digalangosha
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 1,572
- 2,286
Habarini wana jukwaa
Kama heading inavyojieleza, aise madalali wa magari kuna vitu mnafanya vinakua vimepitiliza kwenye stage ya njaa lakini sasa vinakua ni aibu na kuharibiana biashara.....hivi inakuaje gari moja inauzwa na watu wawili tofauti, bei tofauti, na kwenye ukurasa mmoja wa matangazo...?
Mnavyofanya hivi mnakua mnaharibu biashara aise, mjue watanzania upepo unabadilika zamani watu walikua wanaogopa kuagiza magari nje wanaogopa kuibiwa, mkapiga sana hela lakini siku hizi technology imesambaa watu wanaagiza magari wenyewe hata kwenye simu, kwa tamaa zenu kuna siku watu hawatokua wananunua magari kwenu tena......
Attachment
Gari moja, kwenye page moja ya matangazo....mmoja anauza million 13.5, na mwingine anauza million 12.5...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama heading inavyojieleza, aise madalali wa magari kuna vitu mnafanya vinakua vimepitiliza kwenye stage ya njaa lakini sasa vinakua ni aibu na kuharibiana biashara.....hivi inakuaje gari moja inauzwa na watu wawili tofauti, bei tofauti, na kwenye ukurasa mmoja wa matangazo...?
Mnavyofanya hivi mnakua mnaharibu biashara aise, mjue watanzania upepo unabadilika zamani watu walikua wanaogopa kuagiza magari nje wanaogopa kuibiwa, mkapiga sana hela lakini siku hizi technology imesambaa watu wanaagiza magari wenyewe hata kwenye simu, kwa tamaa zenu kuna siku watu hawatokua wananunua magari kwenu tena......
Attachment
Gari moja, kwenye page moja ya matangazo....mmoja anauza million 13.5, na mwingine anauza million 12.5...
Sent using Jamii Forums mobile app