Madaktari watatu watiwa nguvuni kwa tuhuma za kuuza watoto

Madaktari watatu watiwa nguvuni kwa tuhuma za kuuza watoto

Wizi wa watoto kwenye hospitali zetu upo ila huwa hatuoni hatua zinazochikuliwa zaidi ya kuwaona walalamikaji.
 
Wewe chadema unajua beberu ni Nani ila unajaribu kumstiri huyo mtetea ushoga kwa kujaribu kudanganya eti BBC Nairobi ni mabeberu.
Lissu toka aende kwa beberu lake Amsterdam mnatafuta nanma ya kulisafisha Hilo beberu lenu.
Nyumbu hovyo kabisa.
Anatoa raha huko, inasemekana amenogewa kukaza.
 
Ndiyo maana tuliwaambia hao marais bandia wajiuzulu, JPM aishike Afrika nzima miaka 5 tu waone ustawi wa kweli wa Bara hili lenye fanaka tele.
Bei ya sukari imemshinda
Bei ya cement inaenda kupanda
Bei ya mafuta ya kula ipo juu
Nyie mnaleta mapambio ya kijinga
Utaendelea kuitwa mnyonge wewe na kizazi chako milele kwa mawazo yako haya
 
Bei ya sukari imemshinda
Bei ya cement inaenda kupanda
Bei ya mafuta ya kula ipo juu
Nyie mnaleta mapambio ya kijinga
Utaendelea kuitwa mnyonge wewe na kizazi chako milele kwa mawazo yako haya
Ni vile tu huelewi mambo mengi, halafu unatanguliza "me-two-sea" yako michafu utadhani mimi ndiye nimekuambukiza mausingizi yako ya kitoto hayo. Nasema ngoja bei ipande ili wakulima wanufaike zaidi. Unajua gharama na ugumu wa kulima wewe?
 
Ni vile tu huelewi mambo mengi, halafu unatanguliza "me-two-sea" yako michafu utadhani mimi ndiye nimekuambukiza mausingizi yako ya kitoto hayo. Nasema ngoja bei ipande ili wakulima wanufaike zaidi. Unajua gharama na ugumu wa kulima wewe???
Wewe ndio ujielewi umeshindia kupambia mambo ya kijinga ya mtu awe raisi sijui aishike Africa miaka 5 kwa utaratibu gani.
Ndio maana mnamuita mungu wenu wapuudhi kabisa nyie.

Wakulima gani unaowaongelea?

Ni wale wa korosho wa mtwara au ni sie wakulima wa mahindi wa kiteto ambao tulipata soko la Bei nzuri ya mahindi kenya tukaiashia kuzuiliwa kupeleka huko na kulazimishwa kuuza kwa bei ya chini hapahap a nchini.

Nimelima sana ila kwa sasa nimeacha baada ya kutovumilia upumbavu wa huyo mungu wenu kwa sasa najishughulisha na ufugaji wa kitimoto Iringa.

Yaani wakulima wengi wa Tanzania na wewe mwenyewe mtaendelea Sana kuitwa wanyonge na kutumiwa kisiasa na akina like huyo mungu wenu milele
 
Wewe chadema unajua beberu ni Nani ila unajaribu kumstiri huyo mtetea ushoga kwa kujaribu kudanganya eti BBC Nairobi ni mabeberu.
Lissu toka aende kwa beberu lake Amsterdam mnatafuta nanma ya kulisafisha Hilo beberu lenu.
Nyumbu hovyo kabisa.
Jikite kwenye mada
 
Wizi wa watoto kwenye hospitali zetu upo ila huwa hatuoni hatua zinazochikuliwa zaidi ya kuwaona walalamikaji.
Sasa ukisikia serikali corrupt hizo ndo characteristics. Wabongo wanajitoa ufahamu na wanasahau tulikotoka na albino wetu awamu ya nne any serious government wont tolerate this crap. Kenya kila sekta ni uozo
 
Anawashwa na lissu.Ovyo sana ilo jamaa.Lenyewe badala yakujadili hoja linamuwaza lissu.
Siyo kila Post lazima uchangie kama unataka ya Lissu anzisha tutachangia maana unataka tuzungumzie watu na si hoja.
 
Africa kuna uozo wa kila aina ila hili taifa la Kenya limevunda na linanuka, rushwa kule ni kama sala ndani ya serikali
 
Back
Top Bottom