Madaktari wamponda Kibonde kupitia mtandao wa FB

Madaktari wamponda Kibonde kupitia mtandao wa FB

Jamii Forums Kila siku kuna Members wanaifanya iwe Kama watoto Forums. Afya ni Siri ya huko Hospitali na mgonjwa. Jambo Kama hili likitokea GREAT Thinkers wangeanza kufikiria ukosefu wa privacy sio tu wa afya ya aliyetajwa Bali ya sisi wote ambao ni wagonjwa Au tulikuwa wagonjwa. Pili lugha ya Kibonde inaendana na akili ya watanzania Kama Mange anapewa forum na watu 2 Millions Kwa matusi na picha Za kijinga kabisa Kwanini watu wasione kuwa Ndo lugha yenu wtz mnapenda. Majungu Ndo mtaji wa wabongo
 
Ahaaa, kumbeee.

Mimi kwa kabila langu ina maanisha ni ''Mpwa", lengo la kusajili hii Id ndio lilimaanisha hivyo ila sikujua kama kuna kabila lingine ambalo hili neno lina maana nyingine pia.
Kwa kabila letu linamaana mbaya sana
 
Back
Top Bottom