Madaktari waliogundua vipandikizi vya kansa kwenye chanjo wameuliwa

Madaktari waliogundua vipandikizi vya kansa kwenye chanjo wameuliwa


vaccination siku hizi ni 'deadly deception'.Deadly deception is almost everywhere,na wale walio nyuma ya hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wa maana sana hapa duniani lakini wale wanaotetea maisha ya watu ili wasije kudanganyika na hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wabaya sana,hatari katika jamii na hawafai kabisa kuishi.

Hii dunia sasa imebadilika sana,haramu ni halali na halali ni haramu,mkombozi anaonekana ni muangamizi na muangamizi anaonekana ni mkombozi.Watu wametekwa sana akili na hawa ma tycoon pasipo kujitambua.

Leo hii ukitangaza hadharani kwamba chanjo ni hatari au dawa za uzazi wa mpango ni hatari,utapotezwa kimyakimya na hata jamii haitakuonea huruma.Lakini jamii hiyohiyo inashindwa kujiuliza maswali mepesi sana,mfano,hapo zamani mbona mababu na mabibi zetu waliishi bila chanjo,hawakutumia vidonge vya uzazi wa mpango na hakukuwa na tatizo lolote?

-Je,ni kweli hawa jamaa wanatupenda sana kiasi cha kutumia nguvu nyingi kulinda afya zetu kwa chanjo nk?Kama ni kweli mbona wanaua watu Iraq,Syria,Libya,Plestine,Afghanistan nk?Je hao wengine sio watu?

-Je,ni kweli wanatupenda kiasi cha kutupa vyandarua bure ili kutulinda na malaria?Je,ni kweli chandarua kinakulinda na malaria?Je,ni kweli mbu hakuumi ukiwa nje ya chandarua/hujalala na kukusubiri mpaka ulale kitandani?

Siku hizi kuna watoto wanaugua ugonjwa wa pumu wangali wadogo sana,wazazi wao hawana historia ya pumu kwenye koo zao,je hawa watoto pumu wameipata wapi?Pia kuna watoto wengi sana wana tabia ya kusahausahau na hawawezi ku focus kwenye jambo,mbona zamani tatizo hili halikuwepo?Nenda Ocean Road kauliza takwimu za watoto wanaougua cancer za miaka ya nyuma halafu ulinganishe na sasa,halafu jiulize kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya takwimu hizo?

Hapa kwetu wanaohusika na ku verify chanjo ni mabwege sana,they don't care what is inside it,hii ni kwasababu bongo zao haziko advanced kiasi cha kuweza kuchunguza chanjo hizo kwakua kwao kila kitu kutoka kwa mzungu ni sahihi tu kwakua mzungu anatupenda na hakosei.

almost 80% ya wagonjwa wote wa cancer pale Ocean Road ni wanawake,na cancer zao huwa mara nyingi ni za kizazi au matiti,je watu wameshajiuliza kwanini?

Siku zote ukiwa na taarifa au ujuzi fulani ambao ni muhimu sana kwa maisha yako/jamii halafu ujuzi au taarifa hiyo haikusaidii chochote,basi wewe huna faida au msaada ktk jamii.Sasa kama taarifa kama hizi hazibadili chochote kwa wanaozisoma basi jamiiforums haina maana yoyote kwa members wake.
 
vaccination siku hizi ni 'deadly deception'.Deadly deception is almost everywhere,na wale walio nyuma ya hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wa maana sana hapa duniani lakini wale wanaotetea maisha ya watu ili wasije kudanganyika na hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wabaya sana,hatari katika jamii na hawafai kabisa kuishi.

Hii dunia sasa imebadilika sana,haramu ni halali na halali ni haramu,mkombozi anaonekana ni muangamizi na muangamizi anaonekana ni mkombozi.Watu wametekwa sana akili na hawa ma tycoon pasipo kujitambua.

