Madaktari wa meno nahitaji kufahamu kuhusu DENTAL CROWN

Madaktari wa meno nahitaji kufahamu kuhusu DENTAL CROWN

Crown inawekwa kwenye jino bovu kama unavyovaa kofia kichwani. Crown inafanya kazi badala ya enamel.
Inaweza kudumu kwa miaka 20 baada ya hapo unabadilisha. Inatengenezwa kwa dhahabu mara nyingi.
Hivi ulisema hospitali gani nzuri ya meno pale mwenge kwa kakobe?
 
Crown ni sawa na kusema Kofia....
Jino ambalo ni bovu na ambalo halina maumivu huchongwa na kutengenezewa jino ambalo linafanana na meno mengine,
Na kama lina maumivu huuliwa mizizi yake na kuveshea kofia kwa juu.
Zipo crown za material ya Ceramic, Zirconia na Precious metal
Gharama inategemeana na sehemu
Kwa msaada zaidi waweza nitafuta Inbox
Kwa contact za madaktari.
Mm ni Mmoja wapo wa watu ambao tunatengeneza Meno ila tunashirikiana na Madaktari kutoka clinic mbalimbali kwa Dar na Mikoani....Arusha na Dodoma.
Kwa mtu mwenye florosis ni huduma gani inamfaa mathalan watu wa singida na arusha?
 
Back
Top Bottom