mwenyeKitu
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 946
- 771
Alafu sisi Tumekaa tunashangilia chura. ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vaccination siku hizi ni 'deadly deception'.Deadly deception is almost everywhere,na wale walio nyuma ya hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wa maana sana hapa duniani lakini wale wanaotetea maisha ya watu ili wasije kudanganyika na hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wabaya sana,hatari katika jamii na hawafai kabisa kuishi.
Hii dunia sasa imebadilika sana,haramu ni halali na halali ni haramu,mkombozi anaonekana ni muangamizi na muangamizi anaonekana ni mkombozi.Watu wametekwa sana akili na hawa ma tycoon pasipo kujitambua.
Leo hii ukitangaza hadharani kwamba chanjo ni hatari au dawa za uzazi wa mpango ni hatari,utapotezwa kimyakimya na hata jamii haitakuonea huruma.Lakini jamii hiyohiyo inashindwa kujiuliza maswali mepesi sana,mfano,hapo zamani mbona mababu na mabibi zetu waliishi bila chanjo,hawakutumia vidonge vya uzazi wa mpango na hakukuwa na tatizo lolote?
-Je,ni kweli hawa jamaa wanatupenda sana kiasi cha kutumia nguvu nyingi kulinda afya zetu kwa chanjo nk?Kama ni kweli mbona wanaua watu Iraq,Syria,Libya,Plestine,Afghanistan nk?Je hao wengine sio watu?
-Je,ni kweli wanatupenda kiasi cha kutupa vyandarua bure ili kutulinda na malaria?Je,ni kweli chandarua kinakulinda na malaria?Je,ni kweli mbu hakuumi ukiwa nje ya chandarua/hujalala na kukusubiri mpaka ulale kitandani?
Siku hizi kuna watoto wanaugua ugonjwa wa pumu wangali wadogo sana,wazazi wao hawana historia ya pumu kwenye koo zao,je hawa watoto pumu wameipata wapi?Pia kuna watoto wengi sana wana tabia ya kusahausahau na hawawezi ku focus kwenye jambo,mbona zamani tatizo hili halikuwepo?Nenda Ocean Road kauliza takwimu za watoto wanaougua cancer za miaka ya nyuma halafu ulinganishe na sasa,halafu jiulize kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya takwimu hizo?
Hapa kwetu wanaohusika na ku verify chanjo ni mabwege sana,they don't care what is inside it,hii ni kwasababu bongo zao haziko advanced kiasi cha kuweza kuchunguza chanjo hizo kwakua kwao kila kitu kutoka kwa mzungu ni sahihi tu kwakua mzungu anatupenda na hakosei.
almost 80% ya wagonjwa wote wa cancer pale Ocean Road ni wanawake,na cancer zao huwa mara nyingi ni za kizazi au matiti,je watu wameshajiuliza kwanini?
Siku zote ukiwa na taarifa au ujuzi fulani ambao ni muhimu sana kwa maisha yako/jamii halafu ujuzi au taarifa hiyo haikusaidii chochote,basi wewe huna faida au msaada ktk jamii.Sasa kama taarifa kama hizi hazibadili chochote kwa wanaozisoma basi jamiiforums haina maana yoyote kwa members wake.
Deception naomba uniPM ili unielekeze chanjo gani ni slm na isiyo salama kwa mwanangu.vaccination siku hizi ni 'deadly deception'.Deadly deception is almost everywhere,na wale walio nyuma ya hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wa maana sana hapa duniani lakini wale wanaotetea maisha ya watu ili wasije kudanganyika na hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wabaya sana,hatari katika jamii na hawafai kabisa kuishi.
Hii dunia sasa imebadilika sana,haramu ni halali na halali ni haramu,mkombozi anaonekana ni muangamizi na muangamizi anaonekana ni mkombozi.Watu wametekwa sana akili na hawa ma tycoon pasipo kujitambua.
Leo hii ukitangaza hadharani kwamba chanjo ni hatari au dawa za uzazi wa mpango ni hatari,utapotezwa kimyakimya na hata jamii haitakuonea huruma.Lakini jamii hiyohiyo inashindwa kujiuliza maswali mepesi sana,mfano,hapo zamani mbona mababu na mabibi zetu waliishi bila chanjo,hawakutumia vidonge vya uzazi wa mpango na hakukuwa na tatizo lolote?