Leo hii ukitangaza hadharani kwamba chanjo ni hatari au dawa za uzazi wa mpango ni hatari,utapotezwa kimyakimya na hata jamii haitakuonea huruma.Lakini jamii hiyohiyo inashindwa kujiuliza maswali mepesi sana,mfano,hapo zamani mbona mababu na mabibi zetu waliishi bila chanjo,hawakutumia vidonge vya uzazi wa mpango na hakukuwa na tatizo lolote?

-Je,ni kweli hawa jamaa wanatupenda sana kiasi cha kutumia nguvu nyingi kulinda afya zetu kwa chanjo nk?Kama ni kweli mbona wanaua watu Iraq,Syria,Libya,Plestine,Afghanistan nk?Je hao wengine sio watu?

-Je,ni kweli wanatupenda kiasi cha kutupa vyandarua bure ili kutulinda na malaria?Je,ni kweli chandarua kinakulinda na malaria?Je,ni kweli mbu hakuumi ukiwa nje ya chandarua/hujalala na kukusubiri mpaka ulale kitandani?

Siku hizi kuna watoto wanaugua ugonjwa wa pumu wangali wadogo sana,wazazi wao hawana historia ya pumu kwenye koo zao,je hawa watoto pumu wameipata wapi?Pia kuna watoto wengi sana wana tabia ya kusahausahau na hawawezi ku focus kwenye jambo,mbona zamani tatizo hili halikuwepo?Nenda Ocean Road kauliza takwimu za watoto wanaougua cancer za miaka ya nyuma halafu ulinganishe na sasa,halafu jiulize kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya takwimu hizo?

Hapa kwetu wanaohusika na ku verify chanjo ni mabwege sana,they don't care what is inside it,hii ni kwasababu bongo zao haziko advanced kiasi cha kuweza kuchunguza chanjo hizo kwakua kwao kila kitu kutoka kwa mzungu ni sahihi tu kwakua mzungu anatupenda na hakosei.

almost 80% ya wagonjwa wote wa cancer pale Ocean Road ni wanawake,na cancer zao huwa mara nyingi ni za kizazi au matiti,je watu wameshajiuliza kwanini?

Siku zote ukiwa na taarifa au ujuzi fulani ambao ni muhimu sana kwa maisha yako/jamii halafu ujuzi au taarifa hiyo haikusaidii chochote,basi wewe huna faida au msaada ktk jamii.Sasa kama taarifa kama hizi hazibadili chochote kwa wanaozisoma basi jamiiforums haina maana yoyote kwa members wake.


mkuu Deception ninahitaji msaada wako kiongozi...please nakuomba uniPM pindi utakaposoma ujumbe huu...
 
vaccination siku hizi ni 'deadly deception'.Deadly deception is almost everywhere,na wale walio nyuma ya hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wa maana sana hapa duniani lakini wale wanaotetea maisha ya watu ili wasije kudanganyika na hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wabaya sana,hatari katika jamii na hawafai kabisa kuishi.

Hii dunia sasa imebadilika sana,haramu ni halali na halali ni haramu,mkombozi anaonekana ni muangamizi na muangamizi anaonekana ni mkombozi.Watu wametekwa sana akili na hawa ma tycoon pasipo kujitambua.

Leo hii ukitangaza hadharani kwamba chanjo ni hatari au dawa za uzazi wa mpango ni hatari,utapotezwa kimyakimya na hata jamii haitakuonea huruma.Lakini jamii hiyohiyo inashindwa kujiuliza maswali mepesi sana,mfano,hapo zamani mbona mababu na mabibi zetu waliishi bila chanjo,hawakutumia vidonge vya uzazi wa mpango na hakukuwa na tatizo lolote?

-Je,ni kweli hawa jamaa wanatupenda sana kiasi cha kutumia nguvu nyingi kulinda afya zetu kwa chanjo nk?Kama ni kweli mbona wanaua watu Iraq,Syria,Libya,Plestine,Afghanistan nk?Je hao wengine sio watu?

