Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja
Itasaidia kujua ni nani walikuwa zamu na ikiwwzekana kuwa rewarded.
Thx Youngs doctors at least ubinadamu unaanza kurudi katika sehemu nyeti kama hospital!
Dah. Nimesoma nikalia pia.
Mbwembwe za madaktari kupenda kusifiwa....majitu siyapendi yale,basi tu....give me services and i pay u,no mbwembwe
Hahaha kaka hata nakumbuka basi? Nikumbushe bwana, nazeeka dada yako.
Ila two weeks ago shosti wangu alikuwa anauguza mama yake mzazi MOI. Yaanj walitoa laki 2 ili apate private room na ilishindikana. Japo alipata kitanda, hakulazwa chini. Zile wards za muhimbili, nakumbuka kumuambia BAK kuwa nilienda kumtfuta mgonjwa mmoja nikajisikia kama mchawi. Viatu vyangu vya kokoko nilitamani kushikilia mkononi, kiukweli niliona aibu mbele ya wapiga kura wale (nikaelewa kwa nini waziri mkuu analiaga)
Ndugu yangu Katibu Mwanyasi, hali ya nchi hii ni mbaya sana.
Mimi pia nawapongeza hao watoa huduma ya afya kwa moyo wao wa kusaidia wagonjwa na hata kujitolea pesa na mali zao nyingine. Ni jambo zuri sana ila pia ni hatari kwa sababu huduma itatolewa kutegemea na jinsi walivyoguswa.
Wanatakiwa pia kutafuta suluhu kwa kuomba hospitali iweke utaratibu wa kuwahudumia watuo wasiojiweza hata kama hawana pesa. They can be part of the long term solution.
Siku hizi una wapiga kura? Hongera sana King'asti!