-Je,ni kweli hawa jamaa wanatupenda sana kiasi cha kutumia nguvu nyingi kulinda afya zetu kwa chanjo nk?Kama ni kweli mbona wanaua watu Iraq,Syria,Libya,Plestine,Afghanistan nk?Je hao wengine sio watu?
-Je,ni kweli wanatupenda kiasi cha kutupa vyandarua bure ili kutulinda na malaria?Je,ni kweli chandarua kinakulinda na malaria?Je,ni kweli mbu hakuumi ukiwa nje ya chandarua/hujalala na kukusubiri mpaka ulale kitandani?
Siku hizi kuna watoto wanaugua ugonjwa wa pumu wangali wadogo sana,wazazi wao hawana historia ya pumu kwenye koo zao,je hawa watoto pumu wameipata wapi?Pia kuna watoto wengi sana wana tabia ya kusahausahau na hawawezi ku focus kwenye jambo,mbona zamani tatizo hili halikuwepo?Nenda Ocean Road kauliza takwimu za watoto wanaougua cancer za miaka ya nyuma halafu ulinganishe na sasa,halafu jiulize kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya takwimu hizo?
Hapa kwetu wanaohusika na ku verify chanjo ni mabwege sana,they don't care what is inside it,hii ni kwasababu bongo zao haziko advanced kiasi cha kuweza kuchunguza chanjo hizo kwakua kwao kila kitu kutoka kwa mzungu ni sahihi tu kwakua mzungu anatupenda na hakosei.
almost 80% ya wagonjwa wote wa cancer pale Ocean Road ni wanawake,na cancer zao huwa mara nyingi ni za kizazi au matiti,je watu wameshajiuliza kwanini?
Siku zote ukiwa na taarifa au ujuzi fulani ambao ni muhimu sana kwa maisha yako/jamii halafu ujuzi au taarifa hiyo haikusaidii chochote,basi wewe huna faida au msaada ktk jamii.Sasa kama taarifa kama hizi hazibadili chochote kwa wanaozisoma basi jamiiforums haina maana yoyote kwa members wake.
Nilipoona tu umekoment kwenye uu Uzi nikasema sasa tayari darasa linaanza kupata ufafanuzi zaidi.shukrani sana mkuuvaccination siku hizi ni 'deadly deception'.Deadly deception is almost everywhere,na wale walio nyuma ya hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wa maana sana hapa duniani lakini wale wanaotetea maisha ya watu ili wasije kudanganyika na hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wabaya sana,hatari katika jamii na hawafai kabisa kuishi.
Hii dunia sasa imebadilika sana,haramu ni halali na halali ni haramu,mkombozi anaonekana ni muangamizi na muangamizi anaonekana ni mkombozi.Watu wametekwa sana akili na hawa ma tycoon pasipo kujitambua.
Leo hii ukitangaza hadharani kwamba chanjo ni hatari au dawa za uzazi wa mpango ni hatari,utapotezwa kimyakimya na hata jamii haitakuonea huruma.Lakini jamii hiyohiyo inashindwa kujiuliza maswali mepesi sana,mfano,hapo zamani mbona mababu na mabibi zetu waliishi bila chanjo,hawakutumia vidonge vya uzazi wa mpango na hakukuwa na tatizo lolote?
-Je,ni kweli hawa jamaa wanatupenda sana kiasi cha kutumia nguvu nyingi kulinda afya zetu kwa chanjo nk?Kama ni kweli mbona wanaua watu Iraq,Syria,Libya,Plestine,Afghanistan nk?Je hao wengine sio watu?
-Je,ni kweli wanatupenda kiasi cha kutupa vyandarua bure ili kutulinda na malaria?Je,ni kweli chandarua kinakulinda na malaria?Je,ni kweli mbu hakuumi ukiwa nje ya chandarua/hujalala na kukusubiri mpaka ulale kitandani?
Siku hizi kuna watoto wanaugua ugonjwa wa pumu wangali wadogo sana,wazazi wao hawana historia ya pumu kwenye koo zao,je hawa watoto pumu wameipata wapi?Pia kuna watoto wengi sana wana tabia ya kusahausahau na hawawezi ku focus kwenye jambo,mbona zamani tatizo hili halikuwepo?Nenda Ocean Road kauliza takwimu za watoto wanaougua cancer za miaka ya nyuma halafu ulinganishe na sasa,halafu jiulize kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya takwimu hizo?