-Je,ni kweli wanatupenda kiasi cha kutupa vyandarua bure ili kutulinda na malaria?Je,ni kweli chandarua kinakulinda na malaria?Je,ni kweli mbu hakuumi ukiwa nje ya chandarua/hujalala na kukusubiri mpaka ulale kitandani?

Siku hizi kuna watoto wanaugua ugonjwa wa pumu wangali wadogo sana,wazazi wao hawana historia ya pumu kwenye koo zao,je hawa watoto pumu wameipata wapi?Pia kuna watoto wengi sana wana tabia ya kusahausahau na hawawezi ku focus kwenye jambo,mbona zamani tatizo hili halikuwepo?Nenda Ocean Road kauliza takwimu za watoto wanaougua cancer za miaka ya nyuma halafu ulinganishe na sasa,halafu jiulize kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya takwimu hizo?

Hapa kwetu wanaohusika na ku verify chanjo ni mabwege sana,they don't care what is inside it,hii ni kwasababu bongo zao haziko advanced kiasi cha kuweza kuchunguza chanjo hizo kwakua kwao kila kitu kutoka kwa mzungu ni sahihi tu kwakua mzungu anatupenda na hakosei.

almost 80% ya wagonjwa wote wa cancer pale Ocean Road ni wanawake,na cancer zao huwa mara nyingi ni za kizazi au matiti,je watu wameshajiuliza kwanini?

Siku zote ukiwa na taarifa au ujuzi fulani ambao ni muhimu sana kwa maisha yako/jamii halafu ujuzi au taarifa hiyo haikusaidii chochote,basi wewe huna faida au msaada ktk jamii.Sasa kama taarifa kama hizi hazibadili chochote kwa wanaozisoma basi jamiiforums haina maana yoyote kwa members wake.
Deception naomba uniPM ili unielekeze chanjo gani ni slm na isiyo salama kwa mwanangu.
 
vaccination siku hizi ni 'deadly deception'.Deadly deception is almost everywhere,na wale walio nyuma ya hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wa maana sana hapa duniani lakini wale wanaotetea maisha ya watu ili wasije kudanganyika na hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wabaya sana,hatari katika jamii na hawafai kabisa kuishi.

Hii dunia sasa imebadilika sana,haramu ni halali na halali ni haramu,mkombozi anaonekana ni muangamizi na muangamizi anaonekana ni mkombozi.Watu wametekwa sana akili na hawa ma tycoon pasipo kujitambua.

Leo hii ukitangaza hadharani kwamba chanjo ni hatari au dawa za uzazi wa mpango ni hatari,utapotezwa kimyakimya na hata jamii haitakuonea huruma.Lakini jamii hiyohiyo inashindwa kujiuliza maswali mepesi sana,mfano,hapo zamani mbona mababu na mabibi zetu waliishi bila chanjo,hawakutumia vidonge vya uzazi wa mpango na hakukuwa na tatizo lolote?

-Je,ni kweli hawa jamaa wanatupenda sana kiasi cha kutumia nguvu nyingi kulinda afya zetu kwa chanjo nk?Kama ni kweli mbona wanaua watu Iraq,Syria,Libya,Plestine,Afghanistan nk?Je hao wengine sio watu?

-Je,ni kweli wanatupenda kiasi cha kutupa vyandarua bure ili kutulinda na malaria?Je,ni kweli chandarua kinakulinda na malaria?Je,ni kweli mbu hakuumi ukiwa nje ya chandarua/hujalala na kukusubiri mpaka ulale kitandani?

Siku hizi kuna watoto wanaugua ugonjwa wa pumu wangali wadogo sana,wazazi wao hawana historia ya pumu kwenye koo zao,je hawa watoto pumu wameipata wapi?Pia kuna watoto wengi sana wana tabia ya kusahausahau na hawawezi ku focus kwenye jambo,mbona zamani tatizo hili halikuwepo?Nenda Ocean Road kauliza takwimu za watoto wanaougua cancer za miaka ya nyuma halafu ulinganishe na sasa,halafu jiulize kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya takwimu hizo?

