Sijamtetea mtu yeyote yule. Mimi nimewapa tu facts kama zilivyo, maanake wengi wenu huwa mna uelewa finyu kupindukia. Alafu kama kawa huwa hamsomi taarifa kwanza na mkisoma huwa hamuelewi chochote. Mgogoro kuhusu mswada ambao upo Seneti ni jambo ambalo kila mkenya analifahamu vyema. Lawama zote zipo kwa rais U.K na Rt. Hon RAO kwa 'interfence' yao kwenye masuala ambayo Seneti inafaa itoe maamuzi huru bila presha kutoka kwa mtu yeyote yule. Nashangaa sana kwamba hata kiswahili pia hamkielewi, au hamjaona haya yanayohusu gatuzi la Nairobi kwenye taarifa? ..."Mishahara yachelewa Hata hivyo, Naibu Waziri wa Afya
Mercy Mwangangi, anasema kuwa
mishahara ya madaktari ilichelewa
kwa sababu ya usimamizi mpya wa
jiji." 😕