Hapa kwetu wanaohusika na ku verify chanjo ni mabwege sana,they don't care what is inside it,hii ni kwasababu bongo zao haziko advanced kiasi cha kuweza kuchunguza chanjo hizo kwakua kwao kila kitu kutoka kwa mzungu ni sahihi tu kwakua mzungu anatupenda na hakosei.
almost 80% ya wagonjwa wote wa cancer pale Ocean Road ni wanawake,na cancer zao huwa mara nyingi ni za kizazi au matiti,je watu wameshajiuliza kwanini?
Siku zote ukiwa na taarifa au ujuzi fulani ambao ni muhimu sana kwa maisha yako/jamii halafu ujuzi au taarifa hiyo haikusaidii chochote,basi wewe huna faida au msaada ktk jamii.Sasa kama taarifa kama hizi hazibadili chochote kwa wanaozisoma basi jamiiforums haina maana yoyote kwa members wake.
APA akili imeamka sasa sikuwai kujua chochote kuhusu iliView attachment 349103
MADAKTARI WALIOGUNDUA VIPANDIKIZI VYA KANSA KWENYE CHANJO WAMEULIWA
Si mda mrefu kupita Neon Nettle walitoa taarifa jinsi madaktari wanavyouliwa, wengi wao wakitokea Florida,Marekani
Wataalamu hao waligundua kwamba nagalase enzymes protein iliongezwa katika chanjo. Nagalese inazuia uzalishwaji wa vitamin D mwilini, ambayo mwili unahitaji sana hivyo vitamin kujikinga na kuua seli za kansa.
Vilevile inasemekana Protein ya Nagalase inatumika kuunda viini vyote vya saratani.
Protini hii pia hupatikana katika viwango vya juu sana katika watoto wenye ugonjwa wa akili
Nagalase inazuia mwili kutumia vitamin D ambayo inasaidia kupambana na saratani na matatizo ya akili kwa watoto.
Kupunguza watu na kuweka sumu kwenye chanjo....ni kama sheria lazima mtoto achomwe hizo sindano. Jinsi wanavyoua wanavyotengeneza dawa za kuua taratibu, Wakidhani wao wataishi milele, Watu hawa hawana mioyo ya huruma.
chanzo.Doctors Who Discovered Cancer Enzymes In Vaccines All Found Murdered
Hii nchi imefika pabaya sana.vaccination siku hizi ni 'deadly deception'.Deadly deception is almost everywhere,na wale walio nyuma ya hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wa maana sana hapa duniani lakini wale wanaotetea maisha ya watu ili wasije kudanganyika na hizi deadly deceptions ndio wanaonekana wabaya sana,hatari katika jamii na hawafai kabisa kuishi.
Hii dunia sasa imebadilika sana,haramu ni halali na halali ni haramu,mkombozi anaonekana ni muangamizi na muangamizi anaonekana ni mkombozi.Watu wametekwa sana akili na hawa ma tycoon pasipo kujitambua.
Leo hii ukitangaza hadharani kwamba chanjo ni hatari au dawa za uzazi wa mpango ni hatari,utapotezwa kimyakimya na hata jamii haitakuonea huruma.Lakini jamii hiyohiyo inashindwa kujiuliza maswali mepesi sana,mfano,hapo zamani mbona mababu na mabibi zetu waliishi bila chanjo,hawakutumia vidonge vya uzazi wa mpango na hakukuwa na tatizo lolote?
-Je,ni kweli hawa jamaa wanatupenda sana kiasi cha kutumia nguvu nyingi kulinda afya zetu kwa chanjo nk?Kama ni kweli mbona wanaua watu Iraq,Syria,Libya,Plestine,Afghanistan nk?Je hao wengine sio watu?
-Je,ni kweli wanatupenda kiasi cha kutupa vyandarua bure ili kutulinda na malaria?Je,ni kweli chandarua kinakulinda na malaria?Je,ni kweli mbu hakuumi ukiwa nje ya chandarua/hujalala na kukusubiri mpaka ulale kitandani?
