Madaktari wa Nairobi waanza mgomo kwa kutolipwa mishahara

Madaktari wa Nairobi waanza mgomo kwa kutolipwa mishahara

Sijamtetea mtu yeyote yule. Mimi nimewapa tu facts kama zilivyo, maanake wengi wenu huwa mna uelewa finyu kupindukia. Alafu kama kawa huwa hamsomi taarifa kwanza na mkisoma huwa hamuelewi chochote. Mgogoro kuhusu mswada ambao upo Seneti ni jambo ambalo kila mkenya analifahamu vyema. Lawama zote zipo kwa rais U.K na Rt. Hon RAO kwa 'interfence' yao kwenye masuala ambayo Seneti inafaa itoe maamuzi huru bila presha kutoka kwa mtu yeyote yule. Nashangaa sana kwamba hata kiswahili pia hamkielewi, au hamjaona haya yanayohusu gatuzi la Nairobi kwenye taarifa? ..."Mishahara yachelewa Hata hivyo, Naibu Waziri wa Afya
Mercy Mwangangi, anasema kuwa
mishahara ya madaktari ilichelewa
kwa sababu ya usimamizi mpya wa
jiji." 😕
Wewe huna akili na unatabia ya kutetea wakikuyu wenzako ambao wote ni hopeless kabisa, matatizo ya malipo kwa madaktari Kenya ni ya muda mrefu na hayajawahi kupatiwa ufumbuzi wa kudumu huwa yanaibuka kila baada ya kipindi, vipi hii nayo ilisababishwa na Senate?
 
Sijamtetea mtu yeyote yule. Mimi nimewapa tu facts kama zilivyo, maanake wengi wenu huwa mna uelewa finyu kupindukia. Alafu kama kawa huwa hamsomi taarifa kwanza na mkisoma huwa hamuelewi chochote. Mgogoro kuhusu mswada ambao upo Seneti ni jambo ambalo kila mkenya analifahamu vyema. Lawama zote zipo kwa rais U.K na Rt. Hon RAO kwa 'interfence' yao kwenye masuala ambayo Seneti inafaa itoe maamuzi huru bila presha kutoka kwa mtu yeyote yule. Nashangaa sana kwamba hata kiswahili pia hamkielewi, au hamjaona haya yanayohusu gatuzi la Nairobi kwenye taarifa? ..."Mishahara yachelewa Hata hivyo, Naibu Waziri wa Afya
Mercy Mwangangi, anasema kuwa
mishahara ya madaktari ilichelewa
kwa sababu ya usimamizi mpya wa
jiji." 😕
Kuna hii documentary nzima inaelezea jinsi Kenya doctors eanavyohangaisha kwa miaka mingi sasa katika kupata malipo yao hata kabla Kenya haijaingia katika mfumo wa ugatuzi. Wacha kutetea leadership failures ya serikali yenu wakati ni wazi kwamba Jubilee imefeli terribly kuongoza nchi
 
I support the doctors quest for a national outlook in the overall health services sector in Kenya. Apart from their work environment, standardization in all the parameters is needed across the health sector countrywide. Some county governments are not getting it right in their management of health services. Methinks the health services function should be balanced between the national and county governments in the longrun, for better delivery and more robust improvements in all the necessary areas.
Your support for Jubilee blinds you to the FACT that most is not all counties have had major problems. with doctors & nurses. Including the longest strike by both in history after so called devolution.
If counties were doing so well, teachers like you would now be also devolved or at least proposing to be devolved. But ask any Gok worker if they want to be employed by any of the 47 tinfoil tribal warlords..Naah
 
Sasa serikali yenyewe imewajibu madaktari kwamba haina pesa, wewe ni nani unayesema pesa ipo?, wacha kupenda kutetea ujinga
Huyo mpumbavu cku c nyingi alijitapa eti Kenya ndio inayoongoza kulipa mishahara mikubwa kwa watumishi wa umma ukanda huu mishahara mikubwa yenyewe ndio hii
 
Wewe ni pimbi Sana, unaumwa utapia mlo wa ubongo, madaktari wenyewe wanasema serikali inawajibu kwamba haina pesa ndio sababu haijaweza kulipa madaktari kwa miezi mitatu mfululizo, wewe unataka ushahidi gani zaidi ya hiyo statement?, wewe unayesema pesa ipo unatumia ushaidi gani?.
Itakua anatumia ushahidi wa GDP huyo ,huwajui wakenya tena kwa GDP ni bora asione mradi wowote mwaka nzima ila aone GDP ipo juu anakua ameridhika na atasema yeth yeth yeth
 
Drama za kunya huwa Mungu hazivumilii.wanapata majibu at the right time
 
Back
Top Bottom