Madaktari wa kitanzania waenda nchi za magharibi kutoa matibabu ya ebola,je si chanzo

Future president

Senior Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
144
Reaction score
39
Jana nilipata mshituko ambao mpaka sasa unaendelea kunistua na kuona hatari mbeleni,je wanajf hasa category ya jf doctor,kuna habari ya madaktari wa kujitolea wanaotoka tanzania eti wanaenda kutoa msaada wa utabibu wa ugonjwa ambukizi wa ebola nchi za magharibi mwa africa,nahisi hawa hawarudi salama na hata wakirudi ndio chanzo cha tanzania kupata ugonjwa huu
 
Sina hakika na taarifa yako maana haijawa prominent kwenye media na pia hujaweka chanzo chako. Na kama kweli wamekwenda, je wemekwenda kwa terms zipi na chini ya mwamvuli upi? But Wewe ulitakaje? Tanzania tuwe tunasaidiwa tu ila tusisaidie wengine? Kama wamerekani wanaotupa 'misaada' ya kila namna wako Afrika magharibi wanasaidia wahanga, sisi wabongo tena wenye njaa kali tukae tu kusikilizia?
 
Acha woga , ni vizuri wakaenda huko na kuweza kupata experience njisi ya kupambana nao na sio kusubiri hadi hapo itakapogundulika kuna ebola tz ndo waanze kuhaha, chukua mfano wa uganda ni moja ya nchi ambazo zina preperation na uwezo wa hali ya juu kupambana na ebola na nchi ya kwanza Africa kutuma madikitari wa,kujutolea na hadi sasa imepoteza madikitari 2 huko west africa tokana na ebola, lakini madoctor watakorudi salaama wataliwezesha taifa kujipanga na jinsi ya kupambana na hilo gonjwa
Experience is the best teacher
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…