Hapa kwetu wanaohusika na ku verify chanjo ni mabwege sana,they don't care what is inside it,hii ni kwasababu bongo zao haziko advanced kiasi cha kuweza kuchunguza chanjo hizo kwakua kwao kila kitu kutoka kwa mzungu ni sahihi tu kwakua mzungu anatupenda na hakosei.

almost 80% ya wagonjwa wote wa cancer pale Ocean Road ni wanawake,na cancer zao huwa mara nyingi ni za kizazi au matiti,je watu wameshajiuliza kwanini?

Siku zote ukiwa na taarifa au ujuzi fulani ambao ni muhimu sana kwa maisha yako/jamii halafu ujuzi au taarifa hiyo haikusaidii chochote,basi wewe huna faida au msaada ktk jamii.Sasa kama taarifa kama hizi hazibadili chochote kwa wanaozisoma basi jamiiforums haina maana yoyote kwa members wake.
Nilipoona tu umekoment kwenye uu Uzi nikasema sasa tayari darasa linaanza kupata ufafanuzi zaidi.shukrani sana mkuu
 
View attachment 349103

MADAKTARI WALIOGUNDUA VIPANDIKIZI VYA KANSA KWENYE CHANJO WAMEULIWA


Si mda mrefu kupita Neon Nettle walitoa taarifa jinsi madaktari wanavyouliwa, wengi wao wakitokea Florida,Marekani
Wataalamu hao waligundua kwamba nagalase enzymes protein iliongezwa katika chanjo. Nagalese inazuia uzalishwaji wa vitamin D mwilini, ambayo mwili unahitaji sana hivyo vitamin kujikinga na kuua seli za kansa.

Vilevile inasemekana Protein ya Nagalase inatumika kuunda viini vyote vya saratani.
Protini hii pia hupatikana katika viwango vya juu sana katika watoto wenye ugonjwa wa akili
Nagalase inazuia mwili kutumia vitamin D ambayo inasaidia kupambana na saratani na matatizo ya akili kwa watoto.
Kupunguza watu na kuweka sumu kwenye chanjo....ni kama sheria lazima mtoto achomwe hizo sindano. Jinsi wanavyoua wanavyotengeneza dawa za kuua taratibu, Wakidhani wao wataishi milele, Watu hawa hawana mioyo ya huruma.
chanzo.Doctors Who Discovered Cancer Enzymes In Vaccines All Found Murdered
APA akili imeamka sasa sikuwai kujua chochote kuhusu ili
 
vaccination siku hizi ni 'deadly deception'.Deadly deception is almost everywhere,na wale walio nyuma ya hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wa maana sana hapa duniani lakini wale wanaotetea maisha ya watu ili wasije kudanganyika na hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wabaya sana,hatari katika jamii na hawafai kabisa kuishi.

Hii dunia sasa imebadilika sana,haramu ni halali na halali ni haramu,mkombozi anaonekana ni muangamizi na muangamizi anaonekana ni mkombozi.Watu wametekwa sana akili na hawa ma tycoon pasipo kujitambua.

Leo hii ukitangaza hadharani kwamba chanjo ni hatari au dawa za uzazi wa mpango ni hatari,utapotezwa kimyakimya na hata jamii haitakuonea huruma.Lakini jamii hiyohiyo inashindwa kujiuliza maswali mepesi sana,mfano,hapo zamani mbona mababu na mabibi zetu waliishi bila chanjo,hawakutumia vidonge vya uzazi wa mpango na hakukuwa na tatizo lolote?

-Je,ni kweli hawa jamaa wanatupenda sana kiasi cha kutumia nguvu nyingi kulinda afya zetu kwa chanjo nk?Kama ni kweli mbona wanaua watu Iraq,Syria,Libya,Plestine,Afghanistan nk?Je hao wengine sio watu?

