Madaktari wa kiume ni mahandsome sana!!

Madaktari wa kiume ni mahandsome sana!!

Ngoja nikareview ile creep kumbe ni kweli hawa ma Dr. huwamega wagonjwa wao hasa wale masister du nyie mko nje tu kwenye foleni nusu saa nzima mmh na vile vitanda vya kuset balaa.
 
Yaani nikishajitambulisha daktari, status inanifuata automatically.
 
audacious eti ni kweli mnakulaga wagonjwa boo?
Ngoja nikareview ile creep kumbe ni kweli hawa ma Dr. huwamega wagonjwa wao hasa wale masister du nyie mko nje tu kwenye foleni nusu saa nzima mmh na vile vitanda vya kuset balaa.
 
Nimekumbuka siku nilienda kutibiwa pale TMJ alikuwa anahudumia mdada mzuri balaa, sasa bado kama watu watatu ifike zamu yangu sijui akaitwa na nani huko ofisini na likaletwa lijamaa jeusi pale dah! kiukweli hakuna siku nilijisikia vibaya kama siku ile yani mimi nakaribia walau hata nimsalimie afu anaondoka...siwezi sahau hii scenario kiukweli. nilikuwa naumwa macho kidogo nigairi nisingekuwa na UE nisingehangaika maana waliniboa sana
 
Mmmmh mmmmmh.. Ngoja nije siku nione kama itawezekana. Hahaahahaa
Sio kweli bae..Kulana ni matokeo ya Jinsia mbili kukubaliana kulana .In hospital setting s sio rahisi kumla Mgonjwa hata kama umemtamani.


Hembu njoo kazini tuone nitakavyokula boo[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom