Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachanjwe wao wahudumu wa afya ili wasiambukizwe. Badala ya kujichanje wenyewe wanakwepa!... hivi habari za chanjo bado zipo?!... Wapi Gwajigirl?!... Wanaanza lianzisha tena eeeh... Wasituhudumie ambao hatujachanja. FULL STOP
Hiki ndio nimehoji hapo. Kuna tatizo sehemuSwali la kujiuliza, madaktari wao wamechanjwa, sasa kama wamechanjwa wanakufaje wakati wamechanjwa na tuliambiwa ukichwanjwa haufi hata ukiugua na wala haulazwi?
Na kama hawajachanja, ina maana na wao hawaamini chanjo hiyo wanayotusisitiza sisi tuchanjwe?
Mbona hatulazimishani kwenda kutibiwa tukiugua, chanjo bure na bado tulazimishane, mbona matibabu mengine hatulazimishani?
Hujainelewa, ninasema kuwa lazima sio vibaya ila waondoe hiyo sintofahaamuYaani huna msimamo binadamu wewe? Unasema chanjo kwa lazima si jambo baya na unaliunga mkono. Wakati huo huo una mashaka na maswali mengi kuhusu ufanisi na usalama wa chanjo. Tukueleweje sasa??!!
Inawezekana walipata maambukizi kabla ya chanjo, ujue chanjo haitibu ila inakupunguzia kiwango cha kuugua.Madaktari wameishauri Serikali chanjo ya Corona iwe lazima. Si jambo baya na wapo sahihi kwa kuwa wao ni wataalamu.
Serikali haipaswi kukataa ushauri wowote wa wataalamu kwa maana mambo yakienda ndivyo sivyo watakuwa hawana wa kumwajibisha. Hivyo ushauri uzingatiwe pia.
Na mimi binafsi Sina shaka na huu ushauri wa hawa madaktari nguli kabisa, Hoja kubwa ni wataalamu wa afya kufariki wakiwa wanaendelea kupambana na ugonjwa wa corona, ila kuna mambo lazima waweke bayana.
Nimejaribu kujiuliza hivyo pia si kwa ubaya, ila vyovyote vile bado Kuna nafasi ya kupambana na huu ugonjwa na kuutokomeza.
- wataalamu wa afya wanaendelea kufa, Ina maana hawa wataalamu wa afya walikuwa hawajapata chanjo? Ikiwa hawajapata, kwanini? Na wao ndio sisi tunategemea wawe mfano kwenye kutumia sayansi kukabili huu ugonjwa, hapa pana wasiwasi.
- Ikiwa walipata chanjo, maswali yatabaki kwanini wanakufa kwa Corona ikiwa tayari walipata chanjo. Ina maana tutarudi kuwaambia watu kuwa chanjo haizuii kufa kwa corona?
I highly support the advise.Madaktari wameishauri Serikali chanjo ya Corona iwe lazima. Si jambo baya na wapo sahihi kwa kuwa wao ni wataalamu.
Serikali haipaswi kukataa ushauri wowote wa wataalamu kwa maana mambo yakienda ndivyo sivyo watakuwa hawana wa kumwajibisha. Hivyo ushauri uzingatiwe pia.
Na mimi binafsi Sina shaka na huu ushauri wa hawa madaktari nguli kabisa, Hoja kubwa ni wataalamu wa afya kufariki wakiwa wanaendelea kupambana na ugonjwa wa corona, ila kuna mambo lazima waweke bayana.
Nimejaribu kujiuliza hivyo pia si kwa ubaya, ila vyovyote vile bado Kuna nafasi ya kupambana na huu ugonjwa na kuutokomeza.
- wataalamu wa afya wanaendelea kufa, Ina maana hawa wataalamu wa afya walikuwa hawajapata chanjo? Ikiwa hawajapata, kwanini? Na wao ndio sisi tunategemea wawe mfano kwenye kutumia sayansi kukabili huu ugonjwa, hapa pana wasiwasi.
- Ikiwa walipata chanjo, maswali yatabaki kwanini wanakufa kwa Corona ikiwa tayari walipata chanjo. Ina maana tutarudi kuwaambia watu kuwa chanjo haizuii kufa kwa corona?
Nikiweka screenshot ya taarifa chini Ila naona admin kaitoaMadaktari wameishauri Serikali chanjo ya Corona iwe lazima.
===
Madaktari gani, wa wapi, waliishauri serikali lini, wakiwa wapi?
Kauli ya kijinga isiyo na scientific basis."Chanjo hazifai, msifikiri mnapendwa Sana ndugu zangu watanzania".
Mimi naonya wote ndo maana sijalia upande wowote, wote thamani yetu ni moja.Anza kumuonya yule mbwa kwanza kwa kuita gaidi,mnafiki mkubwa.
Thamani yako iko Geita kwa mwendazake, si ulisema mko poa tu?Mimi naonya wote ndo maana sijalia upande wowote, wote thamani yetu ni moja.
Kama tayari una mashaka, unakubalije chanjo iwe lazima??!!Hujainelewa, ninasema kuwa lazima sio vibaya ila waondoe hiyo sintofahaamu
Watu tujue je hao madaktari wanaokufa waichanja au hawakuchanja
Yes sisi halmashauri tupo CSRThamani yako iko Geita kwa mwendazake, si ulisema mko poa tu?