-Je,ni kweli wanatupenda kiasi cha kutupa vyandarua bure ili kutulinda na malaria?Je,ni kweli chandarua kinakulinda na malaria?Je,ni kweli mbu hakuumi ukiwa nje ya chandarua/hujalala na kukusubiri mpaka ulale kitandani?

Siku hizi kuna watoto wanaugua ugonjwa wa pumu wangali wadogo sana,wazazi wao hawana historia ya pumu kwenye koo zao,je hawa watoto pumu wameipata wapi?Pia kuna watoto wengi sana wana tabia ya kusahausahau na hawawezi ku focus kwenye jambo,mbona zamani tatizo hili halikuwepo?Nenda Ocean Road kauliza takwimu za watoto wanaougua cancer za miaka ya nyuma halafu ulinganishe na sasa,halafu jiulize kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya takwimu hizo?

Hapa kwetu wanaohusika na ku verify chanjo ni mabwege sana,they don't care what is inside it,hii ni kwasababu bongo zao haziko advanced kiasi cha kuweza kuchunguza chanjo hizo kwakua kwao kila kitu kutoka kwa mzungu ni sahihi tu kwakua mzungu anatupenda na hakosei.

almost 80% ya wagonjwa wote wa cancer pale Ocean Road ni wanawake,na cancer zao huwa mara nyingi ni za kizazi au matiti,je watu wameshajiuliza kwanini?

Siku zote ukiwa na taarifa au ujuzi fulani ambao ni muhimu sana kwa maisha yako/jamii halafu ujuzi au taarifa hiyo haikusaidii chochote,basi wewe huna faida au msaada ktk jamii.Sasa kama taarifa kama hizi hazibadili chochote kwa wanaozisoma basi jamiiforums haina maana yoyote kwa members wake.
Hii nchi imefika pabaya sana.

Simu- Hewa

Dawa hewa

Wanavyuo- Hewa

Wasomi - Hewa

Watumishi - Hewa

Barabara - Hewa

Makalio-Hewa

Wapenzi - Hewa

Watoto-Hewa

Kumbe karibu tutaanza kula chakula Hewa.
 
Murdered Holistic Doctors Discovered Cancer-Causing Enzyme Being Added to All Vaccines

So apparently the holistic doctors who were all being killed in FL had found out via their research that the nagalase enzyme protein is INTENTIONALLY being added to the population via immunizations. Nagalase STOPS vitamin D from binding to the Gc protein. This completely strips a human being’s body of it’s natural ability to kill cancer cells.
Nagalase is a protein that’s also created by all cancer cells. This protein is also found in very high concentrations in autistic children. And they’re PUTTING it in our vaccines!! This prevents the body from utilizing the Vitamin D necessary to fight cancer and prevent autism. Nagalese disables the immune system. It’s also known to cause Type 2 Diabetes. So basically…they weren’t killing these doctors because they had found the cure to cancer or were successfully treating autism… they’re killing them because these Dr’s had been researching and had the evidence that the vaccines they’re injecting our precious children with are CAUSING our current cancer and autism crisis!! And that it’s obviously being done knowingly and on purpose! The Dr’s they killed in FL had been collaborating and were getting ready to go public with the information.

View attachment 349403

Depopulation 101..add poison to vaccines…make it law that all children must be injected to attend school. Slow kill methods. They think they’re being fair w/ their “survival of the fittest” type mentality. Only the best genes survive? These people have no souls.
Dr Ted Broer breaks the above info (about the nagalese) in this clip. He explains it much better than I do. The clip is short (from his July 25th Hagmann & Hagmann interview) but it’s a MUST listen.
Dr Ted Broer broke it on The Hagmann & Hagmann Report and it took them a whole hour just to get him on air b/c their 3 hour show was brought down and every line they tried to use kept disconnecting…and then their servers were brought down. They asked a bunch of ppl to pray against the attack and then finally got him on a secured line..and so a full hour into the show they were finally back on the air and connected to Dr Broer and the first thing he said was “I am in no way suicidal.” He was super nervous holding onto this info…afraid he’d be taken out Hastings style before he got a chance to say it publicly. So listen to this short clip of him breaking the story.
It’s a 19 min clip but the most important info is heard within the first 10 min. It is def some of the most important news Ive ever heard. And it needs to go viral.

