Madaktari tumshauri huyu mshkaji anaugua gonjwa la ajabu....

Watu na viswahili vitarafa vyenu!

Huu msemo "dudu la yoyo" mmeulazimisha hadi limekuwa ni tusi la nguoni!
Wana Jf ninyi wabaya!
 
Nifolow katika account yangu ujifunze jins ya kujitibu nguvu za kiume au kuboresha mfumo wako wa uzaz bila madhara na kwa matunda tu
@pona_nguvu_zakiume_kwa_matundah
 
Kwa namna ulivyoelezea lazima umetumia lugha janja ila umeeleweka... ushauri wangu uza bodaboda hiyo kama tatizo ni pesa... then wahi hospitali. Utadedi afu hiyo boda wana wataiuza wakanywee Konyagi.

Afya kwanza mjomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…