Siku hizi kuna watoto wanaugua ugonjwa wa pumu wangali wadogo sana,wazazi wao hawana historia ya pumu kwenye koo zao,je hawa watoto pumu wameipata wapi?Pia kuna watoto wengi sana wana tabia ya kusahausahau na hawawezi ku focus kwenye jambo,mbona zamani tatizo hili halikuwepo?Nenda Ocean Road kauliza takwimu za watoto wanaougua cancer za miaka ya nyuma halafu ulinganishe na sasa,halafu jiulize kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya takwimu hizo?
Hapa kwetu wanaohusika na ku verify chanjo ni mabwege sana,they don't care what is inside it,hii ni kwasababu bongo zao haziko advanced kiasi cha kuweza kuchunguza chanjo hizo kwakua kwao kila kitu kutoka kwa mzungu ni sahihi tu kwakua mzungu anatupenda na hakosei.
almost 80% ya wagonjwa wote wa cancer pale Ocean Road ni wanawake,na cancer zao huwa mara nyingi ni za kizazi au matiti,je watu wameshajiuliza kwanini?
Siku zote ukiwa na taarifa au ujuzi fulani ambao ni muhimu sana kwa maisha yako/jamii halafu ujuzi au taarifa hiyo haikusaidii chochote,basi wewe huna faida au msaada ktk jamii.Sasa kama taarifa kama hizi hazibadili chochote kwa wanaozisoma basi jamiiforums haina maana yoyote kwa members wake.
Murdered Holistic Doctors Discovered Cancer-Causing Enzyme Being Added to All Vaccines
So apparently the holistic doctors who were all being killed in FL had found out via their research that the nagalase enzyme protein is INTENTIONALLY being added to the population via immunizations. Nagalase STOPS vitamin D from binding to the Gc protein. This completely strips a human being’s body of it’s natural ability to kill cancer cells.
Nagalase is a protein that’s also created by all cancer cells. This protein is also found in very high concentrations in autistic children. And they’re PUTTING it in our vaccines!! This prevents the body from utilizing the Vitamin D necessary to fight cancer and prevent autism. Nagalese disables the immune system. It’s also known to cause Type 2 Diabetes. So basically…they weren’t killing these doctors because they had found the cure to cancer or were successfully treating autism… they’re killing them because these Dr’s had been researching and had the evidence that the vaccines they’re injecting our precious children with are CAUSING our current cancer and autism crisis!! And that it’s obviously being done knowingly and on purpose! The Dr’s they killed in FL had been collaborating and were getting ready to go public with the information.
View attachment 349403
Depopulation 101..add poison to vaccines…make it law that all children must be injected to attend school. Slow kill methods. They think they’re being fair w/ their “survival of the fittest” type mentality. Only the best genes survive? These people have no souls.
Dr Ted Broer breaks the above info (about the nagalese) in this clip. He explains it much better than I do. The clip is short (from his July 25th Hagmann & Hagmann interview) but it’s a MUST listen.
Dr Ted Broer broke it on The Hagmann & Hagmann Report and it took them a whole hour just to get him on air b/c their 3 hour show was brought down and every line they tried to use kept disconnecting…and then their servers were brought down. They asked a bunch of ppl to pray against the attack and then finally got him on a secured line..and so a full hour into the show they were finally back on the air and connected to Dr Broer and the first thing he said was “I am in no way suicidal.” He was super nervous holding onto this info…afraid he’d be taken out Hastings style before he got a chance to say it publicly. So listen to this short clip of him breaking the story.
It’s a 19 min clip but the most important info is heard within the first 10 min. It is def some of the most important news Ive ever heard. And it needs to go viral.
PLEASE LISTEN TO THIS SHORT CLIP!!
And if you want to hear more of his interview this next video continues right where the last clip left off. The first video is just a clip of the most important part if you only have time to hear a little bit of it. As Dr. Ted Broer continues he explains WHY they’re doing this. Why they’re intentionally attacking our immune systems. This next clip is FASCINATING. Dr Ted Broer continued…
Source: conspiracyclub.co
Murdered Holistic Doctors Discovered Cancer-Causing Enzyme Being Added to All Vaccines - The Big Riddle
Nilipoona tu umekoment kwenye uu Uzi nikasema sasa tayari darasa linaanza kupata ufafanuzi zaidi.shukrani sana mkuu