Kwanini upendi tena?
Doctors wanajua ku care lakinKazi yenu ya ajabuuu. Kuingia kazini dakika yoyote.
Japo naipenda kazi yenu ila not for my man.
Doctors wanajua ku care lakin
Mmmh hizi sifa zitawatoa roho madaktari humu ndani..wakija PM sijui uta deal nao vipi .[emoji3]
Mike kabakisha Uwt tu amalize vyombo vyoteWanajeshi imepita zamu yetu wamehamia kwa Madaktari
tete wazi mkuuMike kabakisha Uwt tu amalize vyombo vyote
Yaani nikishajitambulisha daktari, status inanifuata automatically.
Sio kweli bae..Kulana ni matokeo ya Jinsia mbili kukubaliana kulana .In hospital setting s sio rahisi kumla Mgonjwa hata kama umemtamani.
Hembu njoo kazini tuone nitakavyokula boo[emoji3][emoji3]