kibosho pale ili nipate cha kujitetea nikirudi xul ss pale hospital ya kibosho nikamkuta dokta ni sister ss nikamdanganya naugua pumbu erosion ah mzee mama sister akaniambia lala ktk kitanda hapo saula suruari ili akague πππ kishingo upande nikachojoa suruali sister akakagua zakaria
Sidhani kama wewe huwa unaenda kwa ajili ya kupata msaada wa kidaktari. Nadhani wanakusoma, wanajua tu huyu ni pervert! Tena ningewashauri wawe wanakuandikia sindano tano za X-Pen (Crystapen) kukusaidia na vipele vyako vya sehemu za siri unavyotaka kuwaonyesha! Zitatatua tatizo lolote ulilonalo, iwe kipele sehemu za siri au kichwani!Hivi kwanini doctors now days wako na aibu sana. Hawezi sema labda akione kikoje au ukimwambia umwonyeshe kilivyo atakuambia hizo ni reaction tu za mwili.Kumbe ni njia tu ya kuepuka kukuonea soo.
Mtoto wako ulimpataje bila kupanua mapaja kwa nesi wa kiumeMi sipendi kukaguliwa
Nesi alikua wa kike,
una anzaje kumgegeda sister ww ? ila kiukweli nilishangazwa na lile tukio la siku ile sitakuja sahauDooh baadae haukujaribu kumgegeda huyo sister luangalila
Ikawaje mwisho wakeMakamo ya kati kati kwanza alivyoniambia anatakankuona aisee nilishituka na mwenyewe akasema ndio lzm nione ...
We kwa akili yako unajua madaktari wote ni wanaumeSasa dume unalazimishaje ushikwe kali na daktari. Au Wewe ni sigara kali?!
Uko makini sana kufatilia hii stori hahahahahaa
Nimeshindwa kuelewa Xul ndo nini eti...viswahili vya facebook ni shida sana!
πππππTunakagua wanawake tu, wewe mwanaume hujafua boxer wiki zima unataka nikukagua hapanaaa. Nakupa tu antibiotic usepe na vipele vyako( mimi sio Dr. naongea kwa niaba yao).
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinsia yako tafadhali??