Hizi simu Za mikopo zinawaziziua watu kweli na kuacha kufata kanuni Za kitaaluma sawa na polisi apige picha wakati anamuadhibu mtuhumiwa, benka apige picha burugutu la pesa mwalimu apige picha majibu Ya mtihani na kupost na mifano mingi tu ni kuwa wanataaluma wamekosa weledi wa kusimamia kanuni zao au ukanjanja mwingi sana