wazawa
Senior Member
- Jan 29, 2013
- 184
- 58
Kumezuka tabia sugu Ya hivi karibuni kwa madaktari na manesi kupiga picha faili la mgonjwa lenye taarifa Za mgonjwa ila zina misdiagnosis Au mismanagement kwa muktadha wa kuonyesha kuwa daktari husika amekosea Au kuonyesha ujing a wake licha Ya kutokuzingatia taarifa Ya mgonjwa n Siri je ni ulimbukeni wa utandawazi au ushamba na hii inamaanisha ethics n swala gumu haswa kwa madaktari nyinyi wa semester je hakuna njia nyingine ya kumsahihisha daktari na sio kugeuza topics ktik magroup Ya whtsup yasio kuwa na tija Ya kimaendeleo