Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Baada ya BBC kufanya uchunguzi huu ya wizi wa watoto nchini Kenya kwenye hospitali moja na kurusha hewani, serikali imewakamata madakitari watatu walioonekana wakiuza watoto na kuwafikisha mahakamani leo.
Ndiyo maana tuliwaambia hao marais bandia wajiuzulu, JPM aishike Afrika nzima miaka 5 tu waone ustawi wa kweli wa Bara hili lenye fanaka tele.Hii kitu imeniuma ila inaonekana serikali ya kenya inaonekana ni very corrupt kupita maelezo hii kitu ni aibu kwa africa nzima.
Angekuwa huyo Mr Mzungu wako aliyeshindwa uchaguzi, angewatetea kama waleee wafanyakazi hewa waliotumbuliwa na Dkt. mwenyewe wa Siasa & Sayansi.Siyo kila Post lazima uchangie kama unataka ya Lissu anzisha tutachangia maana unataka tuzungumzie watu na si hoja.
Anatoa raha huko, inasemekana amenogewa kukaza.Wewe chadema unajua beberu ni Nani ila unajaribu kumstiri huyo mtetea ushoga kwa kujaribu kudanganya eti BBC Nairobi ni mabeberu.
Lissu toka aende kwa beberu lake Amsterdam mnatafuta nanma ya kulisafisha Hilo beberu lenu.
Nyumbu hovyo kabisa.
Bei ya sukari imemshindaNdiyo maana tuliwaambia hao marais bandia wajiuzulu, JPM aishike Afrika nzima miaka 5 tu waone ustawi wa kweli wa Bara hili lenye fanaka tele.
Kushinda Tanzania. Sema Tanzania mlaji amebaki mmoja tu na wasukuma wenzieHii kitu imeniuma ila inaonekana serikali ya kenya inaonekana ni very corrupt kupita maelezo hii kitu ni aibu kwa africa nzima.
Ni vile tu huelewi mambo mengi, halafu unatanguliza "me-two-sea" yako michafu utadhani mimi ndiye nimekuambukiza mausingizi yako ya kitoto hayo. Nasema ngoja bei ipande ili wakulima wanufaike zaidi. Unajua gharama na ugumu wa kulima wewe?Bei ya sukari imemshinda
Bei ya cement inaenda kupanda
Bei ya mafuta ya kula ipo juu
Nyie mnaleta mapambio ya kijinga
Utaendelea kuitwa mnyonge wewe na kizazi chako milele kwa mawazo yako haya
Wewe ndio ujielewi umeshindia kupambia mambo ya kijinga ya mtu awe raisi sijui aishike Africa miaka 5 kwa utaratibu gani.Ni vile tu huelewi mambo mengi, halafu unatanguliza "me-two-sea" yako michafu utadhani mimi ndiye nimekuambukiza mausingizi yako ya kitoto hayo. Nasema ngoja bei ipande ili wakulima wanufaike zaidi. Unajua gharama na ugumu wa kulima wewe???
Are you okay mentally and physically?Ndiyo maana tuliwaambia hao marais bandia wajiuzulu, JPM aishike Afrika nzima miaka 5 tu waone ustawi wa kweli wa Bara hili lenye fanaka tele.
Jikite kwenye madaWewe chadema unajua beberu ni Nani ila unajaribu kumstiri huyo mtetea ushoga kwa kujaribu kudanganya eti BBC Nairobi ni mabeberu.
Lissu toka aende kwa beberu lake Amsterdam mnatafuta nanma ya kulisafisha Hilo beberu lenu.
Nyumbu hovyo kabisa.
Sasa ukisikia serikali corrupt hizo ndo characteristics. Wabongo wanajitoa ufahamu na wanasahau tulikotoka na albino wetu awamu ya nne any serious government wont tolerate this crap. Kenya kila sekta ni uozoWizi wa watoto kwenye hospitali zetu upo ila huwa hatuoni hatua zinazochikuliwa zaidi ya kuwaona walalamikaji.
Siyo kila Post lazima uchangie kama unataka ya Lissu anzisha tutachangia maana unataka tuzungumzie watu na si hoja.
No kama wamesaidia hilo watakuwa washirika wa maendeleoHao sio mabeberu ni makabaila😂😂