Madaktari watatu watiwa nguvuni kwa tuhuma za kuuza watoto

Madaktari watatu watiwa nguvuni kwa tuhuma za kuuza watoto

Manyang'au wana roho za ajabu sana, kuuza wenzao, watoto, kuuwa binadamu nk nk siyo issue kabisa, hawa majirani tunawavumilia kwa mengi sana otherwise tungesitisha ushirikiano kabisa..
 
Anawashwa na lissu.Ovyo sana ilo jamaa.Lenyewe badala yakujadili hoja linamuwaza lissu.
Tatizo la JF siku hizi imeingiliwa na mijusi isiyoeleweka yenyewe imekalia Lissu, Lissu, Lissu haijadili hoja imeshupalia kujadili watu, watu kiasi cha kufanya JF isiwe forum ya Great Thinkers na kuwa forum ya wambeya.
 
Manyang'au wana roho za ajabu sana, kuuza wenzao, watoto, kuuwa binadamu nk nk siyo issue kabisa, hawa majirani tunawavumilia kwa mengi sana otherwise tungesitisha ushirikiano kabisa..
Wewe nawe umetoka wapi! Mbona hapa watu kila siku wanauawa na watoto kila siku wanaibwa, au siasa imekukolea mwenzetu.
 
Wewe nawe umetoka wapi! Mbona hapa watu kila siku wanauawa na watoto kila siku wanaibwa, au siasa imekukolea mwenzetu.
Hatujuwi na wewe umetoka wapi, au siasa haijakukolea? Badala ya kujali na kuponda ya wenzako ungesema unafikiria nini badala ya kushobekea ku-crush kila reply za watu..
 
ila hili la watoto hata tanzania wanabadirisha watoto unamkuta mtoto kazaliwa kichwa anachogo ukimcheki baba hana chogo na mama nae hana chogo 🙄
 
No kama wamesaidia hilo watakuwa washirika wa maendeleo
Wale wanaoshiriki kwenye shughuli za maendeleo bila kutaka kuwanyonya waafrika ni washirika wa maendeleo, lakini wale wanataka kuchukua rasilimali zetu kijanja, wanaotaka tuweke madini yetu rehani kwao kwa taratibu zao wanaitwa mabepari, mabeberu na makabaila
20201118_230335.jpg
 
Wewe chadema unajua beberu ni Nani ila unajaribu kumstiri huyo mtetea ushoga kwa kujaribu kudanganya eti BBC Nairobi ni mabeberu.
Lissu toka aende kwa beberu lake Amsterdam mnatafuta nanma ya kulisafisha Hilo beberu lenu.
Nyumbu hovyo kabisa.
Beberu ni hilo kimiungu chenu Magufuli
 
Wale wanaoshiriki kwenye shughuli za maendeleo bila kutaka kuwanyonya waafrika ni washirika wa maendeleo, lakini wale wanataka kuchukua rasilimali zetu kijanja, wanaotaka tuweke madini yetu rehani kwao kwa taratibu zao wanaitwa mabepari, mabeberu na makabaila
You made my morning Mama D sikujua kama beberu liko kwa kamusi. Wewekee na ndg wale wanaowalamba miguu
 
Hatujuwi na wewe umetoka wapi, au siasa haijakukolea? Badala ya kujali na kuponda ya wenzako ungesema unafikiria nini badala ya kushobekea ku-crush kila reply za watu..
Mimi nimeleta mada ijadiliwe kama ilivyo badala yake mnaanza kujadili akina Lissu! Sasa hitimisho la kutokomeza wizi wa watoto litapatikanaje.
 
Mimi nimeleta mada ijadiliwe kama ilivyo badala yake mnaanza kujadili akina Lissu! Sasa hitimisho la kutokomeza wizi wa watoto litapatikanaje.
Mulitatua zile za albino kwanza,,,satanic nation trying to give solution.Ombeni Mungu msamaha kwanza
 
Wewe nawe umetoka wapi! Mbona hapa watu kila siku wanauawa na watoto kila siku wanaibwa, au siasa imekukolea mwenzetu.
Wewe ulianzisha hii thread ukitaka wachangiaji wacomment unachopenda kusikia wewe, sasa si ungebaki nayo kwenye simu yako? Mbona unataka kuleta udikteta uchwara hapa kulazimisha watu wafikiri kama wewe?
 
Wale wanaoshiriki kwenye shughuli za maendeleo bila kutaka kuwanyonya waafrika ni washirika wa maendeleo, lakini wale wanataka kuchukua rasilimali zetu kijanja, wanaotaka tuweke madini yetu rehani kwao kwa taratibu zao wanaitwa mabepari, mabeberu na makabaila
View attachment 1629699
Perfect. It means "beberu" ni tabia, siyo rangi, geographical wala nini. Kwa mantiki hiyo, huyu Mr Mzungu aliyeshindwa uchaguzi hivi juzi kati akatimkia kusikojulikana, anakwolifai vigezo vya "ubeberu!" Vigezo & Masharti vimezingatiwa.
 
Perfect. It means "beberu" ni tabia, siyo rangi, geographical wala nini. Kwa mantiki hiyo, huyu Mr Mzungu aliyeshindwa uchaguzi hivi juzi kati akatimkia kusikojulikana, anakwolifai vigezo vya "ubeberu!" Vigezo & Masharti vimezingatiwa.
Tabia kuu za Mabeberu, makabaila na mabepari ni kutengeneza vibaraka kutoka eneo wanalotaka kupora na kuwatumia kupata taarifa na kuingiza uadui ili wakati mnapambana na kuuana wao wawe wanapambana kuhamisha mali zenu

Ime fail hiyo mission
 
Wewe ulianzisha hii thread ukitaka wachangiaji wacomment unachopenda kusikia wewe, sasa si ungebaki nayo kwenye simu yako? Mbona unataka kuleta udikteta uchwara hapa kulazimisha watu wafikiri kama wewe?
Kweli kabisa...
 
Back
Top Bottom