Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 536
Hutaki wenzio wasikilizwe?...Utafiti wangu binafsi.
Madaktari wengi Tanzania hawawezi KWENDA na muda wanapoteza muda sana wawapo kazin
Kuna foleni zipo mahospitalini simply because madaktari na lab technician hawazingatii muda.
Daktari anapiga soga na mgonjwa ndani ya chumba Cha daktari kama wapo kijiweni..
Wastani WA kumuhudumia mgonjwa ambae vipimo vimeshaonyesha ana malaria ni less than 10 min sio unakaa nae dkk40 Huko chumban .utadhan unamfanyia brain surgery
Tanzania doctors wake up
Ukienda south Africa ndo utaona upanctuality WA madaktari
Sawa ukionaje tafuta PD wako mkuu usisumbuke na hao wa kuajiriwaUtafiti wangu binafsi.
Madaktari wengi Tanzania hawawezi KWENDA na muda wanapoteza muda sana wawapo kazin
Kuna foleni zipo mahospitalini simply because madaktari na lab technician hawazingatii muda.
Daktari anapiga soga na mgonjwa ndani ya chumba Cha daktari kama wapo kijiweni..
Wastani WA kumuhudumia mgonjwa ambae vipimo vimeshaonyesha ana malaria ni less than 10 min sio unakaa nae dkk40 Huko chumban .utadhan unamfanyia brain surgery
Tanzania doctors wake up
Ukienda south Africa ndo utaona upanctuality WA madaktari
Hutaki wenzio wasikilizwe?...
Hospitali sio sokoni...
Nenda katibiwe huko south...
Acha ujuaji..
Niko kwenye angle ya time management na panctuality sio issues za kusikilizaHutaki wenzio wasikilizwe?...
Hospitali sio sokoni...
Nenda katibiwe huko south...
Acha ujuaji..
Yaani iingie pisi ya maana niache kuongea naye vizuri n.a. kuona kama anaweza kunikubali niwe mwandani wake eti kisa muda ?Utafiti wangu binafsi.
Madaktari wengi Tanzania hawawezi KWENDA na muda wanapoteza muda sana wawapo kazini.
Kuna foleni zipo mahospitalini simply because madaktari na lab technician hawazingatii muda.
Daktari anapiga soga na mgonjwa ndani ya chumba cha daktari kama wapo kijiweni.
Wastani wa kumuhudumia mgonjwa ambae vipimo vimeshaonyesha ana malaria ni less than 10 min sio unakaa nae dk 40 huko chumbani, utadhan unamfanyia brain surgery.
Tanzania doctors wake up.
Ukienda south Africa ndio utaona u-panctuality wa madaktari.
Yaani kwa akili yako unataka mgonjwa aliingia tu daktari aseme makaratasi na kuandika dawa? Wacha hizo Mangi!Utafiti wangu binafsi.
Madaktari wengi Tanzania hawawezi KWENDA na muda wanapoteza muda sana wawapo kazini.
Kuna foleni zipo mahospitalini simply because madaktari na lab technician hawazingatii muda.
Daktari anapiga soga na mgonjwa ndani ya chumba cha daktari kama wapo kijiweni.
Wastani wa kumuhudumia mgonjwa ambae vipimo vimeshaonyesha ana malaria ni less than 10 min sio unakaa nae dk 40 huko chumbani, utadhan unamfanyia brain surgery.
Tanzania doctors wake up.
Ukienda south Africa ndio utaona u-panctuality wa madaktari.
Na MITUHA hiiUtafiti wangu binafsi.
Madaktari wengi Tanzania hawawezi KWENDA na muda wanapoteza muda sana wawapo kazini.
Kuna foleni zipo mahospitalini simply because madaktari na lab technician hawazingatii muda.
Daktari anapiga soga na mgonjwa ndani ya chumba cha daktari kama wapo kijiweni.
Wastani wa kumuhudumia mgonjwa ambae vipimo vimeshaonyesha ana malaria ni less than 10 min sio unakaa nae dk 40 huko chumbani, utadhan unamfanyia brain surgery.
Tanzania doctors wake up.
Ukienda south Africa ndio utaona u-panctuality wa madaktari.