PLEASE LISTEN TO THIS SHORT CLIP!!



And if you want to hear more of his interview this next video continues right where the last clip left off. The first video is just a clip of the most important part if you only have time to hear a little bit of it. As Dr. Ted Broer continues he explains WHY they’re doing this. Why they’re intentionally attacking our immune systems. This next clip is FASCINATING. Dr Ted Broer continued
Source: conspiracyclub.co



Murdered Holistic Doctors Discovered Cancer-Causing Enzyme Being Added to All Vaccines - The Big Riddle

Kuna jambo hapa
 
Nilipoona tu umekoment kwenye uu Uzi nikasema sasa tayari darasa linaanza kupata ufafanuzi zaidi.shukrani sana mkuu

Vaccination/chanjo zina tricks/ujanja ujanja sana mkuu,kama mtu ni mvivu wa kufikiri lazima adanganyike.Ukweli ni kwamba binadamu hahitaji chanjo ili aepukane na magonjwa.Vaccination is a big conspiracy na ni biashara kubwa sana.

Hebu tujiulize kwa mfano mdogo tu;Mwili wa mwanadamu umeumbwa katika mfumo ambao ni very complicated,na kila kitu kwenye mwili wake kina maana yake,hakiko kwa bahati mbaya.Hivyo basi,hata kitu kilichomwumba huyu mwanadamu lazima kiwe complicated na very intelligent kuliko mwanadamu mwenyewe......sasa je,unataka kuniambia kwamba kitu kilichoumba mwanadamu kimesahau kumwekea kinga huyu mwanadamu ili ajilinde dhidi ya mazingira yake kiasi kwamba mwanadamu mwenyewe ndio aje kujirekebisha ili aendane na mazingira?

La hasha,si kweli.Kinga ya mwanadamu ni ile acquired/natural immunity/kinga ya asili,na kinga hii ina uwezo wa kila kitu kama mwanadamu huyu ataishi kiasilia.

Sasa jiulize,kama kweli chanjo ni kitu cha kweli,kwanini hakuna chanjo ya malaria wakati malaria ni ugonjwa unaosumbua sana na unaongoza kwa kuua duniani?Najua hapa madaktari lazima wawe na jibu hata kama ni la uongo.Kwanini typhoid haina chanjo?kwanini TB haina chanjo? nk?

Jaribu kufuatilia kwenye mitandao utaona kuna wanasayansi/madaktari wengi sana wanaelimisha watu kuhusu uongo huu wa chanjo....kuna documentaries nyingi mno za madaktari tofauti kutoka nchi tofauti kuhusu uongo juu ya chanjo.Hata mazingira tunayoishi yenyewe yanajionesha huku mitaani.Mimi mwenyewe nimemzuia mwanangu asipewe chanjo na yuko na afya njema haumwiumwi kama wale waliopewa chanjo,ninamlisha msosi wa nguvu wa asili,ana mwili tough na nguvu nyingi....sasa nikiona watu wamejawa woga wanakimbilia chanjo huwa nawasikitikia sana kwa kuwa hawajui kinachowakabili mbele.

Chanjo ni biashara kubwa sana ya wakubwa kama ilivyo ile ya HIV/AIDS,cancer,kisukari na malaria.Nani anajua kama glasi zako 3 za alovera zinaponesha malaria safi kabisa bila hangover kama ile inayosababishwa na sumu ya dawa za kimagharibi/western medicine?

Tulia,tafakari,chukua hatua.
 
Back
Top Bottom